Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Yupo Dodoma kwenye mkutano wa ccmNje ya masa: Hivi ni kwa nini Mbowe hakutokea leo kwenye huu mdahalo wa leo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo Dodoma kwenye mkutano wa ccmNje ya masa: Hivi ni kwa nini Mbowe hakutokea leo kwenye huu mdahalo wa leo?
Kiongozi anaeomva radhi anapokosea ndiye kiongozi tumtakaye.Good for Tundu Lisu for fessing up to it.
Mtu yeyote anayeomba radhi kwa makosa yake mimi sina shida naye kabisa.Kiongozi anaeomva radhi anapokosea ndiye kiongozi tumtakaye.
Sio yule anayeuza bandari zetu, kufukuza maasai Kwa kushupaza shingo.
comment bora kabisa katika uzi huu, kongole commentorWaliopewa Jina la sukuma gang, wote waungane na TUNDU Lissu ni mkweli na anenyooka kama mzalendo Magufuli johnthebaptist
Ubarikiwe Kwa kuliona Hilo.comment bora kabisa katika uzi huu, kongole commentor
Dr Slaa kama katibu mkuu ni LAZIMA angeshiriki.Lissu ni Muungwana na mkweli uliopitiliza. Tazama kwa sasa Dr.Slaa anamuunga mkono Lissu na hivi sasa yuko ndani kwa ajili ya Lissu. Lakini bado ilipokuja swala la Dr. Slaa kukana kuhusika kwake kumleta Lowassa,Lissu amesema kweupe kuwa Slaa katika hilo si mkweli kwakuwa alihusika.
Wangelikua wanasiasa wengine kwakuwa kwa sasa Dr. Slaa yuko upande wake angempaka mafuta.
Kwa sasa mifumo inalazimika kuungana naye sababu ya kukubalika kwake.Ni kiongozi mzuri sana basi tu mifumo inaweza kumkataa
Magufuli alikua mkweli!?..alikua muongo kwenye ulimwengu wa internet na watanzania walioelimika zaidiWaliopewa Jina la sukuma gang, wote waungane na TUNDU Lissu ni mkweli na anenyooka kama mzalendo Magufuli johnthebaptist
Lisu hafai kuwa kiongozi kadanganya mengi sanaHellow Tanganyika!!
Akihojiwa kuhusu ushirika wake kumleta chamani Lowwassa, amedai ,Yeye na Mnyika walipewa taarifa juu ya ujio wa Lowassa mwishoni kabisa, hivyo wasingekataa,
Alipoulizwa kwanini binafsi hakujiondoa kama Dr Slaa, amedai kuwa Dr Slaa alishiriki mchakato mzima wa kumleta Lowwassa mwanzo mwisho kama katibu mkuu,
Alipoulizwa kwanini hakuondoka CDM, amedai kuwa Hiyo ni dhambi na kukiri dhambi ni jambo la kheri.
Nachukua fursa hii kumsamehe TUNDU Lissu, na rasmi nampa nafasi ya kuongoza chama na Nchi ikimpendeza Mungu maana ni mkweli.
Abarikiwe TUNDU Antipas Lissu.
Mungu ibariki CHADEMA.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA.
Karibuni 🙏
Source: Mdahalo wa wagombea nafasi ya Mwenyekiti Taifa CHADEMA, star Tv.
Teh teh 😃 😃Waliopewa Jina la sukuma gang, wote waungane na TUNDU Lissu ni mkweli na anenyooka kama mzalendo Magufuli johnthebaptist
Mbowe kaingia mitini ...Ni Imani yangu, Mdahalo wa wagombea CDM unafuatikiwa Hadi na wanaccm waliopo Dodoma hivi sasa!
Magu aliishi kusikitika CHADEMA kumpokea fisadi Lowassa!Magufuli alikua mkweli!?..alikua muongo kwenye ulimwengu wa internet na watanzania walioelimika zaidi
Lissu: Mimi Nina kabba, na friji LANGU linagandisha, Kuna mambo nikiyasema hapa, watu watakimbia Nchi.
Mungu hawezi kulinda watu waongo waongoHakika Mungu aendelee kumlinda Lisu
Watanzania tunaiona nuru tuliyoingojea
KWA hiyo?Magu aliishi kusikitika CHADEMA kumpokea fisadi Lowassa!
Kutohudhuria Mdahalo kwenye chama Cha DEMOKRASIA na maendeleo ni sawa na kujiondoa kwenye kinyanganyiro.