Tundu Lissu: Ninampinga Magufuli hadharani. Sio mnafiki na sijahongwa

Tundu Lissu: Ninampinga Magufuli hadharani. Sio mnafiki na sijahongwa

..hakuna mtu amewatetea barrick kama Magufuli.

..serikali ilisema inawadai barrick usd 191 billion.

..kitu cha ajabu deni likateremshwa mpaka kuwa usd 300 million.

..yaani ni sawa na udai shilingi 630+ halafu ukubali kulipwa shilingi 1, tena ulipwe kidogo kidogo.
Kwamba Magufuli ndie alikuwa anawatetea Barick huku Lissu akiwatetea watanzania?
Sijaelewa hapa.
 
Naomba majibu ya hili swali Hadi leo sijapata.

Kwa nini Lissu alikiwa anawetetea Sana Barick na kutishia kwamba tutashitakiwa? Alikuwa na nia ya dhati kweli ama alikiwa anatetea ulaji wake tu? Ama ilikuwa sehemu ya Siasa kwamba ukiwa upinzani lazima upinge kila Jambo?

Nikijibiwa nikaelewa basi kura yangu kwake.
Sidhani kama kura yako ni muhimu kwake kiasi hicho
 
We ni miongoni wa wale walomuamini lisu eeeh.

Punguza unyumbu brother,next time utatumbukizwa shimoni ujue Kama hujui lolote ndani ya nchi hii.

Utakua Katika kundi linaloamini Lissu ndo Rais wako baada ya 28/10.
Bila Shaka atakua Rais wa nyumbu
Behind the keyboard with fake username you can write anything no matter how valueless it is...
 
Naomba majibu ya hili swali Hadi leo sijapata.

Kwa nini Lissu alikiwa anawetetea Sana Barick na kutishia kwamba tutashitakiwa? Alikuwa na nia ya dhati kweli ama alikiwa anatetea ulaji wake tu? Ama ilikuwa sehemu ya Siasa kwamba ukiwa upinzani lazima upinge kila Jambo?

Nikijibiwa nikaelewa basi kura yangu kwake.
Mnaongeaga kama Wapuuzi lkn Kweli ni Wapuuzi

Kwani Barrick hawastahili kutetewa? Makamu Rais wa Barrick Deo Mwanyika mliyedai ni Mhujumu Uchumi na Mkashitaki kwa Makosa 90 leo si ndo Mgombea wa Magufuli Njombe Mjini, na si ndo Magufuli atafika kumfanyia Kampeni achaguliwe?
 
Naomba majibu ya hili swali Hadi leo sijapata.

Kwa nini Lissu alikiwa anawetetea Sana Barick na kutishia kwamba tutashitakiwa? Alikuwa na nia ya dhati kweli ama alikiwa anatetea ulaji wake tu? Ama ilikuwa sehemu ya Siasa kwamba ukiwa upinzani lazima upinge kila Jambo?

Nikijibiwa nikaelewa basi kura yangu kwake.
Kwanini serikali ya ccm ilikubali unyonyaji wa barrick?

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Mnaongeaga kama Wapuuzi lkn Kweli ni Wapuuzi

Kwani Barrick hawastahili kutetewa? Makamu Rais wa Barrick Deo Mwanyika mliyedai ni Mhujumu Uchumi na Mkashitaki kwa Makosa 90 leo si ndo Mgombea wa Magufuli Njombe Mjini, na si ndo Magufuli atafika kumfanyia Kampeni achaguliwe?
Tumalize kwanza la Lissu afu tuje la Mwanyika.

Tusifiche hoja kwenye hoja nyingine.

Kwani Lissu alikuwa wakili wa Barick?
Naomba jibu.
 
Naomba majibu ya hili swali Hadi leo sijapata.

Kwa nini Lissu alikiwa anawetetea Sana Barick na kutishia kwamba tutashitakiwa? Alikuwa na nia ya dhati kweli ama alikiwa anatetea ulaji wake tu? Ama ilikuwa sehemu ya Siasa kwamba ukiwa upinzani lazima upinge kila Jambo?

Nikijibiwa nikaelewa basi kura yangu kwake.
Duh! Kumbe bado hata haujui? Kwanza siyo Barrick, anzia Acacia. Barrick ilitumika kuiokoa serikali kwa kuinunua Acacia, na serikali ikaachana na madai dhidi ya Acacia ambao walikuwa radhi kwenda Miga.

Wengi wenu mpompo tu hamjui kinachoendelea zaidi ya ushabiki.
 
Kwamba Magufuli ndie alikuwa anawatetea Barick huku Lissu akiwatetea watanzania?
Sijaelewa hapa.

..aliyewapunguzia deni Barrick toka usd 191 billion mpaka usd 300 million ni Magufuli.

..yaani ni sawa na kudai usd 636 halafu ukubali kulipwa usd 1. Na hata hiyo usd 1 unalipwa kidogo kidogo.

..kwa hiyo mtetezi mkuu, na kibaraka, wa barrick hapa Tanzania ni John Pombe Joseph Magufuli.
 
Wakili ni wakili tu,ana ingia pande yeyote mradi fukie bei anayohitaji.
 
Naomba majibu ya hili swali Hadi leo sijapata.

Kwa nini Lissu alikiwa anawetetea Sana Barick na kutishia kwamba tutashitakiwa? Alikuwa na nia ya dhati kweli ama alikiwa anatetea ulaji wake tu? Ama ilikuwa sehemu ya Siasa kwamba ukiwa upinzani lazima upinge kila Jambo?

Nikijibiwa nikaelewa basi kura yangu kwake.
How can any logical person think we can survive another five years or more of that dude from the green?
 
Naomba majibu ya hili swali Hadi leo sijapata.

Kwa nini Lissu alikiwa anawetetea Sana Barick na kutishia kwamba tutashitakiwa? Alikuwa na nia ya dhati kweli ama alikiwa anatetea ulaji wake tu? Ama ilikuwa sehemu ya Siasa kwamba ukiwa upinzani lazima upinge kila Jambo?

Nikijibiwa nikaelewa basi kura yangu kwake.

Mpaka sasa hivi Barick wapo na mikataba yao ni siri, Lisu ndio kaagiza waendelee kuwepo na mikataba yao ifichwe?
 
Back
Top Bottom