Tundu Lissu: Ninampinga Magufuli hadharani. Sio mnafiki na sijahongwa

Kila kamati inayo mapendekezo yake. Kamati ya pili itatoa muongozo na ushauri wa kisheria na ndio sababu ya kuundwa kwake.
Wewe na Lisu wako ni wapuuzi na ni wa kupuuzwa tu.
Kuyazuia makontena si ni adhabu hiyo?
Ikitokea kamati ikashauri ifuatwe njia ya kisheria huioni stepu tuliyobugi?
 

Comment yako inanikumbusha kwamba ujinga ni mzigo
 
Kwa hiyo mikataba ya madini inaruhusu kudanganya kilichopo??
Tumbo hunyonya damu ya ubongo!!

Ndio hapo sasa

Hawa wanaumia wanataka Raisi aache anayofanya, ni walafi wakubwa.

Wanataka kuvuta wale wapenda kufata mikumbo, huku wao matumbo yao mbele kwanza.
 
Lissu tangu lini ulikuwa mzalendo! Uzalendo wa kutetea fisadi lowasa, au uchumia tumbo upi anausema zaidi ya huu wa kupewa kitu kidogo kumsafisha mtu aliye mchafua kwa miaka 10. Lissuu wadanganye vipofu wa vabichaa
Amepambana na mambo ya migodi kwa mrefu tu akisema maonevu yanayofanywa na wawekezaji mlimuelewa?zaidi ya kusema na wapigwe tu?yaani nyinyi sjui ni majitu gani msokuwa na haya leo polepole anaulizwa maswali anashindwa kujibu na kuanza kukwepa kama fisi maji.
 
We Una mchango gani? We mzuri kwenye kipi?
 
Kama unadai kuibiwa mchanga unaweza kutueleza huo mchanga uliuchimba lini wapi na kwa namna ipi!!?
UKOME KUYAPAKAZIA UZEMBE MAJESHI YETU YA ULINZI NA USALAMA WA MIPAKA, MAISHA NA MALI ZETU WATANZANIA.
 
“The industry can be its own worst enemy when it sits down and agrees these terms, it’s gonna come back and bite us. And in this case it has,” Gordon says. Those early arrangements, while perfectly legal, “were not equitable”, he adds. To head off the bad feeling, Acacia began paying corporate tax last year. “In total we paid $162m in taxes and other payments to the Tanzanian government in 2016 so we are one of the largest taxpayers in the country.”
 
Kwa hiyo mikataba ya madini inaruhusu kudanganya kilichopo??
Tumbo hunyonya damu ya ubongo!!
Wewe mkolomije mnaibiwa vipi mchanga mnaoupa escort kuusafirisha?
 
...You have our back up.
Your back up?

...get one's back up, to become annoyed; take offense.

We got your back:- An expression assuring someone that you are watching out for them. Comes from making sure you are safe by watching what's behind you when you're busy looking ahead. (Urban Dictionary)
 
Na kama kuna kitu huwa tunapata kutokana na kilo x basi ni kidogo na sio haki yetu.

Kama kilo x tunapata sh 100 basi ilitupaswa tupate sh 1000 kutokana na kilo 10x.
 
Taarifa iliyopekelewa na mh Rais ilikuwa ni ya kamati ya uchunguzi ambayo ilikuwa na hadidu rejea.. ambazo zilihitaji majibu. Na bila shaka majibu yaliypatikana ni hayo.
sasa mlitaka wasiyachunguze hayo makontena? Na wasingeyachunguza hizo taarifa za kilichomo na uwezo wa scanner zetu pale bandarini je yangejulikanaje?
Kwa mujibu wa ripoti baada ya uchinguzi...
je ndani ya mchanga kuna madini?
Kama yapo ni ya aina gani?
Kwa kiwango gani?
je taratibu zinazohusika na madini kwa nchi yetu zinafuatwa? Ni kwa kiwango gani?
uwezo wetu kupima kilichopo katika makontaina hayo ni wa uhakika?
Kama ndio je ni kwa kiwango gani?

