Sasa wewe mwenye akili timamu mikataba ilisainiwa na serikali ya Chadema?Magufuli hakuwepo kwenye baraza LA mawaziri/CCM?huyu ni chizi tuu aseme kama mikataba iliyo sainiwa ina halalisha kudanganya kiasi cha madini kilichomo ndani ya mchanga....
Tahira huyu
Husiwe kama "hashiki za kuku".huyu ni chizi tuu aseme kama mikataba iliyo sainiwa ina halalisha kudanganya kiasi cha madini kilichomo ndani ya mchanga....
Tahira huyu
Maccm wanatia aibu mbele za macho ya matifa ya njeccm ndo walivyo, hata wanaloshangilia leo hawalijui. Magufuli kwa sasa ndo kipaumbele chao hivyo hata akiamuru lunch iliwe uani wao watashangilia tu. Na wengine watasema kuna harufu nzuri.
sidhan kama kosa moja linaweza kuziba mema yote aliyojaribu kufanya kutetea maslah ya taifa. tukienda hivi bas hakutakuwa na msafi nchi hii..maana hata hawa walioko madarakan ni wachafu kuzidi.Lissu tangu lini ulikuwa mzalendo! Uzalendo wa kutetea fisadi lowasa, au uchumia tumbo upi anausema zaidi ya huu wa kupewa kitu kidogo kumsafisha mtu aliye mchafua kwa miaka 10. Lissuu wadanganye vipofu wa vabichaa
Wewe kwa Lissu hata sifa ya kuwa mfagizi wa nyumbani kwake hunaukitaka kujua Tundu Lissu ni tahira hebu angalia anacho kiongea na sisi tunacho kiongea ni tofauti.
Yeye anafikiri watu wengi wana kataa kusafirishwa kwa mchnaga kumbe kikubwa kinachopingwa ni udanganyifu kwenye kilichomo kwenye mchanga... yeye alishawai kusema mikataba hii ni ya usiri sasa anaongelea nini kitu ambacho hajawai kukiona? hivi hiyo mikataba ndio inasema kuwa wawe wanadanganya kuna kiasi fulani cha dhahabu?
Hivi Tundu Lissu utahira atapona lini? Hata ACCACIA wanajua concern ya serikali ni kuhusu kiasi kilichomo kwenye mchanga au makanika na wao wanataka upimwe tena...
Lakini Tahira Lissu anapinga utafiti kwa tumbo na mdomo tuuu...
Mwenzie Zitto amenyamaza na kusema wazi kuwa utafiti hupingwa kwa utafiti..
Kuliko hata mkapaakwani kina lowasa na sumaye walikua ACT WAZALENDO kipindi hicho??? tena wao ndio walikua na nyadhifa kubwa zaidi kuliko MAGU
Uzuri Katika hawamu hii mengi aliyokwisha kuyanena Lissu yanatimia kwa vitendo.Lissu tangu lini ulikuwa mzalendo! Uzalendo wa kutetea fisadi lowasa, au uchumia tumbo upi anausema zaidi ya huu wa kupewa kitu kidogo kumsafisha mtu aliye mchafua kwa miaka 10. Lissuu wadanganye vipofu wa vabichaa
Huyu Lissu ambaye alimtukana baba wa taifa. Lissu hakubali kuona wenzake wanakuwa recognised wakati yeye yupo. Anataka amfunike hata baba wa taifa...Lissu tangu lini ulikuwa mzalendo! Uzalendo wa kutetea fisadi lowasa, au uchumia tumbo upi anausema zaidi ya huu wa kupewa kitu kidogo kumsafisha mtu aliye mchafua kwa miaka 10. Lissuu wadanganye vipofu wa vabichaa
Ccm hawawezi kukubaliNeutral and Independent verification haikwepeki kama tunataka ukweli.
Ukweli utakuweka huru
Ccm sasa wameamua kujivua nguoGood
Oleee Ole Ole Ole!
Oleee Oleee !
Tutaelewana tu mheshimiwa Lissu .
Acha watu wajitoe akili sasa .
Muwe mnasoma na kuelewa, lakini Lissu amewatakia heri kama hamtaki kuelewa:Najiuliza sana swali dogo tu kila nikiona post ya Lisu kiufupi nasubiri apost kuwa amepima yeye au kashuhudia upimaji wa huo mchanga na kajiridhisha kuwa hatuibiwi,nitamuelewa sana,tofauti na hapo aendelee kusoma takwimu na historia kwenye makaratasi hadi pale atakapo ikomboa nchi kwa takwimu na sheria
Huyu n kaka??Kaka Rutta, je tuendekeze siasa hata kwenye ukweli hadi lini?
Mara 1000 ungeandika kwa kiingeleza ningejua wa kuja,aya hautalipa wewe so furahi bnMjiandae kuwalipa fidia hao ACACCIA
Humuamini wewe mtumwa wa lumumba lkn watu wenye kujielewa wanamuaminiNAMSHUKURU MUNGU SIJAWAHI KUMUAMINI TUNDULISUUU. NA HUWA SIPENDI SPEECH YAKE. NA KWA HILO NINAAMANIII
[emoji1] [emoji1] nimechoka sanaMagufuli ulikuja Geita ukasema tupewe magwangala ulienda jumla na uongo wako mpaka Leo haujarudi Geita ,acha Kiki tulia,utapata kodi wapi wakati nchi imefilisika mpak mnakula rambirambi,nchi ina njaa bwana tuache tuagizie chakula nje tule,mahindi yashuke bei
Kamwe ccm hawana wema na nchi hiiWe ng'ombe ccm ipo madarakani kufanya nn? Kwa nn hamumshitaki? Mafisadi waliotajwa ni 11 hao kumi wako wapi mbwa nyie wafisidi wa raslimari za Tz.......Kazi yenu kutengeneza matatizo alafu mnajifanya mnayatatua baadae baada ya kujaza mitumbo yenu
Katika Orodha hiyo chonde Usiwasahau Mzee Lowassa na Sumaye hawa Mawaziri Wakuu wastaafu nao wameshiriki kikamilifu katika dhambi hizo zote.Magufuli akishirikiana na mkapa na wabunge wengine wa ccm walipitisha mikataba ya kinyonyaji. Leo anaibuka na kusema tunaibiwa wakati alishiriki kuchora ramani ya wizi wote huu.