Alwatan Mabruki
Senior Member
- Sep 20, 2020
- 132
- 116
divide your enemy so you can reign approach. Tumefikia katika hii hatua kweli TANZANIAKwa uungwana ninachoweza kusema ni kuwa hapo kuna ka ugunduzi wa divide and rule, na hilo huoneka kwa watu wenye uwezo wa kuona mbali, wanachofanya mataifa ya ughaibuni huwa wanatumia vibaraka kama wakina Lisu ku penetrate hiyo policy ya divide and rule.
Amini amini nakwambia, nakukumbushia ya Libya walikuwa wanapata mahitaji yote katika jamii yao, lakini kilichowakuta sote tunafahamu na dunia nzima inajua policy ni ile ile divide and ruledivide your enemy so you can reign approach. Tumefikia katika hii hatua kweli TANZANIA
Hata kama anaiba bado asujudiwe tu kisa bado rais. Acheni kuabudu sanamu, asiabudiwe yeyote ila Mungu tu.Lissu kwanini anaropokaropoka hovyo,anatakiwa ajuwe kuwa JPM bado ni Rais anapaswa kuchunga kaulizake.
Nchi yetu ni ya Amani. Mungu atulinde.Amini amini nakwambia, nakukumbushia ya Libya walikuwa wanapata mahitaji yote katika jamii yao, lakini kilichowakuta sote tunafahamu na dunia nzima inajua policy ni ile ile divide and rule
Hata ukiteteaje Magufuli ni jizi la rambirambi. Anatia aibu Rais mzima Unakuw mroho kiasi hicho? UNAIBA RAMBIRAMBI TENA BILA AIBU na cheo chako kibwa.Hoja ya nguvu!
Poor argument from a poor mind. Mivhango ya watu haijengi hospitali, shule wala barabara wala daraja.
Wakati wa maafa, miundombinu inajengwa kwa pesa ya maafa ambaye huwa kwenye bajeti ya Waziri Mkuu.
Kilichofanyika, ni wizi wa hali ya juu. Na ni dhuluma kwa wahanga wa tetemeko.
Pesa ilichangwa na wananchi kwa nia ya kuwanusuru na dharula za kimaisha baada ya maafa.
Hili doa la kula rambirambi za wanaKagera litamgharimu maisha yake yote na litampa laana ya milele.Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CHADEMA Mhe. Tundu Antipas Lissu amewaambia wana-Kagera wazi kuwa RAIS anayekula Rambirambi hafai kuwa Rais.
Mhe. Lissu alikuwa akiwakumbusha Wana Kagera alichowafanyia Rais Magufuli baada ya janga la tetemeko la Ardhi alipobadili matumizi ya Fedha za Rambirambi kusipeleka kujenga reli na mabarabara akisema ati," SERIKALI YAKE YA CCM HAIKULETA TETEMEKO LA ARDHI".
View attachment 1580936
https://www.jamiiforums.com/data/at...a_Kagera.__Wananchi_wa_Kagera__480_X_480_.mp4
Hii tabia ya uropokaji wa Rais Magufuli kwa Sasa una mgharimu vibaya Sana!
Kila jambo huwa linatimia kwa nia, Ili Mungu atulinde yatupasa kuwa na nia thabiti ya kumpigia kura mwenye maono mema na mwenye uwezo wa kuidumisha na kuilinda Amani yetu huyo si mwigine ni Dkt.John Joseph Pombe Magufuli.Nchi yetu ni ya Amani. Mungu atulinde.
Ila lissu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣✔️Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CHADEMA Mhe. Tundu Antipas Lissu amewaambia wana-Kagera wazi kuwa RAIS anayekula Rambirambi hafai kuwa Rais.
Mhe. Lissu alikuwa akiwakumbusha Wana Kagera alichowafanyia Rais Magufuli baada ya janga la tetemeko la Ardhi alipobadili matumizi ya Fedha za Rambirambi kusipeleka kujenga reli na mabarabara akisema ati," SERIKALI YAKE YA CCM HAIKULETA TETEMEKO LA ARDHI".
View attachment 1580936
https://www.jamiiforums.com/data/at...a_Kagera.__Wananchi_wa_Kagera__480_X_480_.mp4