Tundu Lissu: Rais ni mtumishi wetu tunapaswa kumkemea, kumkosoa na kumsema. Lazima tushughulike nae kisiasa

Kwa Staha kama binadamu sio kwa.kejeli na matusi
 
Rais ni kiongozi wa kisiasa na ametokana na siasa.

Zaidi hii ni Jamhuri sio Nchi ya Kifalme.

TL July 2023
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…