Pre GE2025 Tundu Lissu: Ninakiri juu ya Dhambi ya kumleta Lowassa CHADEMA. Watanzania tumekusamehe, ubarikiwe

Pre GE2025 Tundu Lissu: Ninakiri juu ya Dhambi ya kumleta Lowassa CHADEMA. Watanzania tumekusamehe, ubarikiwe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Baada ya miaka 10 kupita???
Time is a good teacher.
Kwani Kuna exprery date ya kuomba msamaha?

Anyway, IPO tu ikiwa mtu atakufa bila kufanya hivyo, lakini Lissu Bado Yu hai, anaruhusiwa kuomba msamaha.

Abarikiwe
 
Lissu ndiye aliyekuwa akimshambulia Lowassa kuwa ni fisadi na alidai kuwa na ushahidi.

Sasa wewe ulidhani Lowassa alikuwa Malaika asiyekosea?

By the way, mishahara wa waziri mkuu au waziri haiwezi kufanya kuwa tajiri kiasi kile, labda uniambie Kuna biashara ndani ya Serikali viongozi hufanya.

Tofauti na hapo, lazima alikuwa fisadi tu.
Sawa, nyie ni wasafi hamna doa.... hongereni.
 
Sawa, nyie ni wasafi hamna doa.... hongereni.
Kumsafisha fisadi bila fisadi kutubu Hilo halikubaliki.

Ni dhambi hiyo, dhambi unatakiwa itubiwe ndipo mtu asamehewe.

Na hiyo ndio tafsiri ya utakatifu, ni kutubu dhambi, kusafisha vazi.
 
Kumsafisha fisadi bila fisadi kutubu Hilo halikubaliki.

Ni dhambi hiyo, dhambi unatakiwa itubiwe ndipo mtu asamehewe.

Na hiyo ndio tafsiri ya utakatifu, ni kutubu dhambi, kusafisha vazi.
Kwani dhambi ni ufisadi tu ?...
 
Kwani dhambi ni ufisadi tu ?...
Dhambi ni nyingi,

Ila pesa za kifisadi alizoleta Lowassa ndani ya CDM ndizo ziliondoa Imani ya wananchi Kwa CHADEMA ambayo Lissu anajaribu kutibu tatizo Hilo Kwa kukiri dhambi hiyo.
 
Lissu ndiye aliyekuwa akimshambulia Lowassa kuwa ni fisadi na alidai kuwa na ushahidi.

Sasa wewe ulidhani Lowassa alikuwa Malaika asiyekosea?

By the way, mishahara wa waziri mkuu au waziri haiwezi kufanya kuwa tajiri kiasi kile, labda uniambie Kuna biashara ndani ya Serikali viongozi hufanya.

Tofauti na hapo, lazima alikuwa fisadi tu.
Mkuu achana na hizo hoja. Ikiwezekana epuka kabisa mijadala kuhusu ufisadi.

Kwa mawazo hayo uliyoandika hapo ni viongozi na watendaji wangapi serikalini kuanzia Rais hadi chini ambao si mafisadi?

Kelele dhidi ya Lowassa kuhusu ufisadi sasa tunajua zilikuwa janja ya kisiasa zaidi. Na CHADEMA waliingia mkenge. Imagine. JK naye alikuwa anadai CHADEMA wanafuatana na fisadi papa ndani ya chama chao!
 
Dhambi ni nyingi,

Ila pesa za kifisadi alizoleta Lowassa ndani ya CDM ndizo ziliondoa Imani ya wananchi Kwa CHADEMA ambayo Lissu anajaribu kutibu tatizo Hilo Kwa kukiri dhambi hiyo.
Hivi Lowassa hakuwasaidia kuvuna wabunge wengi kipindi kile?
 
Mkuu achana na hizo hoja. Ikiwezekana epuka kabisa mijadala kuhusu ufisadi.

Kwa mawazo hayo uliyoandika hapo ni viongozi na watendaji wangapi serikalini kuanzia Rais hadi chini ambao si mafisadi?

Kelele dhidi ya Lowassa kuhusu ufisadi sasa tunajua zilikuwa janja ya kisiasa zaidi. Na CHADEMA waliingia mkenge. Imagine. JK naye alikuwa anadai CHADEMA wanafuatana na fisadi papa ndani ya chama chao!
Unapingana na Lissu kwamba haikuwa dhambi kumleta Lowwassa CHADEMA?

