Tundu Lissu: Ninampinga Magufuli hadharani. Sio mnafiki na sijahongwa

Tundu Lissu: Ninampinga Magufuli hadharani. Sio mnafiki na sijahongwa

Neutral and Independent verification haikwepeki kama tunataka ukweli.
Ukweli utakuweka huru
Tangu lile sakata la samaki lililosababishia nchi hasara ya mabilioni, naogopa kushabikia mambo nisiyofahamu kama tulivyofanya wakati ule.
 
Jamani eee!!! aliyeianzisha hii vita ni Mh Magufuli na kajipangia namna ya kuipigana. Kaunda kamati mbili za kumshauri. Kamti ya kwanza imetoa majibu na maoni bado ya pili.
Kutletea maoni ya huyu mwehu humu ni kutuchosha sana. Maprofesa na madokta washeria na uchumi wamo kwenye kamati ya pili watamshauri kisheria limekaaje. Chochote watakacho shauri ndicho kitakachofanyika. Lisu na wapuuzi wengine wasimsafishe mtoto bado anajisaidia waache kihelehele.
 
Muwe mnasoma na kuelewa, lakini Lissu amewatakia heri kama hamtaki kuelewa:

1. Anawaambia nyinyi MaCCM mabashite...nchi hii hatuibiwi kwenye mchanga, tunaibiwa kwenye sheria...so cha kuanza nacho ilikuwa ni kubadili sheria siyo kukamata mchanga ambao umepitia hatua zote kusafirishwa...Lissu anasema a smart president angeanza na sheria

2. Pia ACACIA katika taarifa zao wanasema kama kiasi cha dhahabu kilichokamatwa ni kingi kama Magu alivyoitangazia dunia basi ina maana migodi ya Bulyanhulu na Buzwagi( hiyo miwili tu) ingeifanya kampuni ya ACACIA kuwa the biggest gold producer in the world kuliko kampuni kama AngloGold inayomiliki migodi 19 ya dhahabu duniani...na basi Tanzania ingekuwa the largest gold producer in the world...sasa kinachotokea wameomba wapatiwe report hiyo lkn serikali na Sizonje wameingia mitini

3. Lissu anasema report ya Profesa Mruma ni pumba tupu na haiwezi kuchukua hata nusu saa kuwa rubbished under serious scrutiny...and he is right; tayari taarifa chache tu za ACACIA kwa wanahisa wao zinaonekana zina credibility kuliko huu circus ya Sizonje na wale waalimu wake wasahihishaji wa mitihani ya wanafunzi pale Mlimani.

MUDA NI MWALIMU MZURI SANA...MSIJE MKAKIMBIA NA TAFUTENI DAWA YA MARADHI YA MOYO MMPE SIZONJE MAANA...what I see, he is heading for a car crush....ANYWAY, sikio la kufa halisikii dawa!
Endelea kunielewesha naona uko kichwani mwangu,sijui unahisi nna upande naegemea!!? au Lisu ndugu yako manake unanifafanulia post ka mchungaji na Bible,ifute basi uweke iliyofafanuliwa
 
ukitaka kujua Tundu Lissu ni tahira hebu angalia anacho kiongea na sisi tunacho kiongea ni tofauti.
Yeye anafikiri watu wengi wana kataa kusafirishwa kwa mchnaga kumbe kikubwa kinachopingwa ni udanganyifu kwenye kilichomo kwenye mchanga... yeye alishawai kusema mikataba hii ni ya usiri sasa anaongelea nini kitu ambacho hajawai kukiona? hivi hiyo mikataba ndio inasema kuwa wawe wanadanganya kuna kiasi fulani cha dhahabu?
Hivi Tundu Lissu utahira atapona lini? Hata ACCACIA wanajua concern ya serikali ni kuhusu kiasi kilichomo kwenye mchanga au makanika na wao wanataka upimwe tena...
Lakini Tahira Lissu anapinga utafiti kwa tumbo na mdomo tuuu...
Mwenzie Zitto amenyamaza na kusema wazi kuwa utafiti hupingwa kwa utafiti..
Labda nikuulize swali tu,
1. Lissu ndiye aliyeingia hiyo mikataba?
2. Na je hiyo mikataba ina miaka/muda gani toka imeanza kutekelezwa mpaka leo ndio ionekane ni mikataba ya hovyo?
3. Waliotoa baraka zote za utekelezaji wa hiyo mikataba ni wakina nani?
4. Ni kipi kiliwapa uzito wa kuipeleka bungeni ijadiliwe kwa MASLAI ya taifa kuwa iligusa wananchi na rasilimali zao?
 
Kwa hyo kwa wana ccm mnataka nini maana mikataba inasema walipe mrahaba tu.
 
