Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Tutaandamana tuone wewe shetani kama utajinyongaLissu kapigwa nyundo ya kichwa mwenyewe kafunguwa bakuli.
Hakuna maandamano yanayokubalika duniani kote...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutaandamana tuone wewe shetani kama utajinyongaLissu kapigwa nyundo ya kichwa mwenyewe kafunguwa bakuli.
Hakuna maandamano yanayokubalika duniani kote...
Apate wapi lunch?We bibi vipi umepata lunch kweli leo au umeshindia chai ya karafuu na visheti.
Unadhani kila mtu anpigwa nyundo kama wewe pale kinondoni makaburini unavyo pigwa?Lissu kapigwa nyundo ya kichwa mwenyewe kafunguwa bakuli.
Hakuna maandamano yanayokubalika duniani kote...
Wenzetu akina Lissu na Mbowe watakuwa na bima.
Lissu kapigwa nyundo ya kichwa mwenyewe kafunguwa bakuli.
Haya maandamo ni ya kijanja ajuza?Hakuna maandamano yanayokubalika duniani kote.
Nani alisema Tanzania hakuna amani hata yawepo maandamano mnayijidai ya amani?
Hatutaki maandamano ya kijinga, nendeni mkawe takataka siku hiyo.
Mmeshindwa siasa za kistaarabu sasa mnataka kulanzisha fujo? Hatukubali kabisa hilo.
Oesa ni nini ajuza ?Ni wapumbavu wasio na kazi tu watakaoshoriki hayo maandamano uchwara.
Oesa mnazolipwa vijana msio na kazi zitawatokea puani.
Siasa za kistaarabu ni hizi: Rais ambaye ni mgombea ndiye anayepanga wasimamizi wa kura kuanzia tume, wakurugenzi, Usalama wa Taifa, Polisi, n.k. na pia matokeo ya uchaguzi ameweka sheria yasihojiwe mahakamani. Hizi ndio siasa za kistaarabu.Lissu kapigwa nyundo ya kichwa mwenyewe kafunguwa bakuli.
Hakuna maandamano yanayokubalika duniani kote.
Nani alisema Tanzania hakuna amani hata yawepo maandamano mnayijidai ya amani?
Hatutaki maandamano ya kijinga, nendeni mkawe takataka siku hiyo.
Mmeshindwa siasa za kistaarabu sasa mnataka kulanzisha fujo? Hatukubali kabisa hilo.
Nani kasema anaenda kufanya fujo?Nani mwenye kadi yake akashiriki maandamno ya siku ya Jumatano?
Isiwawachie ❌Mnashindwa siasa mnataka kuanzisha fujo?
What are you preventing ?Tena tunaitaka serikali isiwawachie kabisa huo upuuzi,mnataka kuanzisha machafuko tu.
Serikali, hao wote wanojodai kuitisha maandamano ficha wasionekane mitaani kuanzia leo.
Prevention is better than cure.
Yeah, di pigeninkurs na nyinyi chama cha kikanda mshinde.Siasa za kistaarabu ni hizi: Rais ambaye ni mgombea ndiye anayepanga wasimamizi wa kura kuanzia tume, wakurugenzi, Usalama wa Taifa, Polisi, n.k. na pia matokeo ya uchaguzi ameweka sheria yasihojiwe mahakamani. Hizi ndio siasa za kistaarabu.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nyie tunawajuwa mlivyo, Mkishalipwa kidogo mnajifanya hamuelewi.Haya maandamo ni ya kijanja ajuza?
Sio sawa na kuhamisha pesa kutoka mkono wako wako wa kulia na kuzihamishia mkono wako wa kushoto huku ukisema umepata mara mbili...
Hivi kama maandamano ya amani ni kitu kibaya kwa namna ccm inavyo ogopa kwa nini yaliruhusiwa rasmi na katiba? Na kwa nini yapo dunia nzima?Huyu mtu anapaswa kupingwa na kila mtanzania mpenda amani na maendeleo, hoja ya Lissu kuwa anawahimiza watanzania wafanye maandamano ya amani , je hatuna amani nchini mwetu...
Hizi ni akili zaifu za Wtz , maandamano ni muhimu ila wanachoandamania akieleweki, wanaandamana kutetea matumbo yao.Wenzetu akina Lissu na Mbowe watakuwa na bima.
Wenzangu na mimi kajamba nani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hili li sinyari nalo ni likijana?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eti vijana wenzangu
Nani alikwambia hatuna amani Tanzania hata uanzishe unayojidai kuyaita eti "maandamano ya amani".Hivi kama maandamano ya amani ni kitu kibaya kwa namna ccm inavyo ogopa kwa nini yaliruhusiwa rasmi na katiba? Na kwa nini yapo dunia nzima...
Nani kalipwa bibi?Nyie tunawajuwa mlivyo, Mkishalipwa kidogo mnajifanya hamuelewi.
Uchaguzi kama huu ndio unaita uchaguzi? We mama utakuwa na UTI sugu sio bure!Yeah, di pigeninkurs na nyinyi chama cha kikanda mshinde.
Mnaelewa kuwa kwenye sanduku la kura hamtoshi.
Kafanyieni maandamano iwenu huko Kaskazini.
Dar mtaumia.
Porojo huyo❌Potojo huyo
Ajuza kwani Lissu ndio mtanzania wa kwanza watoto wake kuzaliwa ardhi ya hapa US ?, hata kuonekana hatonekana
Vijana hao hao hamjawapa kazi mnaishia kuwalipa $10 waje wamsifie Samia anaupiga mwingi ndio kina Mwashambwa.. Wanawe wapo USA na mke aliyemkataa kwa kubarikiwa.
Awalete mtaani,
siyo wanawasakizia vijana wasio na kazi tu.
Hizi ni akili zaifu za Wtz , maandamano ni muhimu ila wanachoandamania akieleweki, wanaandamana kutetea matumbo yao,
Maandamo yangekuwa ya maana kama tungekuwa tunaandamana kupinga gharama za maisha kupanda na vingine basi ila ivyo vingine.