balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Pumbavu sana weweSasa mtu anatembea kama roboti, ikitokea tifu ya nguvu anachomokaje? Na hayo mavyuma mpaka kwemye ulimi.
Vita haina macho.
Japo habari ya kughushi, haipo CNN wala BBC, takataka tupu, aje na rungu atakula
Kwani alivyokwenda alituaga aje akiwepo kama hayupo atapigwa kama ngoma!View attachment 2877242
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba , Makamu Mwenyekiti wa Chadema , Tundu Lissu amelazimika kukatisha kuangalia Afcon huko Ivory Coast ili kuwahi maandamano ya Amani yaliyotangazwa na Chama chake , yatakayofanyika tarehe 24/01/2024 mapema asubuhi.
Akizungumza na vyombo vya habari vya Kimataifa , Lissu amefurahishwa na Jinsi umma wa Watanzania ulivyoitikia Maandamano hayo na kuahidi kushiriki kikamilifu , licha ya vitisho vya kishamba vya Mkuu wa Mkoa wa DSM , Chalamila mwenye asili ya Tanangozi huko Iringa.
Taarifa hii njema inazima kabisa kauli za uongo zinazoendelea kutolewa na viongozi wa ccm wenye upeo wa chini kwamba Lissu amepuuza Maandamano hayo.
Kuna kimbwenelehi hapa kwetu Lumumba akavimba tezi za shingo akisema.Lissu kapuuzia maandamanoView attachment 2877242
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba , Makamu Mwenyekiti wa Chadema , Tundu Lissu amelazimika kukatisha kuangalia Afcon huko Ivory Coast ili kuwahi maandamano ya Amani yaliyotangazwa na Chama chake , yatakayofanyika tarehe 24/01/2024 mapema asubuhi.
Akizungumza na vyombo vya habari vya Kimataifa , Lissu amefurahishwa na Jinsi umma wa Watanzania ulivyoitikia Maandamano hayo na kuahidi kushiriki kikamilifu , licha ya vitisho vya kishamba vya Mkuu wa Mkoa wa DSM , Chalamila mwenye asili ya Tanangozi huko Iringa.
Taarifa hii njema inazima kabisa kauli za uongo zinazoendelea kutolewa na viongozi wa ccm wenye upeo wa chini kwamba Lissu amepuuza Maandamano hayo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Lissu kapigwa nyundo ya kichwa mwenyewe kafunguwa bakuli.
Hakuna maandamano yanayokubalika duniani kote...
Madako gako
Makonda aibu kwake ni jambo la kawaida maana angekuwa na aibu wala asingekuwa anaonekana hadharani kwa matendo yake aliyofanya.Katika mikutano yake Makonda huko Bagamoyoamekuwa akiwadanganya kuwa Lissu amekimbia maandamano ya tarehe 24/1 eti ameona hayana maana...
Wewe mwenyewe ni mpumbavu na kahaba wa kisiasaNi wapumbavu wasio na kazi tu watakaoshoriki hayo maandamano uchwara.
Oesa mnazolipwa vijana msio na kazi zitawatokea puani.
Mbona wewe hazinakutokea puani fedha unqzolipwa kufanya kazi pale kinondoni makaburini usiku?Ni wapumbavu wasio na kazi tu watakaoshoriki hayo maandamano uchwara.
Oesa mnazolipwa vijana msio na kazi zitawatokea puani.
Pumbavu kabisa na limbukeni
Alete kwanza vyeti vyakeTusubiri naye Makonda ajibu...
Takataka atakuwa mamako na babako chizi weweLissu kapigwa nyundo ya kichwa mwenyewe kafunguwa bakuli.
Hakuna maandamano yanayokubalika duniani kote...