..jaribu kuwa balanced.ukishindwa
hilo jaribu ktk mijadala hii kuchambua "mchele" na "pumba" uachane nazo.
..hayo mambo hayatokei tu. Kuna mahali tumejikwaa. Ni lazima tupajue, na siyo kuwa fixated na tulipoangukia.
..kwa maoni yangu, mazingira mabovu ya kisiasa yamesababishwa au yanachochewa na Mzee mwenyewe.
..kwa maoni yangu Mzee haamini ktk dhana ya demokrasia ya vyama vingi. Hili nililisema tangu hajawa "mtu mkubwa."
..Lingine nadhani haamini ktk rule of
law. Anataka yeye asimike sheria na taratibu.
..Zaidi Mzee hana uvumilivu kwa yeyote mwenye mawazo tofauti na ya kwake. Jaribu kumsikiliza jinsi anavyowaadhiri wale aliotofautiana nao kimtizamo.
..Kwa maoni Mzee ndiyo chanzo cha kuchafuka kwa hali ya kisiasa na kijamii nchini. Vilevile ndiyo kikwazo cha hali hiyo kutengemaa.
SAKATA LA MIKATABA YA MADINI.
..CCM walipaswa kuonyesha UUNGWANA kwa kukiri makosa ya kuruhusu dhuluma hii iendelee kwa miaka 15++.
..RAISI na Mwenyekiti wa CCM alipaswa kuliomba RADHI taifa kutokana na maamuzi ya serikali za CCM yaliyolitia taifa hasara.
..Raisi alipaswa kutambua mchango wa wanaharakati kuwa walikuwa sahihi na waliweka maslahi ya taifa mbele.
..Katika hili WANAHARAKATI walitakiwa kutambuliwa kama MASHUJAA wa taifa letu.
..Kama kiongozi alipaswa kuliunganisha taifa na kusititiza umuhimu wa mchango wa kila Mtanzania.
..Baada ya hapo sasa ndipo Raisi angetangaza vita dhidi ya wawekezaji wanaotuibia.
Cc
Nguruvi3