Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Nitalipa malimbikizo ya wafanyakazi yote kuanzia 2015 - 2020

Wewe hujui serikali inaendeshwaje ndiyo maana unafikiri ni kirahisi hivyo eti atawalipa malimbikizo ya wafanyakazi kwa miaka mitano!! Naona hayo maturubai aliyovaa yanampunguzia akili kichwani. Akawadanganye wanafunzi wa chekechea!!
Tz wafanyakaz hawazid 10000 ajira rasmi
 
Hauwezi kuongelea serikali ya Magufuli bila kuongelea ukatili, udikteta, kukosekana uhuru wa vyombo vya habari... Nchi hii si ya wakulima tu. Kuna watu wa haki za binadamu, wafanyabiasha, wafanyakazi... Na wengine basi tu hawapendi uonevu. Magufuli ni katili. Ukatili wake hauwezi fumbiwa macho na watu wote milioni 60 wa nchi hii.
Sasa aya ndio tulitaka kisikia...sasa me mkulima wa kijijini unaanza niambia mambo ya risasi kiunoni.
 
Kuongea ni rahisi ili apate ulaji, kutenda najua itakuwa ziro. Akagombee Ubeligiji huko
 
Huyu anataka turudi kwenye uchumi tegemezi.

Atatoa wapi hela endapo anaivunja TRA?

Haelezei atainuaje uchumi wa nchi bali anaelezea atakavyoharibu mifumo mizuri iliyojengwa
Kwani TRA ndio hela? Badala ya kuwajali walipa kodi wewe unamthamini mkusanya kodi? CCM ni janga katika taifa hili kama mnayo mawazo ya namna hii. Walaaniwe wote wenye mawazo kama yako.
 
Kwa ilani hizi tumelamba Dume tupambane tuliondoe JIKONO JANDAMA ikulu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…