Tundu Lissu: Ninampinga Magufuli hadharani. Sio mnafiki na sijahongwa

Tundu Lissu: Ninampinga Magufuli hadharani. Sio mnafiki na sijahongwa

Ni ukweli ulio wazi kuwa tunaibiwa lakini tunaibiwa kihalali na kisheria, maana mikataba yetu tuliyoingia na hawa wazungu ni kwamba wabebe kila kitu waende nacho. Zitto Kabwe alifukuzwa mpaka bungeni kwa sababu ya kutetea rasilimali ya madini, Tundu Lissu amefungwa mara kadhaa kwa sababu ya kutetea madini yetu yasiibiwe. Mikataba hii ya madini yote ilisainiwa kipindi Magufuli akiwa serikalini hajawahi kuonesha makali yoyote eti leo ndiyo mzalendo?
Lissu alifungwa lini na alifungwa miaka mingapi? Na Je kwa sab magufuli hakupinga siku za nyuma kwa sab yoyote ile hatakiwi kupinga leo?
 
Mtalipishwa sana tena sana mpaka mtaona aibu haiwezekani hii nchi ikawa inaendeshwa kwa mikurupuko. Sheria inasema nini kuhusu hiyo mikataba? Unafikiri hayo madini ni yetu? Hata ukiambiwa yapo gram ngapi unafikiri yatabaki hapa bongo?
Mkataba hausemi kila kitu kwenye mchanga ni chao bali tugawane kwa kiwango Fulani tatizo ni kiwango kilichopo ni kingi kuliko kinachokuwa declared. Huu ni udhaifu zaidi upande wa serikali ndio maana wanawajibishwa.
 
Hivi mnapomtukana Lisu mnaona hiyo mikataba ya madini ni sawa? Kama leo wewe una shamba lako halafu akaja mtu akakwambia amegundua shambani kwako kuna dhahabu na atakusaidia kuichimba lakini katika dhahabu atakayouza atakupa wewe mwenye shamba lenye dhahabu shilingi ELFU NNE TU katika kila shilingi LAKI MOJA utakubali? Mnaona ni sawa hawa wawekezaji wa madini watulipe kiasi kidogo hivyo?
Ukisoma vizuri hakuna anayepinga mikataba nayo ni mibovu hata magufuli ameongea mara nyingi kuhusu ubovu wa mikataba. Kikubwa anachopingwa lissu ni kusema tatizo sio kuibiwa kwenye makini kia bali ni mikataba pekee alitakiwa apongeze hatua zinazoanza kuchukulia na kushauri mikataba nayo isiachwe.
 
kwa kweli naona ile mbegu tayari inamea, ukisema kitu tofauti na mawazo ya mkulu, bhasi inaonekana unampinga juhudi zake, hakuna MTU anayochukia, Ila watu wanatoa ushauri no nini tufanye ili kuepuka hasara mbeleni kisheria, yaani siku hizi ukishauri kitu unakua kama msaliti flan hivi, hii sio nzuri ndio maana kuna lugha humu zinatumia maneno ya kuudhi
Ushauri unatolewa jf?
 
Nyabhingi, kama nilivyosema kwenye moja a posts zangu kwenye uzi mmoja unaohusu haya mambo ambayo ndiyo talk of the town kwa sasa, bado nashangaa wasomi wote waliokuwa kwenye tume na wengineo kushindwa kuichambua ripoti ile kwa weledi mpaka sasa. Yani mjadala sasa sio tena kama tunibiwa au la...bali figures za ripoti kuwa so exorbitant kiasi cha kudefy common sense. Why jamani? Why?
Na hili liwe fundisho kwa JPM kuwa hizi title za sijui Dk au Prof azitazame upya kwenye teuzi zake. Kama mtu ametumia miaka yake mingi kufundisha badala ya kupractice hawezi kuwa na msaada linapokuja suala la utaalamu unaohitaji watu wenye uzoefu wa hands-on kwenye issue fulani. Prof Mruma na wenzake wataleta aibu ya mwaka kwenye jumba letu jeupe
Hopefully wewe ni bora mkweli mtaalam kuliko tume. Congrats!
 
