Hapo atawanasa wasiojua mfumo mzima unaotumika na serikali kupata fedha.Eti kuwapandishia watu maisha??ππYaani kupandisha watu mishaa na kuwalipa watu malimbikizo yao ni sheria za kikoloni...duuh
Tz wafanyakaz hawazid 10000 ajira rasmiWewe hujui serikali inaendeshwaje ndiyo maana unafikiri ni kirahisi hivyo eti atawalipa malimbikizo ya wafanyakazi kwa miaka mitano!! Naona hayo maturubai aliyovaa yanampunguzia akili kichwani. Akawadanganye wanafunzi wa chekechea!!
Sasa aya ndio tulitaka kisikia...sasa me mkulima wa kijijini unaanza niambia mambo ya risasi kiunoni.
Kwani kusema amelipa ndio uamini kuwa amelipa?Hahahaaa malimbikizo gani wakati rais amesema ameshalipa hayo madeni kwa wafanyakazi?
Au anadhani hii ni 2015?
Mimi familia yangu tutamchagua Magufuli
Wewe utakuwa mwanafunzi huelewi kitu yaani unasema wafanyakazi wa umma hawazidi 10,000?? Mmmmh.Tz wafanyakaz hawazid 10000 ajira rasmi
Kwani TRA ndio hela? Badala ya kuwajali walipa kodi wewe unamthamini mkusanya kodi? CCM ni janga katika taifa hili kama mnayo mawazo ya namna hii. Walaaniwe wote wenye mawazo kama yako.Huyu anataka turudi kwenye uchumi tegemezi.
Atatoa wapi hela endapo anaivunja TRA?
Haelezei atainuaje uchumi wa nchi bali anaelezea atakavyoharibu mifumo mizuri iliyojengwa
Sera gani ya kikoloni? Kusema atapandisha mishahara ya watumishi ni sera ya kikoloni?Hakuna kitu pale!!!Sera za kikoloni
Kwa ilani hizi tumelamba Dume tupambane tuliondoe JIKONO JANDAMA ikulu.Tundu Lissu anasema atalipa malimbikizo yote ya mishahara na kupandisha vyeo vyote vilivyosimama toka mwaka 2015 mpaka leo 2020.
Anasema lazima wafanyakazi walipwe fidia na Serikali yake.
Anasema atawalipa pia fidia wote waliofukuzwa kazi na Serikali ya CCM ndani ya hii miaka 5.
Anasema atarudisha makato ya loan board kutoka 15% na kuwa 3%
Na yatakuwa kwa wale tu watakao kuwa na kazi za kueleweka ndani ya serikali yake.
Anasema atafumua mfumo wa elimu ili utoke kwenye kujibu mithihani na kuwa elimu ya maarifa na kujitegemea na kuajirika kirahisi.
Anasema ataifumua TRA na kuanzisha mfumo wa Kodi moja ili nchi zote zilizo tuzunguka zije kununua bidhaa bandarini na kwenye maduka yetu ya ndani.
View attachment 1552154View attachment 1552155
Nyie ndio mlisema elimu bure haiwezekani kumbe Ni bilion 25 kwa mwezi.Hatudanganyiki kirahisi hivyo. Tuko serikalini tunajua pesa za serikali zinapatikana vipi.
Jiwe kamchua Nani anayejua masuala ya kiuchumi? Daimond?Wangelimchukua Zitto awasaidie kujenga hata hoja za uongo za uchumi
Nyie mnafikiri yeye akiwa Rais atakuwa one man show kama MagufuliJamaa Hana lolote analolijua kuhusu uchumi.
Ameshindwa kubadili mfumo wa Chadema ataweza mfumo wa Tanzania?Nyie mnafikiri yeye akiwa Rais atakuwa one man show kama Magufuli
Lissu anataka kutengeneza kwanza mfumo.