Tundu Lissu: Ninampinga Magufuli hadharani. Sio mnafiki na sijahongwa

Huyu naye siasa tu, Hivi alitaka Mh. Rais afanyeje katika Swala kama hili si aseme, kazi kulalamika. Kwa maelezo yake nafikiri ulikuwa ni wakati sasa kumuunga Raisi mkono......
 
Huyu naye siasa tu, Hivi alitaka Mh. Rais afanyeje katika Swala kama hili si aseme, kazi kulalamika. Kwa maelezo yake nafikiri ulikuwa ni wakati sasa kumuunga Raisi mkono......
Raisi aungweje mkono na Lissu . . Hebu eleza na sie tuelewe . .
 
Na kweli wewe ni Dumb wala hujakosea..Magufuli wakati kipindi hicho anasema Ndiyo mswaada wa madini upite alikuwa hajui faida na madhara yake? Au alikuwa anaunga mkono ilimradi tu bora liende?
Katika mkataba kati ya ACACIA na serikali ni wapi panaposema kuwa ACACIA wanaweza kutudanganya kiasi cha dhahabu kilichopo ndani ya mchanga wanaosafirisha?

Mikataba haina uhusiano wowote na WIZI uliobainishwa katika huu mchanga uliokamatwa.

Focus on the issue at hand. Ni kweli mikataba ni mibovu. Hata CEO wa ACACIA amekiri hilo. Lakini hili sakata la mchanga halikusababishwa na mkataba mbovu. Ni WIZI, period.
 
Kama unadai kuibiwa mchanga unaweza kutueleza huo mchanga uliuchimba lini wapi na kwa namna ipi!!?
UKOME KUYAPAKAZIA UZEMBE MAJESHI YETU YA ULINZI NA USALAMA WA MIPAKA, MAISHA NA MALI ZETU WATANZANIA.
Jamani shule inasaidia sana. Ningekujibu kama swali lako lingeeleweka.

Naona jazba tu lakini sielewi unauliza nini.
 
Jamani shule inasaidia sana. Ningekujibu kama swali lako lingeeleweka.

Naona jazba tu lakini sielewi unauliza nini.
Unaonyesha dhahiri kuwa bila kimondo hufaulu mtihani hata wa chekechea.
 

..jaribu kuwa balanced.ukishindwa
hilo jaribu ktk mijadala hii kuchambua "mchele" na "pumba" uachane nazo.

..hayo mambo hayatokei tu. Kuna mahali tumejikwaa. Ni lazima tupajue, na siyo kuwa fixated na tulipoangukia.

..kwa maoni yangu, mazingira mabovu ya kisiasa yamesababishwa au yanachochewa na Mzee mwenyewe.

..kwa maoni yangu Mzee haamini ktk dhana ya demokrasia ya vyama vingi. Hili nililisema tangu hajawa "mtu mkubwa."

..Lingine nadhani haamini ktk rule of
law. Anataka yeye asimike sheria na taratibu.

..Zaidi Mzee hana uvumilivu kwa yeyote mwenye mawazo tofauti na ya kwake. Jaribu kumsikiliza jinsi anavyowaadhiri wale aliotofautiana nao kimtizamo.

..Kwa maoni Mzee ndiyo chanzo cha kuchafuka kwa hali ya kisiasa na kijamii nchini. Vilevile ndiyo kikwazo cha hali hiyo kutengemaa.

SAKATA LA MIKATABA YA MADINI.

..CCM walipaswa kuonyesha UUNGWANA kwa kukiri makosa ya kuruhusu dhuluma hii iendelee kwa miaka 15++.

..RAISI na Mwenyekiti wa CCM alipaswa kuliomba RADHI taifa kutokana na maamuzi ya serikali za CCM yaliyolitia taifa hasara.

..Raisi alipaswa kutambua mchango wa wanaharakati kuwa walikuwa sahihi na waliweka maslahi ya taifa mbele.

..Katika hili WANAHARAKATI walitakiwa kutambuliwa kama MASHUJAA wa taifa letu.

..Kama kiongozi alipaswa kuliunganisha taifa na kusititiza umuhimu wa mchango wa kila Mtanzania.


..Baada ya hapo sasa ndipo Raisi angetangaza vita dhidi ya wawekezaji wanaotuibia.

Cc Nguruvi3
 
Nimesoma mistari miwili tu ya reply yako nikagundua huwezi kujenga bure,ila ukilipwa unabomoa,una nini cha kunielewesha wewe,unavyodai sijamuelewa Lisu so unahisi wewe nikuelewe na mitusi yako,endelea kubomoa
 

veri truuuuu!
 
Ni muongo. Anatafuta umaarufu wa kisiasa kwa wasiojua na wasiokumbuka. Ataupata. Kwa siku chache tu. Mark my words: ataumbuka na mtaumbuka.

Mh. Lissu na wewe ulikuwa unalipwa na wazungu hao hao kwa maslahi yao huku ukitafuta sifa zilizo kupa ubunge
 
Tundu, yawezekane ulifanya hivo lakin no prove of success, kama mlizunguka taifa zima mkinenea uma kuwa flani ni fisadi, na umma ukaamini na kwa kulinda heshima mh. Ka resign. Baada tu hatujasahau mkageuza shingo wewe ukiwepo na kusema huyu jamaa msafi sana basi tu mpeni usukan.
Hata sasa watu wamekosa kukuamini kama hujajua asi me nakuibia siri wanaona unaongeaga tu wakati wa tukio baada ya hapo hulikana tukio kwa nguvu zote
So matatizo this one
 
Antipas nimekusoma sana Kama hawaelewi tu mpaka hapo bac ni mazombi
 
Hata Lipumba ni Profesa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…