Pre GE2025 Tundu Lissu: Nitakuwepo tarehe 24 Dar es Salaam na nitashiriki maandamano

Pre GE2025 Tundu Lissu: Nitakuwepo tarehe 24 Dar es Salaam na nitashiriki maandamano

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Katika mikutano yake Makonda huko Bagamoyoamekuwa akiwadanganya kuwa Lissu amekimbia maandamano ya tarehe 24/1 eti ameona hayana maana.

Ni aibu kwa kiongozi wa level ya Katibu Itikadi kuwakusanya watu wazima na kusema uongo bila aibu maana yeye anamwakilisha mwenyekiti wake Samia Suluhu hivyo ikimaanisha wote wanashiriki uongo.

Lissu ametoa statement kuwa pamoja na kwenda Ivory Coast kwenye AFCON laki atakuwepo.

Hii inamaanisha MAKONDA NI KIONGOZI MUONGO NA ANAFANYA ULAGHAI KWA WANANCHI

View attachment 2877374
Anajua hayapo
 
Wote mnaopinga maandamano ya Chadema hamna akili,
Tena ni mabogasi kabisa vichwa vimejaa makamasi Na sio ubongo.

Mimi naunga mkono maandamano ila sijaona mantiki ya kuandamana kutetea ugali wa chama badala ya kuwatetea watanzania wote , tunahitaji maandamano ambayo Yana tija kwa Watanzania wote . Maandamano ambayo yatamgusa Kila mwananchi .
Naona mpumbavu hoja zimekata umehamia mitusi
 
Lissu kapigwa nyundo ya kichwa mwenyewe kafunguwa bakuli.

Hakuna maandamano yanayokubalika duniani kote...
Una hoja!! Sikuungi mkono Kwa sababu wewe mapenzi yako na misimamo yako hufungamanishwa na Dini yako ya Mnyaazi!! Ndo maana huwezi kujitokeza kumkemea Shehe Mwaipopo hata kama kafanya jambo la kipumbavu!!
 
Mods naomba mrekebishe tarehe kwenye heading isomeke 24/01/2024 na sio 24/02/2024.
 
Oyoooo umeibuka leo kisa maandamno.. ukijijua hautakwenda hata upigwe ngumi nao.. kisa kiongozi wako mpendwa wa Chadrama. 😅😅😅

Pole kwa chama chako kukumqliza nguvu na humu umekuwa mpole miaka hii.. 🤗
 
Oyoooo umeibuka leo kisa maandamno.. ukijijua hautakwenda hata upigwe ngumi nao.. kisa kiongozi wako mpendwa wa Chadrama. 😅😅😅

Pole kwa chama chako kukumqliza nguvu na humu umekuwa mpole miaka hii.. 🤗
Hahahaaaa!!!!!!!
 
Nashauri FFU wasimchape rungu, watumie zile fimbo kama za shule, wawe wanamuwasha, wanamuwasha, wanamuwasha, rungu atavunjika
 
Makonda alikurupuka sana kusema Lissu kakimbia maandamano, miongoni mwa wanasiasa anaependa mikikimikiki pale Chadema Lissu ndo babalao. Ingekuwa ngumu sana kwa Lissu kutoshiriki maandamano hayo.Makonda ilibidi amzungumzie Lissu baada ya maandamano kama asingekuwepo kweli.
 
Baada ya Lissu kuthibitisha kuwepo ari ya vijana kushiriki imeongezeka mara dufu
 
Nashauri FFU wasimchape rungu, watumie zile fimbo kama za shule, wawe wanamuwasha, wanamuwasha, wanamuwasha, rungu atavunjika
Kazi ya FFU ni kulinda usalama , si kupiga watu
 
tunawasubiri rafiki zetu chadema tufanyenao walau usafi tarehe 24
 
Back
Top Bottom