mangikule
JF-Expert Member
- Jun 11, 2012
- 6,369
- 5,866
Majizi yachague majizi inaruhusiwa! kama majizi ni mengi kuliko raia wote itajulikana! 28 oct. Ila ujue kupiga watoto majirani wameshazingira nyumba!Tuthibitishie hapa ameibaje hizo rambirambi na tuonyeshe ushahidi wa hicho unachokisema. Maana mmezoea kuwalisha matango pori watanzania kama kaka yenu Kigogo. Watanzania wamewashtukia sasa hivi na watamchagua Magufuli