Tundu Lissu: Ninampinga Magufuli hadharani. Sio mnafiki na sijahongwa

Ni kweli Lisu ameanza miongo miwili iliyopita akiwa na LEAT. Lakini ccm enzi hizo ndio waliotufikisha hapa.
 
Hapo amesema vyema
 
Ametufukuzia muhongo wetu na umeme umeanza kukatwa toka Jana. Kigamboni Jana umekatwa asubuhi umerudishwa saa tano usiku. Sasa hivi hapa Kariakoo tayari umeshakatwa. Haya matatizo tulishaanza kuyasahau.
 
Kwani rais angependa kushirikiana na Lisu?
 
Ajue asijue kwahiyo aache tu madhara yaendelee?
Utadhuiaje madhara wakati ulikuwa na utashi na akili kipindi unaridhia miswaada mibovu na kandamizi ya madini ipite,afadhari angeonekana wa maana kama kipindi hicho alikuwa anapinga tungemsifia kwa hilo leo hi unasimamisha bodi nzima wakati baba yao Mkapa unamuacha kisa tu anakinga ya rais
 

Hatuibiwiw kwenye mchanga tunaibiwa kwenye sheria duhhh hapo tu dah so sad
 
Uko vizuri sana ndugu . . [emoji106] [emoji106]

Tukiendelea kutaja taja vimajina vya JPM, Mkapa, Chenge , Polepole . . , tujue kuwa wote hawa ni walewale toka mwaka 1961 . .
Wanapeana deals za wizi tuu, hawataki KATIBA MPYA, hawataki UHURU WA HABARI, UKISEMA UNANG'OLEWA KUCHA, UKIIMBA UNATEKWA . . , mbona hawa ccm hawafai kabisa jamani hamwoniiiii . .

Subiri uchaguzi ufike uone watakavyokuja na ngonjera . . , kuleta sheria mpya ya TUME HURU YA UCHAGUZI hawataki . . , kazi kuwanunua wasanii njaa wasiojitambua kuwafanyia campaign . .
Na hela za kuhonga wakati wa uchaguzi ndio zinatoka huko huko kwenye mi mikataba mibovu ya madini, utalii, Loliondo, Mchuchuma . . Hao ndio CCM bwana . .
 
Swadakta kama ile mikataba 17 ya wachina iliyosainiwa kwa nusu saa
Nshozi . . ,

Bado kuna madudu mengi saaana ya ccm hayajafumuka . .

1. Kuna CHUMA cha Mchuchuma na LIGANGA, yale madini pale ni yetu au tulishawapa wachina . . ?!

2. LOLIONDO ni jipu jingine la ccm linalosubiri kulipuka . .

3. IPTL . . , imeishaje ile skandali . . ?! JPM yupo au hayupo . . ?

Ongezeeni majipu mengine mnayoyajua . .
 
Nani kakwambia siasa ni uadui?kila kiongozi anaweza kubadili tabia kama amekusudia
 
Huyu ndiye mpiganaji wa ukweli sio yule mwingine anayetafuta kick kwa kufukuza mawaziri huku akijua tatizo lipo kwenye mikataba
Binafs nilimjua Lissu kutokana na hizi mambo za madini.Alikua akialikwa sana na Masako kwenye kipindi cha Kipima Joto na alikua akienda pale anaenda kama mtetez wa mazingira hasa huko migodini.Miaka hiyoooo
 

Ndivyo wanavyojifariji SISIEM
 
Lissu tangu lini ulikuwa mzalendo! Uzalendo wa kutetea fisadi lowasa, au uchumia tumbo upi anausema zaidi ya huu wa kupewa kitu kidogo kumsafisha mtu aliye mchafua kwa miaka 10. Lissuu wadanganye vipofu wa vabichaa

Umemjua Lissu mwaka 2010 wewe.
Ila Chenge ndo mzalendo
 
Tatizo la Lissu anaongea sana bila kurecommend au kuingia kusaidia nini kifanyike ili kushinda Vita hii.

Maneno makali na kebehi hayatasaidia kuiokoa nchi yetu dhidi ya unyonyaji wa nje.

Rais ameanzisha Vita ambayo huko nyuma anakokulalamikia Lissu hakuwa na misuli hiyo.

Lissu aungane na timu ya Magufuli, tusonge mbele.

Ushindi wa JPM ni wetu sote, kushindwa kwake ni hasara yetu sote mpk ya Lissu mwenyewe
 
Kweli kabisa ulichoongea. Hata mi uzalendo wake siuoni maana Lowassa ndo mwenye Acacia na ndo anayewaibia dhahabu na kusafirisha mchanga.

Kwa akili hii usipochukua nafasi ya Muhongo, utakuwa umeonewa na udai haki yako.
Hahahaaa eti adai chake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…