Waliohusika na upimaji huo wana elimu katika masuala hayo? Kama ndio elimu na uelewa wao ni wa kiwango gani?
je taarifa ilikuwa inamhusu nani ? Kama ni yetu Watanzania enyi wanasiasa "wabwatukaji" mlitaka tuipokee kwa mtindo upi?
enyi mbweha mlio wanafaki mabwingwa wa kuhadaaa na kurubuni akili za watu kwa maswali hayo sioni shaka kwa kiwango kidogo cha elimu nilicho jaaliwa kukipata.
 
Kila kamati inayo mapendekezo yake. Kamati ya pili itatoa muongozo na ushauri wa kisheria na ndio sababu ya kuundwa kwake.
Wewe na Lisu wako ni wapuuzi na ni wa kupuuzwa tu.

Ooh, kumbe ile ya 2, 3 ,4 hadi ya 100 itakuja na pendekezo la kumrudisha ktk nafasi yake Prof. Muhongo, siyo ?

Itakuja na lipi jipya hasa ambalo ni tofauti na hii ya kisiasa ya Prof. Mruma iliyopakwa rangi ya "uprofesa " kumfurahisha Farao Uchwara ?

Aisee, nyie maCCM ni wendawazimu wa kiwango cha kuzimu hakya nani vile....!!
 
Kwahiyo huu ndio mchango wako kuhusu makanikia.
 
Maskini siasa uchwara za watanzania hazitatusaidia kusonga mbele.Ingekuwa Marekani mtu kama Tundu Lissu kwa uzoefu wake katika sheria za kitaifa na kimataifa hususani uzoefu alionao kuhusu sakata la mikataba ya wawekezaji wa madini ushauri wake ungezigatiwa na angejumuishwa ktk jopo la wataalam wa kututoa katika janga hili la wizi na utapeli.

Lakini kinyume chake kwa ushabiki wa kijinga tunamuona kuwa anawatetea wawekezaji wa madini.Huyu Lissu ni kichwa adimu sana na ana akili nyingi sana ktk mambo ya sheria na pia uzalendo wake unaonekana wazi wala si wa kutilia shaka

Pia Lissu ana maono ndio maana kils anachotabiri hutokea,mfano katika makala hayo inaonekana kinachotokea sasa kuhusu sakata la mchanga alishakieleza na kukitabiri miaks mingi. Pia kuhusu utawala huu alitabiri mambo mengi ambayo yametokea mfano,uvamizi wa clouz media,kutishiwa bastora kwa Nape na kutekwa na kuuawa kwa raia nk
Hivyo serikali ikubali ushauri wake wa kisheria tusiupuuze kisa uchadema wake ili hali uwezo wake kisheria unaeleweka kitaifa na kimataifa.Kwa wasiokumbuka huyu Lissu ndie aliyemtetea rais Zuma kwenye sakata lake kama raisi wa Afrika kusini na akamwokoa kisheria za Afrika kusini akaonekana hana hatia na mpaka leo ni raisi.
 
Unajuwa ukishakuwa ccm hata akili uwazinapetea unafanana chizi hili liccm lillilochangia hapa halinahoja naistoshe hayamajamaa kaziyao huayanasubilia viongoziwao wakijampa menyewe yanapiga makofi navigelegele siatabungeni tunawaona sasa kamawabungewao kaziuao nikupiga makofi jeleo humfwasi wao atafanya nn ndiyomaana anapingana na ukweli wa lisu
 

Kuibiwa, tunaibiwa sana.... hakuna anayebisha !!

Kinacholeta shida na kutuudhi sisi wengine ni kuwa, hata hawa CCM ambao ndiyo waliosaini kuibiwa kwetu, wanajifanya kulia pamoja na sisi wakati wanapaswa wote kuwa wako jela akiwemo Magufuli mwenyewe !!!

Wangekuwa waungwana hawa, kuanzia Magufuli mwenyewe, hadi huku chini wangepaswa kuachia ngazi ktk kuongoza jahazi la taifa hili......!!
 
huyu ni chizi tuu aseme kama mikataba iliyo sainiwa ina halalisha kudanganya kiasi cha madini kilichomo ndani ya mchanga....
Tahira huyu

Aliyesaini hiyo mikataba ni nani? Kwa maelekezo ya nani? Chini ya serikali ya chama gani? Iliyopitishwa na wabunge wengi wa chama gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…