Husiwe kama "hashiki za kuku".
Muda wote wa miaka takribani 16 mlikuwa wapi kulipigia kelele hilo kabla ya huyo "mchizi kaboka" kudamka kumeisha pambazuka?
Kwahiyo kipindi chote hicho ni nini kiliwaziba midomo na vipumulio vyenu leo ndio mnajidai kujua zaidi clause za mikataba ya wizi?
Kwahiyo kama tulikaa kimya kwa sab yoyote ile hatustahili kuamka?
 
ukitaka kujua Tundu Lissu ni tahira hebu angalia anacho kiongea na sisi tunacho kiongea ni tofauti.
Yeye anafikiri watu wengi wana kataa kusafirishwa kwa mchnaga kumbe kikubwa kinachopingwa ni udanganyifu kwenye kilichomo kwenye mchanga... yeye alishawai kusema mikataba hii ni ya usiri sasa anaongelea nini kitu ambacho hajawai kukiona? hivi hiyo mikataba ndio inasema kuwa wawe wanadanganya kuna kiasi fulani cha dhahabu?
Hivi Tundu Lissu utahira atapona lini? Hata ACCACIA wanajua concern ya serikali ni kuhusu kiasi kilichomo kwenye mchanga au makanika na wao wanataka upimwe tena...
Lakini Tahira Lissu anapinga utafiti kwa tumbo na mdomo tuuu...
Mwenzie Zitto amenyamaza na kusema wazi kuwa utafiti hupingwa kwa utafiti..
Hawa akina malisa, TL, et al wana matatizo. Hii kamati ilionyesha kuna nini. Kamati inayosubiriwa ripoti itaeleza pamoja na mambo mengine Kiwanja sheria hii kitu imekaaje na nini kifanyike! Sasa haraka ya nini? Prof Mruma ni scientist tu si mchumi au Mwanasheria.
 
Watu wawili kamwe hawawezi kukubaliana kwa 100% katika mambo yote...sembuse nchi yenye watu milion 45. Lazma tutafautiane mawazo. Kosa ambalo linalofanyika katika utawala huu ni kuaminishwa kwamba kila mwenye mawazo tofauti na Rais sio mzalendo...amehongwa..mpiga dili..mhaini n.k.


Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app

..binafsi nimesikitika jinsi yule former PS alivyodhalilishwa.

..kwa kweli haipendezi kabisa mzee yule kuambiwa majibu aliyotoa ni "unyama wa ajabu" na stupid answer.

..na maneno hayo yanasemwa live on national TV.

cc Nguruvi3
 
Muwe mnasoma na kuelewa, lakini Lissu amewatakia heri kama hamtaki kuelewa:

1. Anawaambia nyinyi MaCCM mabashite...nchi hii hatuibiwi kwenye mchanga, tunaibiwa kwenye sheria...so cha kuanza nacho ilikuwa ni kubadili sheria siyo kukamata mchanga ambao umepitia hatua zote kusafirishwa...Lissu anasema a smart president angeanza na sheria

2. Pia ACACIA katika taarifa zao wanasema kama kiasi cha dhahabu kilichokamatwa ni kingi kama Magu alivyoitangazia dunia basi ina maana migodi ya Bulyanhulu na Buzwagi( hiyo miwili tu) ingeifanya kampuni ya ACACIA kuwa the biggest gold producer in the world kuliko kampuni kama AngloGold inayomiliki migodi 19 ya dhahabu duniani...na basi Tanzania ingekuwa the largest gold producer in the world...sasa kinachotokea wameomba wapatiwe report hiyo lkn serikali na Sizonje wameingia mitini

3. Lissu anasema report ya Profesa Mruma ni pumba tupu na haiwezi kuchukua hata nusu saa kuwa rubbished under serious scrutiny...and he is right; tayari taarifa chache tu za ACACIA kwa wanahisa wao zinaonekana zina credibility kuliko huu circus ya Sizonje na wale waalimu wake wasahihishaji wa mitihani ya wanafunzi pale Mlimani.

MUDA NI MWALIMU MZURI SANA...MSIJE MKAKIMBIA NA TAFUTENI DAWA YA MARADHI YA MOYO MMPE SIZONJE MAANA...what I see, he is heading for a car crush....ANYWAY, sikio la kufa halisikii dawa!
Mkataba umeshasainiwa for hundred yrs hawezi kubadilisha leo ikasaidia bali ni bora kwa mkataba huo huo mbovu basi utekelezwe kikamilifu bila cheating.
 
"Hiki alichoambiwa Magufuli ni rubbish, hata kama ni ya kiprofesa. Rubbish. Hatuibiwi kwenye mchanga, that's the rubbish fed on the unlettered".

wazungu walijaribu kupunguza makali wakasema hivi:
If the amount of gold in our concentrates was in line with the Committee findings, then it implies that both Bulyanhulu and Buzwagi would produce more gold than any other mine in the world. Sadly this is not the case.
Tafiti hupingwa kwa tafiti siyo maneno ya kijiweni! Unafahamu maana ya neno rubbish? Hizi ni taaluma tijaribu kuziheshimu
 
Back
Top Bottom