Tundu Lissu: Ninampinga Magufuli hadharani. Sio mnafiki na sijahongwa

Anacho zungumza lisu kinaeleweka sana labda wewe ndio huelewi.
 
Sijajua hiyo kamati ya pili iliyojaa wanasheria watamshauri vipi Rais lakini iwapo watataka kumfurahisha kwa kumdanganya Rais kama ile ripoti ya kamati ya awali basi nchi itaingia ktk mgogoro mkubwa wa kisheria na mwisho wa siku washindi ni BARRICK(ACACIA)
 
Aisee huu ushabiki ndo adui mkubwa sema huelewi siyo kosa lako, Kati ya hiyo tume iliyofanya uchunguzi wa kumfurahisha raisi na hao jamaa nani anadanganya ?? Unaambiwa kiasi cha madini kinacho semekana kimo kwenye mchanga huo kama ni kweli maana yake inamaanisha migodi ya buzwagi na hiyo ya musoma ndiyo inaongoza kwa utoaji wa dhahabu nyingi duniani. Sasa huoni hapo kuna udanganyifu umefanyika kumdanganya raisi!! Tumia hata muda wako kusoma usikurupuke kwa kuona vichwa vya habari.
 
safi sana akili kama hizi ndo naziunga mkono,ni kama umesoma nnachowaza,uko on point asee
 
Hawa wazungu wamekuwa wanatuibia SANA, SANA. Lakini kiini cha wizi huo ni sheria mbovu zilizowezesha mikataba mibovu kusainiwa. Wabunge wa ccm ndio wamepitisha hizo sheria mbovu. Na wala marais waliopita sio wa kulaumiwa wao maana kwa kupitisha hizo sheria mbovu wabunge wa ccm wamewapa hao marais 'msingi' wa kuweka saini hiyo mikataba mibovu. Lazima tuelewe kwamba ACACIA HAWATOLIPA hicho kiasi tulichoambiwa wanadaiwa kwa sababu zifuatazo: a) Wameshakubaliana na Rais kwamba watalipa BAADA ya makubaliano kwenye mazungumzo kati yao na sisi. Sheria tulizopitisha zinasema hizo makinikia ni mali yao. Kwa hiyo hata kama makinikia ina thamani ya trilioni mia hiyo ni pesa yao sio yetu. b) Hata kama huo udongo una thamani ya trilioni mia kilicho CHETU HAPO NI ASILIMIA NNE TU yaani trilioni nne tu. c) ACACIA hawawezi kukubali majibu ya ile timu ya Mruma kwa sababu hawakushirikishwa. Watasema 'wamebambikiziwa' udongo uliopimwa na kwa vile hawakushirikishwa, watatushinda. d) Wakisema timu ingine yenye watu wao ianze kupima tena TUKUKUBALI TUMEKWISHA. Profesa Mruma na watu wake wamepima sawasawa makontena ambayo ndani yake hao wazungu walikuwa wameficha udongo wenye dhahabu nyingi. Makontena mengine yana dhahabu kidogo sana kwa kiwango ambacho ACACIA wanasema. Kwa hiyo, udongo wake ukipimwa tutaonekana upimaji wetu ulikuwa feki kuliko maelezo. Njia ya pekee ya kuwakamata ni kutumia makosa mengine waliyofanya. Miaka iliyopita kulikuwa na tetesi kwamba kuna watu waliofukiwa Bulyanhkulu. Kuna hizo sumu zilizozagaa kwenye maeneo ya migodi. Tunaweza kudai fidia kubwa sana kwa kuathiriwa afya za wananchi wetu. ACACIA wametuibia sana maana ndege zao zilikuwa zinaondoka na dhahabu nyingi sana na serikali haikifuatilia. Lazima tum-support Magufuli "kuwabamiza' kadiri iwezekanavyo lakini tutumie mbinu ingine tofauti na majibu ya upimaji wa makinikia
 
Sijawahi kuona kipindi au wakati ambao wananchi wamegoma kuyumbishwa na wanasiasa km sasa watu wapo silious kula msimamo ili waone mstakabari wao wa maisha wewe naye unakuja na historia? Lkn pia Lisu anajua vyema ktk siasa za Tz zinafanana tu ila tatizo ni mapenzi ya kupitiliza mf.km anachoongea anamaanisha mbona hamtaji Lowasa &Sumaye? Kwanini anamtaja Magufuli peke yake? Huoni kuwa huu nao ni usanii tu km fisadi aliyeandikwa miaka nenda rudi na hawa2 tunaowaita wasomi na wazalendo? Leo wanamuona ndoo shujaa[emoji1] [emoji2] [emoji99] [emoji99] na mkombozi wa wanyonge.
 
P Rutashobolwa usikasirike utafiti kwa utafiti. Sisi tunamwelewa Lissu vizuri.
1. Muhimu zaidi ni mikataba
2. Hivo vipimo walivyotoa maprof siyo sahihi
3. Kuzuia wakati wamefuata kilichoandikwa kwenye mikataba inaweza kutuletea gharama kama taifa.
Sasa hapo huna sababu ya kumtukana njoo tu na hoja yako.
Shida ya miccm ni hiyo. Kutukana badala ya hoja na pia wana uwongo kutaka kutudanganya kuwa Lissu ndiye msaliti na siyo viongozi wetu wa zamani na wabunge wao!!!
 
Watanzania shule hazitusaidii maana tumezoea kila kitu kujiuliza kwa sangomas
 
Lissu tangu lini ulikuwa mzalendo! Uzalendo wa kutetea fisadi lowasa, au uchumia tumbo upi anausema zaidi ya huu wa kupewa kitu kidogo kumsafisha mtu aliye mchafua kwa miaka 10. Lissuu wadanganye vipofu wa vabichaa
Unaweza kumtukana Lisu lakini huwezi kupangua hoja zake!
 
Hujaelewa! Hasemi kuwa hatuibiwi! Bali anasema tulihalalisha huo wizi kwa kutunga sheria na kusaini mikataba inayowapa mwanya wa kutuibia! Kwa hiyo tuliibiwa kwenye sheria! Huo mchanga ni wao! Sana sana chetu hapo ni 4%!
 
Bora ungenyamaza Mkuu. Umejinyea..
 
Ni Bora yeye kuliko wewe.
 
Jiulize walienda kupima wapi mchanga ndio utaweza kupata jibu lako. Haiwezekani uchukue kilo moja kati ya kilo 1000 afu ufanye sampo ya makotena 270 huu ni utoto. Ila wangetaka kupata sampo ya uhakika wangechukua kontena moja ndio liwe sampo ya makontena 270.
 
Lissu tangu lini ulikuwa mzalendo! Uzalendo wa kutetea fisadi lowasa, au uchumia tumbo upi anausema zaidi ya huu wa kupewa kitu kidogo kumsafisha mtu aliye mchafua kwa miaka 10. Lissuu wadanganye vipofu wa vabichaa
Tundu Lissu ni mzalendo namba 2 Tanzania baada ya BABA WA TAIFA.

Yaani kama mpaka Leo fisadi unamuona ni Lowassa basi wewe akili zako zinatosha kukusaidia kufunga kamba za viatu pekee.

Tulishaambiwa maagizo yalikua yanatoka juu sasa cjui huelewi aliyekua juu ni nani au unaamua kujitoa ufahamu ?

Lowassa kajiuzuru 2007,sasa jiulize ni matukio mangapi ya kifisadi yameendelea kutokea baada ya 2007 mpaka sasa???
 
thibitisha, uzalendo wa lissu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…