Ujamaa ni mhimu
JF-Expert Member
- Sep 30, 2022
- 1,203
- 1,011
Maigizo yenuNdio nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maigizo yenuNdio nini?
Mpo wangapi sasa hapa jf watetezi wa mkataba wa bandari mnahesabikaAcha kutusemea sisi wengine tunamuunga mkono Mh. Rais suala la uboreshaji wa bandari.
Kwa sababu wao ndio chanzo cha ukimbizi wake na iko wazi.Huyu Tundu Lissu ni hatari sana kwa usalama wa Tanzania kwanini Serikali inamruhusu mkimbizi anayeishi Belgium kufanya siasa hapa Tanzania
PorojoHautapita muda, mama mzururaji hataonekana kwenye mataifa ya wazungu. Safari zake zitaishia Uarabuni, China na Urusi. Hatagusa mataifa ya watu wastaarabu. Na muda siyo mrefu, mama mikopo hataweza kupata mkopo wala msaada toka kwa mataifa wastaarabu.
Wazungu hawapendi mtu mnafiki na dikteta wa kujificha.
Hata kama nipo peke yangu ni haki yanguMpo wangapi sasa hapa jf watetezi wa mkataba wa bandari mnahesabika
Upuuzi mtupu.Acha kuchukia ug'eg'e sababu ya upumbavu wako
Kweli kabisa, hao siyo wanasiasa, njia yao ya kuvutia pesa kwa mabwana zao ni kuonesha kuwa Tanzania kuna matatizo, kwa hiyo ni lazima wasuke matatizo yasiyiyo kuwepo, hao na mafundi wa tabata hawana tofauti.Hao wahaini bora walivyo kamatwa.
Siasa za matusi na kudhalilisha viongozi ni ujinga.
Mungu ibariki DP world.
Hamna kesi hapoManeno yanayoweza kuhatarisha amani yetu hayataweza kuvumiliwa, waliokamatwa wote, vielelezo vyao vipo kwenye makabrasha vikisubiri mashauri. Siamini kama kuna atakayeonewa!
Historia ya namna huyu mama alivyopatikana akawa makamu wa Magufuli anaijua ni JK.👇
---
Leo August 12, 2023 Tundu Lissu kupitia ukurasa wake wa X ameandika kuhusu kukamatwa kwa Mdude Nyagali na Wakili Mwabukusi. Katika kutoa maoni yake kuhusu jambo hilo ameandika:
Bonnie Mwabukusi, lawyer & critic of President Samia's handover of all of Tanzania's ports to DP World, has been detained with two other critics.
They're being held incommunicado in Mbeya. Samia has reneged on her vow to ditch Magufuli's brutal legacy. She'd be held accountable!
Mdude Nyagali alifungwa & kuteswa kwenye magereza & mahabusu za Magufuli. Emmanuel Masonga naye alifungwa & kuteswa kwenye magereza ya Magufuli.
Sasa mashujaa hawa ni wafungwa kwenye mahabusu za Samia. Magufuli na ukatili wake alishindwa; na Samia na ukatili wake naye atashindwa!
ila wanapenda mashago kama waoHautapita muda, mama mzururaji hataonekana kwenye mataifa ya wazungu. Safari zake zitaishia Uarabuni, China na Urusi. Hatagusa mataifa ya watu wastaarabu. Na muda siyo mrefu, mama mikopo hataweza kupata mkopo wala msaada toka kwa mataifa wastaarabu.
Wazungu hawapendi mtu mnafiki na dikteta wa kujificha.
Wewe hauko katika hao wengi na wala sijakutaja.Acha kutusemea sisi wengine tunamuunga mkono Mh. Rais suala la uboreshaji wa bandari.
Huo ukweli unaoona anauongea angeweka nguvu kuongelea yale mambo watanzania wanayoyata kwa sasa.Kwani anasema uwongo?
Huyu yuko sawa kweli?👇
---
Leo August 12, 2023 Tundu Lissu kupitia ukurasa wake wa X ameandika kuhusu kukamatwa kwa Mdude Nyagali na Wakili Mwabukusi. Katika kutoa maoni yake kuhusu jambo hilo ameandika:
Bonnie Mwabukusi, lawyer & critic of President Samia's handover of all of Tanzania's ports to DP World, has been detained with two other critics.
They're being held incommunicado in Mbeya. Samia has reneged on her vow to ditch Magufuli's brutal legacy. She'd be held accountable!
Mdude Nyagali alifungwa & kuteswa kwenye magereza & mahabusu za Magufuli. Emmanuel Masonga naye alifungwa & kuteswa kwenye magereza ya Magufuli.
Sasa mashujaa hawa ni wafungwa kwenye mahabusu za Samia. Magufuli na ukatili wake alishindwa; na Samia na ukatili wake naye atashindwa!
-Mtanganyika ndio anatumika kuwakandamiza Watanganyika wenzie wakati akijua yeye naye ni mwenyeji wa Rorya. Tangu lini polisi Tanzania wanauwezo wa kuvizia mwananchi kumkamata kama jambazi katikati ya msitu? Hao polisi waliowakamata wananchi tajwa ni majambazi wao. Tangu lini polisi wakaweza kudhibiti uhaini badala ya kuwashirikisha jeshi kama sio siasa ni nini?👇
---
Leo August 12, 2023 Tundu Lissu kupitia ukurasa wake wa X ameandika kuhusu kukamatwa kwa Mdude Nyagali na Wakili Mwabukusi. Katika kutoa maoni yake kuhusu jambo hilo ameandika:
Bonnie Mwabukusi, lawyer & critic of President Samia's handover of all of Tanzania's ports to DP World, has been detained with two other critics.
They're being held incommunicado in Mbeya. Samia has reneged on her vow to ditch Magufuli's brutal legacy. She'd be held accountable!
Mdude Nyagali alifungwa & kuteswa kwenye magereza & mahabusu za Magufuli. Emmanuel Masonga naye alifungwa & kuteswa kwenye magereza ya Magufuli.
Sasa mashujaa hawa ni wafungwa kwenye mahabusu za Samia. Magufuli na ukatili wake alishindwa; na Samia na ukatili wake naye atashindwa!
Zile risasi zilichemka.... Safari hii watumie mabomu kabisa.... Au nasema uongo ndugu zangu?Huyu Lissu na yeye asiwachiwe, ni lazima anatumiwa na wasiyoitakia mema Tanzania.