Tundu Lissu: Polisi wote huni - treat with respect kila walipotumwa kunikamata isipokuwa baadhi kama afande Cammilius Wambura, Sirro na Kigaigai...

Yaani mada inayomhusu Lisu hadi sasa kurasa ya pili tu? Ha ha ha jamaa ameshaporomoka, ingawa makamanda uchwara hawapendi kukubali.
 
Shetani la kike. Utapewa ukuu wa wilaya
 
Jamaa anajua kuwakera polisi huyu, na anawakera kisawasawa. Akiona IGP Sirro amekaa kwa amani siku mbili tatu, anachomoa betri.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
SIrro asivyochelewa kulia atakuwa akisikiliza analia sana usiku[emoji28][emoji28]...Kumbuka alivyolizwa na Makonda[emoji1787]
 
Hivi kuna binadamu mwenye ufahamu Tanzania akasema kuna polisi wazuri. Ni upunguani Tu ndio utakaokuongoza kuwaona ni wazuri.
 
Huyu dogo anadharau sana..
 
Vipi? Bado anatafuta huruma ya kupigwa risasi? MPaka lini? Yuko hai mwambieni asonge mbele na maisha. Wapo waliopata makubwa kuliko yeye na wanadunda na maisha. Huwezii kuzeeka unalalamikia yaliyokupata utotoni.
 
Nasikia bwana màgufool alitoa amri ya kuuwawa Lissu siku 3 kabla hajafikwa na umauti pale mzena
 

mwambie sirro gari iliyofanya shambulio la lissu ni Nisan patrol T 932 AKN tunaweza kuanzia hapo
 
Akifa mzikeni kwao Singida ndani ya dk 30, sitaki maiti ije Dar na hakuna rambirambi za kitaifa.

tukamzika yye sasa kweli akili za Mungu hazichunguziki
 
mwambie sirro gari iliyofanya shambulio la lissu ni Nisan patrol T 932 AKN tunaweza kuanzia hapo

Hizi blah blah blah huku mitandaoni hazina maana. Hazimpi Tundu wala watanzania haki yao kuhusiana na tukio la Tundu

Tangu ameanza kuongea nini kimemfaidi yeye au wewe?

Mwambieni asimamie hili jambo, ukweli uwekwe kibarazani. Itawasaidia wengi kupona na kufanya maamuzi sahihi kuliko kusubiria kampeni ndio aje
 

bibie unatumia kilevi gani vile?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…