Pre GE2025 Tundu Lissu: Ninakiri juu ya Dhambi ya kumleta Lowassa CHADEMA. Watanzania tumekusamehe, ubarikiwe

Pre GE2025 Tundu Lissu: Ninakiri juu ya Dhambi ya kumleta Lowassa CHADEMA. Watanzania tumekusamehe, ubarikiwe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Similarly, tuchukue nafasi hii kumsamehe MBOWE kwa kufanya maridhiano na tumpe nafasi ya kuongoza chama na nchi ikimpendeza Mungu maana ni mkweli.
Lissu:Kusamehewa bila kitubio ni Haiwezekani. Akiri kosa kwanza.
 
Hellow Tanganyika!!

Akihojiwa kuhusu ushirika wake kumleta chamani Lowwassa, amedai ,Yeye na Mnyika walipewa taarifa juu ya ujio wa Lowassa mwishoni kabisa, hivyo wasingekataa,

Alipoulizwa kwanini binafsi hakujiondoa kama Dr Slaa, amedai kuwa Dr Slaa alishiriki mchakato mzima wa kumleta Lowwassa mwanzo mwisho kama katibu mkuu,

Alipoulizwa kwanini hakuondoka CHADEMA, amedai kuwa Hiyo ni dhambi na kukiri dhambi ni jambo la kheri.

Nachukua fursa hii kumsamehe TUNDU Lissu, na rasmi nampa nafasi ya kuongoza chama na Nchi ikimpendeza Mungu maana ni mkweli.

Abarikiwe TUNDU Antipas Lissu.

Mungu ibariki CHADEMA.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA.

Karibuni 🙏

Source: Mdahalo wa wagombea nafasi ya Mwenyekiti Taifa CHADEMA, star Tv.
Dr Slaa angekuwa amemleta Lowassa CHADEMA angeweza vipi kukikimbia chama tena mbele ya waandishi wa habari?.

Hawezi kujitetea kwa sasa akiwa huko mahabusu na Lissu anasema lolote ambalo anaamini litamjenga kimtazamo mbele ya wapiga kura na jamii nzima.
 
Hellow Tanganyika!!

Akihojiwa kuhusu ushirika wake kumleta chamani Lowwassa, amedai ,Yeye na Mnyika walipewa taarifa juu ya ujio wa Lowassa mwishoni kabisa, hivyo wasingekataa,

Alipoulizwa kwanini binafsi hakujiondoa kama Dr Slaa, amedai kuwa Dr Slaa alishiriki mchakato mzima wa kumleta Lowwassa mwanzo mwisho kama katibu mkuu,

Alipoulizwa kwanini hakuondoka CHADEMA, amedai kuwa Hiyo ni dhambi na kukiri dhambi ni jambo la kheri.

Nachukua fursa hii kumsamehe TUNDU Lissu, na rasmi nampa nafasi ya kuongoza chama na Nchi ikimpendeza Mungu maana ni mkweli.

Abarikiwe TUNDU Antipas Lissu.

Mungu ibariki CHADEMA.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA.

Karibuni 🙏

Source: Mdahalo wa wagombea nafasi ya Mwenyekiti Taifa CHADEMA, star Tv.
Maturity 💯
 
Lissu:Kusamehewa bila kitubio ni Haiwezekani. Akiri kosa kwanza.
Maridhiano yalipitishwa na kamati kuu Lisu akiwemo, endeleeni kudanganywa na Lisu ukweli mtaujuwa baadaye ni swala la muda tu.
 
Pumbavu zake vyama vya siasa ,serikali na mahakama havina dini

Yaani miaka 10 toka amefanya huo ujinga hakuomba msamaha leo sababu anagombea ndio anajitia kuomba msamaha tena baada ya kuulizwa huyo tapeli mkubwa wa kisiasa

Awatapeli huko huko Chadema wasiojielewa

Chadema sio kanisa wala msikiti wa kuungama dhambi tapeli huyo

Asante mwandishi wa habari kumbana barabara
Wengine walioshiriki wamewahi kukiri?
 
Maridhiano yalipitishwa na kamati kuu Lisu akiwemo, endeleeni kudanganywa na Lisu ukweli mtaujuwa baadaye ni swala la muda tu.
Ulizuka mzozo wa viongozi kuhoji kwanini Mbowe aende Ikulu bila kupata ridhaa ya chama?

Hapo ndipo tatizo lilipoanzia,

Mbowe kuridhiana na Samia hatua ya kwanza kabla ya chama kujulishwa
 
Kiukweli sasa,

Sina neno tena na TUNDU Lissu,

Nimemsamehe Bure, Abarikiwe!
Mlimuona Lowassa mkosefu sana mpaka kumleta Chadema kuwe ni kosa?

