Tundu Lissu: Ninampinga Magufuli hadharani. Sio mnafiki na sijahongwa


Alichokipigania kabla ya mikataba ya kikoloni haijasainiwa na Mwenyekiti wa Ccm Mkapa,leo ndio matokeo yake yameonekana.
 
Mungu ambariki mh Lissu yaani nawaonea wanachi wa jimbo lake la uchaguzi bunge
 
U
Magufuli anatuzuga tu. Hata Muhongo kamuonea. Nasiyejua maCcm yanavyo pitisha sheria mbovu mbovu. Magufuli mwenyewe aliitikia ndiyooooo back then Muhongo hakuwapo. Ma CCM wengi pamoja na vibaraka wao mitandaoni ni wahujumu uchumi shenz zenu
 

Hapo ndio point ilipo mkuu, yaani chakula ni cha kwako halafu anakuja mtu unampa chote kisha wewe unapambana juu chini kuhakikisha ukoko haondoki nao. Kwanini hiyo mikataba isiwe wazi tuone nini kimo ndani, badala ya kupambana na mchanga pekee wakati kuna dhahabu safi inachukuliwa kimachomacho, kisa eti Mkapa na JK waliwashikia akili wabunge wa ccm waseme ndiooooooo ili tuibiwe?
 
We ng'ombe ccm ipo madarakani kufanya nn? Kwa nn hamumshitaki? Mafisadi waliotajwa ni 11 hao kumi wako wapi mbwa nyie wafisidi wa raslimari za Tz.......Kazi yenu kutengeneza matatizo alafu mnajifanya mnayatatua baadae baada ya kujaza mitumbo yenu
Tundu lissu ni muongo na mnafiki, aliwahi kusema mikataba ya madini ni siri, sasa leo anasema nini?? na wakati mikataba inasainiwa Fedrick sumae ndo alikuwa waziri mkuuu, Lissu mnafiki atuliye aone CCM chama makini kinavyo jipanga kuondoa makapi na wanafiki, mmempa heche sumu kisa anawaponda
 
Vipi Kuhusu Baba yako aliyepo Koromije huko
 
Wana kikimbia kivuli chao sasa
 


Tundu Lisu kaenda Shuleni kujifunza kiingereza na kuongezea muda aliokaa Uingereza kajua kiingereza basi, lkn Kichwani ni Zero, jamaa ni mtupu hadi huruma, eti kapigania hii nchi ana akili ndogo kama Nape, wewe Tundu lisu upiganie hii Nchi?? Hata kwenu Singida kwenyewe hawakutaki unapita kwa shida halafu unasema umeipigania hii nchi? Labda umempigania Fisadi Mwenzako lowasa!
 
Lissu tangu lini ulikuwa mzalendo! Uzalendo wa kutetea fisadi lowasa, au uchumia tumbo upi anausema zaidi ya huu wa kupewa kitu kidogo kumsafisha mtu aliye mchafua kwa miaka 10. Lissuu wadanganye vipofu wa vabichaa
Wachumia tumbo ni maccm
 
Hivi kati yako na lisu nani taahira. Lisu ana recorɗ za kutetea rasilimali za nchi hii ɗr. Wako anayo.
Wakati serikali inaingia hii mikataɓa magu alikuwa mɓunge je kuna recorɗs zozte ambazo zipo zikioneshe contriɓution yake.
Magu anarecorɗ ya kututia hasara rejea ɓaraɓara mɓovu alizojenga akiwa waziri, sakata la samak nani alitutia hasara? Alisimama kutoa tahaɗhar sio huyuhuyu lisu. Uuzaji wa nyumɓa ilikuwa chini yake. Na leo hii ya ujenzi wa chato airport sii hasara. Kuna sehemu yoyote ilipoidhinishwa. Kaɓla hujamuita lisu mjinga jariɓu kupitia miremɓe ucheki akili zakƙ maana kwa kumɓukumɓu zangu hata
 
Mjiandae kuwalipa fidia hao ACACCIA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…