Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Rais anayekula rambirambi hatufai

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Rais anayekula rambirambi hatufai

Wacha kutufanya majuha wewe! Mie nichangie pesa zangu kusaidia waliopatwa maafa ya tetemeko halafu atoke dikteta azielekeze kwingine!? 😳😳😳😳
Tatizo lenu wapinzani mkiambiwa ukweli, hamtaki
 
Hata pasipo maafa miundombinu lazima ijengwe hilo ni jukum la serikali lkn nyumba au mahitaji ya lazima wakati wa maafa lazima yakabiliwe na michango iliyotolewa kwa wakati huo.
Kwa hiyo ulitaka wajengewe nyumba zao halafu wasome vyumbani kwao? Si ndio?
 
Tanzania haina mfuko wa maaafa...huyu JIWE wa CHARTTLE kachukua hela zote..na kuzipangia matumizi kibabe..bila kufuata utaratibu...ANAFANYA HII nchi Kama shamba la bibi yake..anajichumia tu
Uongo pia, tatizo hatujazoea kuambiwa ukweli
 
Ila hili lirais letu la sasa hivi sijui huwa linatumia nini kufikiria
 
Hata mimi ningesikia mondi ama kondeboy yupo live bure bure aisee ningeenda kucheki mauno ya bure!!
Mbona hotuba za Lissu nyingi sio kweli na pia anatumia taarifa za JF tu??
 
Kwa hiyo ulitaka wajengewe nyumba zao halafu wasome vyumbani kwao? Si ndio?

Kwani ungependa watokee kulala nje Waende kusoma kwenye madarasa na kupita juu ya lami sio?? Unaelewaje kuhusiana na neno majanga? Serikali ina jukumu la kutengeneza uliyoyasema BUT not on our expenses. Hata Kama ni Kweli Serikali haijengei wananchi nyumba michango iliyotolewa ilikuwa inalenga mwananchi moja moja. Kauli za kusema “sijaleta tetemeko” wakati michango unapokea inaudhi.

Unaonaje Serikali ingesaidia malazi kwa waathirika halafu ikaomba wananchi hao hao wachangie kujenga hayo mamiundombinu unadhani watu wangekataa?
 
Wewe uliona wapi serikali inachukua rambirambi kujenga miundombinu badala ya fungu la maafa ambalo linapitishwa na Bunge?
Kwa hiyo mfano baada ya siku mbili yangetokea maafa mengine makubwa sehemu nyingine na wao wangepewa msaada gani? Au wengejengewa nyumba ngapi?
 
Tuliochanga tulichangia watu binafsi , serekali walikuwa wakusanyaji tuu. Siyo wapange matumizi hiyo haikuwa Kodi.
 
Kama Kuna mtu anapata pressure za Tundu Lissu kipindi hiki cha Kampeni basi ni Bwana John Joseph Pombe MAGUFULI.

Muziki wa TAL-2020 siyo wa kawaida kabisa. Pressure ya Lowassa kwa Magufuli mwaka 2015 ilikuwa ni cha mtoto!!
Mbona Chadema ilikwisha kufa baada ya akina Lijualikali kuihama na Takukuru kuwahoji viongozi wake.
 
Unachoongea hapa ujue Kuna watu Wana akili kuliko wewe....!!!
Tunaomba ujibu maswali haya rahisi kabisa:
  1. Je, tetemeko liliathiri Barabara, reli, shule na Zahanati peke yake?
  2. Je, Hakuna watu waliopoteza maisha?
  3. Je, Hakuna nyumba zilizovunjika/bomoka?
  4. Je, waathirika wa swali #2 na #3 walifidiwaje?
Twende kazi.
1.rudisha kumbukumbu zako vizuri, pesa zilienda kuboresha majengo ya msingi na sio reli.
2.Watu kupoteza maisha ni jambo la kawaida kwenye maafa, na taratiu mbalimbali zilifuatwa kupewa heshima za mwisho.
3.Nyumba zilizovunjika zilikuwepo na watu walipewa vifaa mbalimbali kuweka sawa nyumba zao, hadi ikafikia wakati wengine wakaanza kubomoa nyumba zao ambazo hazikuharibiwa na janga la tetemeko.
3.kwanza fahamu maana halisi ya fidia, majanga ya asili huwa hayana fidia, halafu pili waathirika halali walipata fungu lililotokana na michango ya maafa ili kujiimarisha. Ila wadanganyifu wote hawakupata fungu hilo.
 
1.rudisha kumbukumbu zako vizuri, pesa zilienda kuboresha majengo ya msingi na sio reli.
2.Watu kupoteza maisha ni jambo la kawaida kwenye maafa, na taratiu mbalimbali zilifuatwa kupewa heshima za mwisho.
3.Nyumba zilizovunjika zilikuwepo na watu walipewa vifaa mbalimbali kuweka sawa nyumba zao, hadi ikafikia wakati wengine wakaanza kubomoa nyumba zao ambazo hazikuharibiwa na janga la tetemeko.
3.kwanza fahamu maana halisi ya fidia, majanga ya asili huwa hayana fidia, halafu pili waathirika halali walipata fungu lililotokana na michango ya maafa ili kujiimarisha. Ila wadanganyifu wote hawakupata fungu hilo.

Jihurumie kwa kujidanganya kuwa unaweza kujua kuliko hata waathirika wenyewe.

Pathetic!
 
Lissu kwanini anaropokaropoka hovyo,anatakiwa ajuwe kuwa JPM bado ni Rais anapaswa kuchunga kaulizake.
Mnacho kosea ndugu zangu ninyi ni kuamini kwamba rais ni mtukufu hatakiwi kusemwa kwa baya lolote lile hiyo nayo ni aina nyingine ya ulavu.
 
Back
Top Bottom