Msijipe mamlaka ya kuhukumu maana hata nyie mtahukumiwa.
 
Mlimuona Lowassa mkosefu sana mpaka kumleta Chadema kuwe ni kosa?

Msijipe mamlaka ya kuhukumu maana hata nyie mtahukumiwa.
Lowassa hakuwahi kukana Wala kukubali tuhuma za ufisadi, aliishia kusema, mwenye ushahidi aende mahakanani,

Sasa ikiwa Lissu amekubali kuwa, kumleta Lowwassa CDM ilikuwa dhambi, sasa kati Yako wewe na Lissu, nani ana ushahidi juu ya usafi au uchafu wa Lowassa kumzidi mwingine?
 
Ulizuka mzozo wa viongozi kuhoji kwanini Mbowe aende Ikulu bila kupata ridhaa ya chama?

Hapo ndipo tatizo lilipoanzia,

Mbowe kuridhiana na Samia hatua ya kwanza kabla ya chama kujulishwa
Mbowe haitaji ridhaa ya chama kwenda ikulu, Tundu Lisu hakuomba ridhaa ya chama kukutana na Samia Belgium, Mbowe hakuomba ridhaa ya chama kukaa jela miezi minane.

Acheni ukasuku, by the way Bawacha matokeo vipi? Naona kimya JF hakuna updates zozote.
 
Lowassa hakuwahi kukana Wala kukubali tuhuma za ufisadi, aliishia kusema, mwenye ushahidi aende mahakanani,

Sasa ikiwa Lissu amekubali kuwa, kumleta Lowwassa CDM ilikuwa dhambi, sasa kati Yako wewe na Lissu, nani ana ushahidi juu ya usafi au uchafu wa Lowassa kumzidi mwingine?
Kama nyie mnajiona hamna dhambi kama Lowassa (Rip) basi ni jambo jema.
 
Mbowe haitaji ridhaa ya chama kwenda ikulu, Tundu Lisu hakuomba ridhaa ya chama kukutana na Samia Belgium, Mbowe hakuomba ridhaa ya chama kukaa jela miezi minane.

Acheni ukasuku, by the way Bawacha matokeo vipi? Naona kimya JF hakuna updates zozote.
Lissu kudai pesa za matibabu ni jambo linalohitaji ridhaa ya vikao vya chama?

Yaani ukamatwe Kwa kuanzisha vuguvugu la kudai Katiba mpya Kisha ufungwe Kisha uhamishie madai ya Katiba mpya ndani ya Ikulu?
 
Actually Lisu alikuwa ni sampuli ya akina Ntobi tu kwenye maamuzi ya Mbowe!

Na kama asingegombea uenyekiti,basi angekuwa muimba mapambio wa Mbowe kwenye uchaguzi huu!
 
Kama nyie mnajiona hamna dhambi kama Lowassa (Rip) basi ni jambo jema.
Lissu ndiye aliyekuwa akimshambulia Lowassa kuwa ni fisadi na alidai kuwa na ushahidi.

Sasa wewe ulidhani Lowassa alikuwa Malaika asiyekosea?

By the way, mishahara wa waziri mkuu au waziri haiwezi kufanya kuwa tajiri kiasi kile, labda uniambie Kuna biashara ndani ya Serikali viongozi hufanya.

Tofauti na hapo, lazima alikuwa fisadi tu.
 
Hellow Tanganyika!!

Akihojiwa kuhusu ushirika wake kumleta chamani Lowwassa, amedai ,Yeye na Mnyika walipewa taarifa juu ya ujio wa Lowassa mwishoni kabisa, hivyo wasingekataa,

Alipoulizwa kwanini binafsi hakujiondoa kama Dr Slaa, amedai kuwa Dr Slaa alishiriki mchakato mzima wa kumleta Lowwassa mwanzo mwisho kama katibu mkuu,

Alipoulizwa kwanini hakuondoka CHADEMA, amedai kuwa Hiyo ni dhambi na kukiri dhambi ni jambo la kheri.

Nachukua fursa hii kumsamehe TUNDU Lissu, na rasmi nampa nafasi ya kuongoza chama na Nchi ikimpendeza Mungu maana ni mkweli.

Abarikiwe TUNDU Antipas Lissu.

Mungu ibariki CHADEMA.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA.

Karibuni 🙏

Source: Mdahalo wa wagombea nafasi ya Mwenyekiti Taifa CHADEMA, star Tv.
Baada ya miaka 10 kupita???
Time is a good teacher.
 
Back
Top Bottom