Tofauti yako na TL, na ambayo ni ya msingi sana hapa, ni kwamba wakati TL anajadili kitu anachokifahamu ndani na nje, wewe unajadili bila facts zozote za maana zaidi ya ukereketwa, basi!
Kiumbumbu wa lumumba na hajifahamu
 
Tundu lissu ni muongo na mnafiki, aliwahi kusema mikataba ya madini ni siri, sasa leo anasema nini?? na wakati mikataba inasainiwa Fedrick sumae ndo alikuwa waziri mkuuu, Lissu mnafiki atuliye aone CCM chama makini kinavyo jipanga kuondoa makapi na wanafiki, mmempa heche sumu kisa anawaponda
Waongo ni maccm
 
tatizo mijitu mingine utafikiri yanatoka usingizini ww umeambiwa hili tatizo la kuibiwa ni la kisheria tena na mikataba hii iliyowekwa ipo kisheria sasa ameweka angalizo pasije pakatokea tukaingia hasara kubwa kwa kulipa fidia kubwa na kimkataba hayo siyo madini yako ni yao maana mlishaingia mkataba na huo ndo kweli asiyetaka ni mda tu utaongea na huo mchanga mtausafirisha wenyewe kwa gharama zenu na hilo wakulaumiwa ni viongozi wenu waliojuu ya sheria!
 
Jamani eee!!! aliyeianzisha hii vita ni Mh Magufuli na kajipangia namna ya kuipigana. Kaunda kamati mbili za kumshauri. Kamti ya kwanza imetoa majibu na maoni bado ya pili.
Kutletea maoni ya huyu mwehu humu ni kutuchosha sana. Maprofesa na madokta washeria na uchumi wamo kwenye kamati ya pili watamshauri kisheria limekaaje. Chochote watakacho shauri ndicho kitakachofanyika. Lisu na wapuuzi wengine wasimsafishe mtoto bado anajisaidia waache kihelehele.
Mkuu umeeleza vzr sana.
 
Lissu tangu lini ulikuwa mzalendo! Uzalendo wa kutetea fisadi lowasa, au uchumia tumbo upi anausema zaidi ya huu wa kupewa kitu kidogo kumsafisha mtu aliye mchafua kwa miaka 10. Lissuu wadanganye vipofu wa vabichaa
Huyo mnaemuita fisadi kilasiku nyie ma CCM, mnashindwa nini kumkamata na kumfunga ? Kila kitu mnacho serikali, polisi, mahakama na magereza pia. Kila mkiambiwa ukweli hoja yenu pekee mliyobakiza ni Lowassa fisadi, mfungeni basi au mumfilisi. Tumechoka !!
 
Mkuu;
Kumchukia Lissu hadi anachokiandika hakutusaidii. Msome tu taratiib utaelewa anaandika nini hapo. Amesema; Hatuibiwi kwenye makontena bali tunaibiwa kwenye mikataba tuliyokwisha weka mkono kuwa ni mikataba hallal. Upo hapo?? Sasa tunapofoka kuwa Lissu ni kichaa, Lissu ni taahira, Je tumeuona huo mkataba?? Huenda mwenzetu amefanikiwa kuuona, mimi na weye tumeuona?? What do yu understand about "Transparency?" Hii kitu imefichwa fichwa hata kwa ma bush lawyers wetu ambao wangeweza kwa magumashi wakaona tundu hilo la kutufungia goli hata la mkono. Tukawaambia wale wanasheria wetu waende wakiwa wamejitayarisha.
Mtabaki kumbeza Tundu Lissu mkamwacha Joka aliye weka mkono kwa niaba yetu. Mpaka mmempa uenyekiti wa Bunge!! It is a shame man!! Huku mnabaki kuwaita wengine oil chafu na makapi. Tujifunze kusoma kinacho andikwa tujibu kimantiki kama kwamba sasa tupo kwenye hiyo Tribunal ya kimataifa tunajibu maswali. Hii ni lazima ije kutokea ACACIA hawataachia sega la asali hivi hivi
We umeandika kiungwana sana na ndo inavyotakiwa wakati unaitetea nchi yako siwezi kukujibu ujinga kwa sababu hubishani umetoa ukweli wako,bnafsi simchukii Lisu wala post zake,ila nachomaanisha mimi ni ushiriki wake wa moja kwa moja bila kujali makosa yalifanywa na nani tukaingia mikataba uchwara manake kama ni hasara itatukuta wote so, kipi bora,atumie uanasheria wake kutuchomoa huku tulipo au aendelee kuilaumu serikali ya CCM na kututabiria anguko!!?
 
huyu ni chizi tuu aseme kama mikataba iliyo sainiwa ina halalisha kudanganya kiasi cha madini kilichomo ndani ya mchanga....
Tahira huyu
Soon utaufyata mkia,report fake imeshtukiwa na kila mtu!Kumbe ni kutafuta kuungwa mkono tu!
Nikikumbuka samaki wa Magufuli na tulivyolipa fidia,siuoni mwisho mzuri katika hili!
 
Lissu tangu lini ulikuwa mzalendo! Uzalendo wa kutetea fisadi lowasa, au uchumia tumbo upi anausema zaidi ya huu wa kupewa kitu kidogo kumsafisha mtu aliye mchafua kwa miaka 10. Lissuu wadanganye vipofu wa vabichaa
Muda utaongea!Hayo mengine uliyoyataja ni irrelevant!
 
Back
Top Bottom