Lowassa alikuwa msafi?

Utajiri alitoa wapi?

Unaweza kutajirika Kwa mishahara wa waziri mkuu?
 
Mkuu achana na hizo hoja. Ikiwezekana epuka kabisa mijadala kuhusu ufisadi.

Kwa mawazo hayo uliyoandika hapo ni viongozi na watendaji wangapi serikalini kuanzia Rais hadi chini ambao si mafisadi?

Kelele dhidi ya Lowassa kuhusu ufisadi sasa tunajua zilikuwa janja ya kisiasa zaidi. Na CHADEMA waliingia mkenge. Imagine. JK naye alikuwa anadai CHADEMA wanafuatana na fisadi papa ndani ya chama chao!
I second you...

Inashangaza bado Watanzania wengi wametekwa na zile siasa wakati 'ufisadi' kiuhalisia sio mtu (Lowassa) ila matokeo ya mfumo wa uongozi wa Ccm
 
Hivi Lowassa hakuwasaidia kuvuna wabunge wengi kipindi kile?
Pesa za RUSHWA zikasaidia kupatikana wabunge wengi, haziondoi UKWELI kuwa pesa zilikuwa chafu.

Ni sawa kusema pesa chafu zilitumuka Kwa Nia njema kuiondoa CCM mamlakani,

Lakini pesa zitabaki kuwa chafu,

Lissu: Truth shall set you free
 
I second you...

Inashangaza bado Watanzania wengi wametekwa na zile siasa wakati 'ufisadi' kiuhalisia sio mtu (Lowassa) ila matokeo ya mfumo wa uongozi wa Ccm
Kwa kusema hayo unakubaliana na Pesa aletazo Abdul na mamake ndani ya CHADEMA?
 
Pesa za RUSHWA zikasaidia kupatikana wabunge wengi, haziondoi UKWELI kuwa pesa zilikuwa chafu.

Ni sawa kusema pesa chafu zilitumuka Kwa Nia njema kuiondoa CCM mamlakani,

Lakini pesa zitabaki kuwa chafu,

Lissu: Truth shall set you free
Kwa hiyo pesa za Lowassa ndio zilisaidia Chadema kuvuna wabunge wengi mwaka 2015?..

Msiwadharau wana-chadema na wapiga kura wake kiasi hicho bhana.
 
Kwa hiyo pesa za Lowassa ndio zilisaidia Chadema kuvuna wabunge wengi mwaka 2015?..

Msiwadharau wana-chadema na wapiga kura wake kiasi hicho bhana.
Wewe ndio umedai pesa za Lowassa zilisaidia CDM kupata wabunge wengi,

Tuambie pia pesa za Abdul ikiwa zitafanikiwa kuongeza idadi ya wabunge bunge lijalo au la.
 
Wewe ndio umedai pesa za Lowassa zilisaidia CDM kupata wabunge wengi,

Tuambie pia pesa za Abdul ikiwa zitafanikiwa kuongeza idadi ya wabunge binge lijalo au la.
Ujio wa Lowassa uliisaidia Chadema kuvuna majimbo mengi kwenye uchaguzi wa 2015..........hayo ya pesa zake siyajui.

Kuhusu pesa za Abdul pia sijui
 
Ujio wa Lowassa uliisaidia Chadema kuvuna majimbo mengi kwenye uchaguzi wa 2015..........hayo ya pesa zake siyajui.

Kuhusu pesa za Abdul pia sijui
Sasa wewe ndio hujui, ila Lissu anaujua UKWELI na ametubu na tumemsamehe.
 
Lissu kudai pesa za matibabu ni jambo linalohitaji ridhaa ya vikao vya chama?

Yaani ukamatwe Kwa kuanzisha vuguvugu la kudai Katiba mpya Kisha ufungwe Kisha uhamishie madai ya Katiba mpya ndani ya Ikulu?
Samia ndio Spika wa bunge? Na utadai vipi kitu bila kukutana na huyo mtu?

Hivi nyinyu ni wazima kichwani kweli?
 
Hivi Lowassa hakuwasaidia kuvuna wabunge wengi kipindi kile?
Momentum of Lowasa ndio iliwapa ubunge hata wasiostahili kuwa wabunge na madiwani kibao, ni ndoto kwa Chadema sasa hivi kupata kura millioni 8 za Urais hasa kwa huu utoto walioleta hata mimi siwapigii tena kura.
 
Back
Top Bottom