Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mikataba ni mibovu hata magufuli amewahi kutamka lkn umeshasainiwa hivyo anahakikisha for time being inatekelezwe ipasavyo.
Hili lisu alikwisha liongelea wapuuzi ninyi mkalikataa sasa ww unatoa kinyesi gani mdomoni huna faida Tanzania. Hapa si lowasa hapa ni nyie wajinga wachache mnatulizaLissu tangu lini ulikuwa mzalendo! Uzalendo wa kutetea fisadi lowasa, au uchumia tumbo upi anausema zaidi ya huu wa kupewa kitu kidogo kumsafisha mtu aliye mchafua kwa miaka 10. Lissuu wadanganye vipofu wa vabichaa
Sijakuelewa mkuu.????
$wissme
Acheni siasa katika mambo ya msingi kipind cha JK tulikua tunasema JK mpole hana maamuzi Leo kaja Mzee wa hapa kazi tu tena tunalaumu.sisi ni watu wa aina gani? ?Huyu ndiye mpiganaji wa ukweli sio yule mwingine anayetafuta kick kwa kufukuza mawaziri huku akijua tatizo lipo kwenye mikataba
Mpiganaji wako huyo ananjaa ya madarakaHuyu ndiye mpiganaji wa ukweli sio yule mwingine anayetafuta kick kwa kufukuza mawaziri huku akijua tatizo lipo kwenye mikataba
Nashindwa kuwaelewa watanzania wenzangu, kweli Tuna mapenzi n'a nchi yetu au vyama vyetu ?Trol JF njoo, Lizaboni njoo, cocochanel njo, & Co. Ltd.
Hilo lipo wazi kwa wafuatiliaji......nakumbuka jamaa alivyokuwa anapewa ulinzi na wananchi badala ya polisi wakati anapambana na hawa wazungu..........Zitto Kabwe alitimuliwa Bungeni kisa ishu ya madini......wakati haya yanatendeka ni kweli wanaofoka Leo walikuwa bungeni wakishabikia kumsulubu Zitto.
Tujipange namna ya kuhoji na siyo kukurupuka.Kwahiyo tusihoji kwa kuhofia fidia?
How accurate is the report is another matter; lakini serikari inakila sababu ya kuweza kufanya verification na hakuna shida yeyote.Kama kweli kuna kiasi hicho kikubwa cha madini kwenye huo mchanga....naishauri Serikali yetu tukufu iununue huo mchanga woooote yenyewe ndio ifaidike. Na endapo itashindwa sisi kama wananchi hatutoiamini report ya tume na tutaitilia mashaka na ipo kwa ajili ya cheap popularity...
I always think twice for the issue or activities initiated by ccm because it has no capability to prove the truth
Mbona anamshambulia JPM kuwa anajua alikuwa upande upi kipindi mikataba inasainiwa lakini hawataji mawaziri wakuu walioshiriki kama wakuu wa serikali ambao wapo nao huko Chadema? ....
Najiuliza sana swali dogo tu kila nikiona post ya Lisu kiufupi nasubiri apost kuwa amepima yeye au kashuhudia upimaji wa huo mchanga na kajiridhisha kuwa hatuibiwi,nitamuelewa sana,tofauti na hapo aendelee kusoma takwimu na historia kwenye makaratasi hadi pale atakapo ikomboa nchi kwa takwimu na sheria
Kama jina namna hiyo sawa lkn kumbuka wale wazungu wanafanya hivyo kwa kiburi ila kuna upitishwaji wa sheria za kijinga na hao wabunge wa ccm kwa wingi wao na pia ndo madarari wa hao wanaojiita wawekezaji msg nchi hii mpaka kufika hapa tulipo ni ccm maumivu na shida hizi zote ni hao jamaa watakamatana sana lkn wamesha haribu kwa aslimia 98 na hata leo hii wake jamaa hatutawashinda ktk sheria tulizojitungia wenyewe bado kuna shida kubwa ww kama ni maslah angalia hata wabunge waliopelekwa Africa mashariki toka tanzania ndo utajua uzuzu wa wabunge wa ccm, kifupi tunashida bado.Inawezekana ni kweli lkn kwa kuwa mkataba umeshasainiwa haurekebishiki kwa sasa kuna ubaya gani tukijaribu kuziba mianya hiyo ambayo haijahalalishwa bali ni loopholes tu?
Kweni mwanamke akijipaka lipstick ndo uharisia wake?Ajue asijue kwahiyo aache tu madhara yaendelee?