Tundu Lissu: Rais Samia anaendeleza ukatili wa Hayati Magufuli kwa kukamata Wakosoaji wa Mkataba wa DP World

Tundu Lissu: Rais Samia anaendeleza ukatili wa Hayati Magufuli kwa kukamata Wakosoaji wa Mkataba wa DP World

Huyu Tundu Lissu ni hatari sana kwa usalama wa Tanzania kwanini Serikali inamruhusu mkimbizi anayeishi Belgium kufanya siasa hapa Tanzania
Kwa sababu wao ndio chanzo cha ukimbizi wake na iko wazi.
 
Hautapita muda, mama mzururaji hataonekana kwenye mataifa ya wazungu. Safari zake zitaishia Uarabuni, China na Urusi. Hatagusa mataifa ya watu wastaarabu. Na muda siyo mrefu, mama mikopo hataweza kupata mkopo wala msaada toka kwa mataifa wastaarabu.

Wazungu hawapendi mtu mnafiki na dikteta wa kujificha.
Porojo
 
Hao wahaini bora walivyo kamatwa.

Siasa za matusi na kudhalilisha viongozi ni ujinga.

Mungu ibariki DP world.
Kweli kabisa, hao siyo wanasiasa, njia yao ya kuvutia pesa kwa mabwana zao ni kuonesha kuwa Tanzania kuna matatizo, kwa hiyo ni lazima wasuke matatizo yasiyiyo kuwepo, hao na mafundi wa tabata hawana tofauti.

Wasiwachiwe kabisa wakaiharibu amani tuliyonayo kwa uongo wao.
 
Serikali za Kiafrika ni za kimabavu...walioonja madaraka huwa ni wakali kama pilipili pale maslahi yao yanapoguswa...
 
👇

---

Leo August 12, 2023 Tundu Lissu kupitia ukurasa wake wa X ameandika kuhusu kukamatwa kwa Mdude Nyagali na Wakili Mwabukusi. Katika kutoa maoni yake kuhusu jambo hilo ameandika:

Bonnie Mwabukusi, lawyer & critic of President Samia's handover of all of Tanzania's ports to DP World, has been detained with two other critics.

They're being held incommunicado in Mbeya. Samia has reneged on her vow to ditch Magufuli's brutal legacy. She'd be held accountable!

Mdude Nyagali alifungwa & kuteswa kwenye magereza & mahabusu za Magufuli. Emmanuel Masonga naye alifungwa & kuteswa kwenye magereza ya Magufuli.

Sasa mashujaa hawa ni wafungwa kwenye mahabusu za Samia. Magufuli na ukatili wake alishindwa; na Samia na ukatili wake naye atashindwa!
Historia ya namna huyu mama alivyopatikana akawa makamu wa Magufuli anaijua ni JK.

Historia ya huyu mama kuchukua nafasi ya JPM anayeijua ni Makamba, Nape na JK.

Endeleeni kuwaza na kujiuliza tunaelekea wapi na tunapelekwa huko na nani!
 
Hautapita muda, mama mzururaji hataonekana kwenye mataifa ya wazungu. Safari zake zitaishia Uarabuni, China na Urusi. Hatagusa mataifa ya watu wastaarabu. Na muda siyo mrefu, mama mikopo hataweza kupata mkopo wala msaada toka kwa mataifa wastaarabu.

Wazungu hawapendi mtu mnafiki na dikteta wa kujificha.
ila wanapenda mashago kama wao
 
👇

---

Leo August 12, 2023 Tundu Lissu kupitia ukurasa wake wa X ameandika kuhusu kukamatwa kwa Mdude Nyagali na Wakili Mwabukusi. Katika kutoa maoni yake kuhusu jambo hilo ameandika:

Bonnie Mwabukusi, lawyer & critic of President Samia's handover of all of Tanzania's ports to DP World, has been detained with two other critics.

They're being held incommunicado in Mbeya. Samia has reneged on her vow to ditch Magufuli's brutal legacy. She'd be held accountable!

Mdude Nyagali alifungwa & kuteswa kwenye magereza & mahabusu za Magufuli. Emmanuel Masonga naye alifungwa & kuteswa kwenye magereza ya Magufuli.

Sasa mashujaa hawa ni wafungwa kwenye mahabusu za Samia. Magufuli na ukatili wake alishindwa; na Samia na ukatili wake naye atashindwa!
Huyu yuko sawa kweli?
 
👇

---

Leo August 12, 2023 Tundu Lissu kupitia ukurasa wake wa X ameandika kuhusu kukamatwa kwa Mdude Nyagali na Wakili Mwabukusi. Katika kutoa maoni yake kuhusu jambo hilo ameandika:

Bonnie Mwabukusi, lawyer & critic of President Samia's handover of all of Tanzania's ports to DP World, has been detained with two other critics.

They're being held incommunicado in Mbeya. Samia has reneged on her vow to ditch Magufuli's brutal legacy. She'd be held accountable!

Mdude Nyagali alifungwa & kuteswa kwenye magereza & mahabusu za Magufuli. Emmanuel Masonga naye alifungwa & kuteswa kwenye magereza ya Magufuli.

Sasa mashujaa hawa ni wafungwa kwenye mahabusu za Samia. Magufuli na ukatili wake alishindwa; na Samia na ukatili wake naye atashindwa!
-Mtanganyika ndio anatumika kuwakandamiza Watanganyika wenzie wakati akijua yeye naye ni mwenyeji wa Rorya. Tangu lini polisi Tanzania wanauwezo wa kuvizia mwananchi kumkamata kama jambazi katikati ya msitu? Hao polisi waliowakamata wananchi tajwa ni majambazi wao. Tangu lini polisi wakaweza kudhibiti uhaini badala ya kuwashirikisha jeshi kama sio siasa ni nini?

Serikali waachieni hao wanaharakati haraka vinginevyo wananchi wa Tanganyika na dunia wataadhibu vibaya

Free#Mwabhukusi, Mdude & Masonga and stop this animosity transgression
 
Huyu Lissu na yeye asiwachiwe, ni lazima anatumiwa na wasiyoitakia mema Tanzania.
Zile risasi zilichemka.... Safari hii watumie mabomu kabisa.... Au nasema uongo ndugu zangu?

Basi hili nalo mkalitazame....
 
Back
Top Bottom