Anajua hayapoKatika mikutano yake Makonda huko Bagamoyoamekuwa akiwadanganya kuwa Lissu amekimbia maandamano ya tarehe 24/1 eti ameona hayana maana.
Ni aibu kwa kiongozi wa level ya Katibu Itikadi kuwakusanya watu wazima na kusema uongo bila aibu maana yeye anamwakilisha mwenyekiti wake Samia Suluhu hivyo ikimaanisha wote wanashiriki uongo.
Lissu ametoa statement kuwa pamoja na kwenda Ivory Coast kwenye AFCON laki atakuwepo.
Hii inamaanisha MAKONDA NI KIONGOZI MUONGO NA ANAFANYA ULAGHAI KWA WANANCHI
View attachment 2877374
Naona mpumbavu hoja zimekata umehamia mitusiWote mnaopinga maandamano ya Chadema hamna akili,
Tena ni mabogasi kabisa vichwa vimejaa makamasi Na sio ubongo.
Mimi naunga mkono maandamano ila sijaona mantiki ya kuandamana kutetea ugali wa chama badala ya kuwatetea watanzania wote , tunahitaji maandamano ambayo Yana tija kwa Watanzania wote . Maandamano ambayo yatamgusa Kila mwananchi .
Una hoja!! Sikuungi mkono Kwa sababu wewe mapenzi yako na misimamo yako hufungamanishwa na Dini yako ya Mnyaazi!! Ndo maana huwezi kujitokeza kumkemea Shehe Mwaipopo hata kama kafanya jambo la kipumbavu!!Lissu kapigwa nyundo ya kichwa mwenyewe kafunguwa bakuli.
Hakuna maandamano yanayokubalika duniani kote...
Hahahaaaa!!!!!!!Oyoooo umeibuka leo kisa maandamno.. ukijijua hautakwenda hata upigwe ngumi nao.. kisa kiongozi wako mpendwa wa Chadrama. 😅😅😅
Pole kwa chama chako kukumqliza nguvu na humu umekuwa mpole miaka hii.. 🤗
Kazi ya FFU ni kulinda usalama , si kupiga watuNashauri FFU wasimchape rungu, watumie zile fimbo kama za shule, wawe wanamuwasha, wanamuwasha, wanamuwasha, rungu atavunjika
wadanyanye wajinga wenzioBaada ya Lissu kuthibitisha kuwepo ari ya vijana kushiriki imeongezeka mara dufu
Ila wajitahidi kuja na familia zao pia ili kikinuka na wao wawe wahanga kidogo.Baada ya Lissu kuthibitisha kuwepo ari ya vijana kushiriki imeongezeka mara dufu
Umeandika kimasikini sanaIla wajitahidi kuja na familia zao pia ili kikinuka na wao wawe wahanga kidogo.
Hujui kitu wewewadanyanye wajinga wenzio