Kuyazuia makontena si ni adhabu hiyo?Kila kamati inayo mapendekezo yake. Kamati ya pili itatoa muongozo na ushauri wa kisheria na ndio sababu ya kuundwa kwake.
Wewe na Lisu wako ni wapuuzi na ni wa kupuuzwa tu.
Tundu Lisu kaenda Shuleni kujifunza kiingereza na kuongezea muda aliokaa Uingereza kajua kiingereza basi, lkn Kichwani ni Zero, jamaa ni mtupu hadi huruma, eti kapigania hii nchi ana akili ndogo kama Nape, wewe Tundu lisu upiganie hii Nchi?? Hata kwenu Singida kwenyewe hawakutaki unapita kwa shida halafu unasema umeipigania hii nchi? Labda umempigania Fisadi Mwenzako lowasa!
Kwa hiyo mikataba ya madini inaruhusu kudanganya kilichopo??
Tumbo hunyonya damu ya ubongo!!
Amepambana na mambo ya migodi kwa mrefu tu akisema maonevu yanayofanywa na wawekezaji mlimuelewa?zaidi ya kusema na wapigwe tu?yaani nyinyi sjui ni majitu gani msokuwa na haya leo polepole anaulizwa maswali anashindwa kujibu na kuanza kukwepa kama fisi maji.Lissu tangu lini ulikuwa mzalendo! Uzalendo wa kutetea fisadi lowasa, au uchumia tumbo upi anausema zaidi ya huu wa kupewa kitu kidogo kumsafisha mtu aliye mchafua kwa miaka 10. Lissuu wadanganye vipofu wa vabichaa
We Una mchango gani? We mzuri kwenye kipi?Lissu is a classic example of a loose cannon. Watu kama Lissu ni wazuri sana kuongea lakini ukimkabidhi zizi mifugo yote itakufa kwa funza. He will do nothing apart from lecturing the planet earth. No wonder baada ya miaka 8 alikuwa matapishi, shamelessly.
Kama unadai kuibiwa mchanga unaweza kutueleza huo mchanga uliuchimba lini wapi na kwa namna ipi!!?Mkuu nakuheshimu sana. Lakini kwa nini hatulielewi hili sakata la mchanga?
Tatizo sio mkataba.
Tatizo ni kuwa wanadanganya kuwa mchanga una dhahabu kilo X kumbe ukweli una kilo 10X. Hiki ndicho anachoshupalia Raisi Magufuli.
Kwa nini hatumuelewi?
Au ndio upinzani wenyewe huo?
Ninashindwa kuelewa kiini cha huu mjadala.
Maybe I am dumb.
Wewe mkolomije mnaibiwa vipi mchanga mnaoupa escort kuusafirisha?Kwa hiyo mikataba ya madini inaruhusu kudanganya kilichopo??
Tumbo hunyonya damu ya ubongo!!
Your back up?...You have our back up.
Na kama kuna kitu huwa tunapata kutokana na kilo x basi ni kidogo na sio haki yetu.Mkuu nakuheshimu sana. Lakini kwa nini hatulielewi hili sakata la mchanga?
Tatizo sio mkataba.
Tatizo ni kuwa wanadanganya kuwa mchanga una dhahabu kilo X kumbe ukweli una kilo 10X. Hiki ndicho anachoshupalia Raisi Magufuli.
Kwa nini hatumuelewi?
Au ndio upinzani wenyewe huo?
Ninashindwa kuelewa kiini cha huu mjadala.
Maybe I am dumb.
Kahakiki cheti chako cha kuzaliwaKama ndio utakuwa ushauri atafanya hivyo. Hata kama watamshauri kuomba radhi atafanya. Wakimshauri awapunguzie bei atafanya.
Taarifa iliyopekelewa na mh Rais ilikuwa ni ya kamati ya uchunguzi ambayo ilikuwa na hadidu rejea.. ambazo zilihitaji majibu. Na bila shaka majibu yaliypatikana ni hayo.
Na mimi ni Mtanzania pia.
Tofauti kati yangu mimi na wewe na Magufuli ni hii: Mimi nimepigania nchi yangu katika masuala haya tangu mwaka '99.
Wakati huo tulikuwa na mgodi mmoja tu wa dhahabu, Resolute Golden Pride Nzega. Bulyanhulu ilikuwa haijajengwa. Geita ndio kwanza walikuwa wanafukuza wanakijiji wa Mtakuja.
Nadhani nilikuwa wa kwanza katika nchi hii kupiga yowe kwamba tutaibiwa sana kwenye sekta ya madini.
Wewe sijui ulikuwa wapi wakati huo. Najua Magufuli alikuwa wapi: upande wa MaCCM na wawekezaji hawa.
