Tundu Lissu: Ninampinga Magufuli hadharani. Sio mnafiki na sijahongwa

Tundu Lissu: Ninampinga Magufuli hadharani. Sio mnafiki na sijahongwa

tatizo mijitu mingine utafikiri yanatoka usingizini ww umeambiwa hili tatizo la kuibiwa ni la kisheria tena na mikataba hii iliyowekwa ipo kisheria sasa ameweka angalizo pasije pakatokea tukaingia hasara kubwa kwa kulipa fidia kubwa na kimkataba hayo siyo madini yako ni yao maana mlishaingia mkataba na huo ndo kweli asiyetaka ni mda tu utaongea na huo mchanga mtausafirisha wenyewe kwa gharama zenu na hilo wakulaumiwa ni viongozi wenu waliojuu ya sheria!
Of course mchanga utaendelea kusafirishwa according to mkataba kinachotakiwa thamani yake iwe ya kweli ili hata kama tunalipwa mrahaba basi uwe sahihi.
 
Huyo mnaemuita fisadi kilasiku nyie ma CCM, mnashindwa nini kumkamata na kumfunga ? Kila kitu mnacho serikali, polisi, mahakama na magereza pia. Kila mkiambiwa ukweli hoja yenu pekee mliyobakiza ni Lowassa fisadi, mfungeni basi au mumfilisi. Tumechoka !!
Point ya msingi kwanini achafuliwe for 8 yrs baadae asafishwe? Kufungwa au kutokufungwa hakuna uhusiano.
 
Soon utaufyata mkia,report fake imeshtukiwa na kila mtu!Kumbe ni kutafuta kuungwa mkono tu!
Nikikumbuka samaki wa Magufuli na tulivyolipa fidia,siuoni mwisho mzuri katika hili!
Fidia umelipa lini wapi na kiasi gani? Acha uongo.
 
Watu wanashangilia kila kona juu ya mchanga wa dhahabu wakati hata mikataba yenyewe ni siri, hatujawahi kuoneshwa
Wewe nani uonyeshwe? Umeshaonyeshwa vingapi so far kabla ya kudai kuonyeshwa mikataba?
 
Another primitive argument.....

Wewe unasema kuna kamati mbili au kumi au hata mià moja hazijatoa ripoti, iweje sasa baba yenu ameshaanza kutoa hukumu kwa watu kwa taarifa ya kamati ya kwanza tu !!!??

Prof. Muhongo, watendaji wa TMAA na wengine.....

Hizo ripoti zingine zinakuja na jipya gani ambacho hakijatajwa na kamati ya awali ?

Mimi nadhani Tundu Lissu yuko sahihi kusema, movu na ripoti hii ni purely politics iliyopakwa rangi ya "ripoti ya kitaalamu"...
Kila ripoti inamruhusu kuchukua hatua Fulani.
 
No kwa comment kama hii wewe ndo tahira kweli kweli. Hivi ni kweli kuwa hujui kuwa imeibiwa kwenye sheria na mikataba mibovu na hii ni kazi iliyofanywa na ccm huku jpjm akiwepo? Kama hujui au kuamini hilo wewe ndo mwenye walakini?
Umeshindwa kujibu hoja..ameuliza hiyo mikataba inayodaiwa mibovu imeruhusu kudanganya kilichomo kwenye makini kia?
 
Watamalizia kwa kusema vita ya madawa haijawahi kumuacha mtu salama
 
Ww ndo chizi kwakuwa ni mpumbavu mtafuta kuonwa kwa kutetea ujinga unaambiwa sheria zetu ni ziro ndizi zimpazo upenyo mwekezaji ww huelewi na waliopitisha ni ma ccm bafo kichwa kigum au ww ni jambazi?jinga kabisa ww ,umekula mahatagwe gani?
Inawezekana ni kweli lkn kwa kuwa mkataba umeshasainiwa haurekebishiki kwa sasa kuna ubaya gani tukijaribu kuziba mianya hiyo ambayo haijahalalishwa bali ni loopholes tu?
 
Na kweli wewe ni Dumb wala hujakosea..Magufuli wakati kipindi hicho anasema Ndiyo mswaada wa madini upite alikuwa hajui faida na madhara yake? Au alikuwa anaunga mkono ilimradi tu bora liende?
Ajue asijue kwahiyo aache tu madhara yaendelee?
 
Nchi hii inavituko sana Magufuri amekua mbuge zaidi za miaka kumi amekua waziri miaka kumi Chama chake ndo kilichoingia mikataba ya kuihujumu Nchi tena swahiba wake Mkapa sasa heti leo nishujaa kuseamea mchanga CCM wanatengeza matatizo tena wanajifanya kuyatatua wajinga wanashangalia
Kwahiyo wasitatue mpk ukawa waingie madarakani ndio watatue hata kama wao ndio walikosea?
 
Wewe mkolomije mnaibiwa vipi mchanga mnaoupa escort kuusafirisha?
Kusindikiza na kudanganya ni vitu viwili tofauti. Walinzi wanaosindikiza magari ya fedha wanajua kuna kiasi gani ndani yake?
 
Kuibiwa, tunaibiwa sana.... hakuna anayebisha !!

Kinacholeta shida na kutuudhi sisi wengine ni kuwa, hata hawa CCM ambao ndiyo waliosaini kuibiwa kwetu, wanajifanya kulia pamoja na sisi wakati wanapaswa wote kuwa wako jela akiwemo Magufuli mwenyewe !!!

Wangekuwa waungwana hawa, kuanzia Magufuli mwenyewe, hadi huku chini wangepaswa kuachia ngazi ktk kuongoza jahazi la taifa hili......!!
Wamuachie nani lowassa na sumaye? Ambao hawahusiki na ccm?
 
Aliyesaini hiyo mikataba ni nani? Kwa maelekezo ya nani? Chini ya serikali ya chama gani? Iliyopitishwa na wabunge wengi wa chama gani?
Hujaulizwa aliyesaini bali umeulizwa unaruhusu kudanganya content ya dhahabu ndani ya makinikia?
 
Lissu kawaambia mikataba ndio tatizo, kumtukana Lissu hakutawasaidia jengeni hoja.
Kila mtu anajua hilo lkn hatakiwi kusema mkataba pekee ndio wenye matatizo ripoti ni ya uongo. Kwani mkataba pamoja na upungufu wake haujahalalisha kudanganya content
 
Back
Top Bottom