Nimepigana na wawekezaji hawa mahakamani, kwenye medani ya kisiasa ndani na nje ya nchi hii kwa zaidi ya miaka 15. Nimetetea wananchi completely free of charge Bulyanhulu, Tarime, Nzega, Geita, n.k.
Sijui wewe ulikuwa wapi lakini najua Magufuli alikuwa upande wa nani: wa MaCCM na wanyonyaji hawa.
Soma Rai ya tarehe 17 Julai, 2001, uone tulimwambia nini Mkapa siku anaenda kuzindua Mgodi wa Bulyanhulu.
Sijui ulikuwa wapi lakini najua Magufuli alikuwa wapi: alikuwa anatetea tumbo lake na matumbo ya wanyonyaji hawa.
Nilikamatwa na kushtakiwa kwa uchochezi kwa sababu ya Bulyanhulu. Hiyo ilikuwa December 2002. Nilikaa na kesi hiyo mahakamani Kisutu kwa miaka sita.
Sijui ulikuwa wapi ila najua Magufuli alikuwa wapi: upande wa watesi wa wananchi na wanyonyaji wa rasilmali zetu.
Leo Magufuli anajifanya mzalendo na anahoji uzalendo we yeyote anayepingana nae.
Ni muongo. Anatafuta umaarufu wa kisiasa kwa wasiojua na wasiokumbuka. Ataupata. Kwa siku chache tu. Mark my words: ataumbuka na mtaumbuka.
Mimi ninampinga hadharani. Sio mnafiki, na sijahongwa. Ninampinga kwa sababu atatusababishia matatizo makubwa zaidi kuliko tuliyonayo sasa.
Huo mchanga atauachia upelekwe ambako umepelekwa kwa miaka 16 iliyopita. Kama sheria ndiyo hiyo na mikataba ndiyo hiyo hana pakwenda.
Tatizo ninaloliona ni kwamba by the time anawarudishia mchanga wao, Tanzania itakuwa imekuwa a basket case kama Zimbabwe.
Na tutakuwa tumelipishwa mapesa mengi kama fidia na arbitral tribunals za kimataifa kwa kuvunja mikataba na wawekezaji hawa.
Kama kuna anayefikiri uzalendo ni kufumbia macho masuala haya basi huyo na amuunge mkono Magufuli kwenye upofu wake wa kujitakia.
Ripoti ya Prof. Mruma haitamaliza hata nusu saa under serious scrutiny. Zaidi ya majina ya maprofesa walioiandaa, ripoti hii haina credibility yoyote. Ni kazi ya kisiasa iliyopakwa rangi ya usomi.
Kama umefuatilia taarifa za kitaalamu za Bulyanhulu hata kabla ya Barrick Gold kuingia mwaka '99 utajua ninasema nini.
Sutton Resources, Outukumpu Oy na hata STAMICO walishafanya utafiti mkubwa juu ya utajiri wa Bulyanhulu. Taarifa zipo na zimekuwepo kwa hata mbumbumbu wa jiolojia ya madini kama mimi.
Hiki alichoambiwa Magufuli ni rubbish, hata kama ni ya kiprofesa. Rubbish. Hatuibiwi kwenye mchanga, that's the rubbish fed on the unlettered.
Tunaibiwa kwenye sheria. Kama hamuoni hilo then God have mercy on us.
Kila kamati inayo mapendekezo yake. Kamati ya pili itatoa muongozo na ushauri wa kisheria na ndio sababu ya kuundwa kwake.
Wewe na Lisu wako ni wapuuzi na ni wa kupuuzwa tu.
Kwahiyo huu ndio mchango wako kuhusu makanikia.Tundu Lisu kaenda Shuleni kujifunza kiingereza na kuongezea muda aliokaa Uingereza kajua kiingereza basi, lkn Kichwani ni Zero, jamaa ni mtupu hadi huruma, eti kapigania hii nchi ana akili ndogo kama Nape, wewe Tundu lisu upiganie hii Nchi?? Hata kwenu Singida kwenyewe hawakutaki unapita kwa shida halafu unasema umeipigania hii nchi? Labda umempigania Fisadi Mwenzako lowasa!
Naona Lisu ana ushawishi mkubwa sana ila nasikitika sana kwa nini hakujumuishwa kwenye kamati mojawapo bnafsi ningeelewa zaidi ya nijuavyo manake nakosa wa kumuamini,Lisu aunganishwe tu kubishana wenyewe kwa wenyewe kunazidi kuwapa nguvu ACACIA in case kama ni lweli wanaiba,tujiridhishe tu kwa namna yoyote hamna namna
huyu ni chizi tuu aseme kama mikataba iliyo sainiwa ina halalisha kudanganya kiasi cha madini kilichomo ndani ya mchanga....
Tahira huyu
Sasa unashangiliaje kitu haujui?Ni kiongozi ndie ajuaye zaidi na anayeendesha Lori, mimi mwananchi namshangilia.