Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
- Thread starter
- #61
We mburukengeUpuuzi mtupu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mburukengeUpuuzi mtupu.
Looks like a day dream!!!The Great Politician of all times has finally said something.
The International Community must intervene before it is too late.
Abusive words na kutoa KAULI zinazotarisha Amani ya taifa, HII pekee ni jinai tosha.although uwezekano wa kulipuuza shauri la namna hii ni mkubwa.Hamna kesi hapo
Mlikuwa na dharau sana nyie,Rais Kamatia hapo hapo , political brutality Wala Haina shida Africa.👇
---
Leo August 12, 2023 Tundu Lissu kupitia ukurasa wake wa X ameandika kuhusu kukamatwa kwa Mdude Nyagali na Wakili Mwabukusi. Katika kutoa maoni yake kuhusu jambo hilo ameandika:
Bonnie Mwabukusi, lawyer & critic of President Samia's handover of all of Tanzania's ports to DP World, has been detained with two other critics.
They're being held incommunicado in Mbeya. Samia has reneged on her vow to ditch Magufuli's brutal legacy. She'd be held accountable!
Mdude Nyagali alifungwa & kuteswa kwenye magereza & mahabusu za Magufuli. Emmanuel Masonga naye alifungwa & kuteswa kwenye magereza ya Magufuli.
Sasa mashujaa hawa ni wafungwa kwenye mahabusu za Samia. Magufuli na ukatili wake alishindwa; na Samia na ukatili wake naye atashindwa!
Akikosekana kwenye mataifa ya Wazungu itakuwaje?Hautapita muda, mama mzururaji hataonekana kwenye mataifa ya wazungu. Safari zake zitaishia Uarabuni, China na Urusi. Hatagusa mataifa ya watu wastaarabu. Na muda siyo mrefu, mama mikopo hataweza kupata mkopo wala msaada toka kwa mataifa wastaarabu.
Wazungu hawapendi mtu mnafiki na dikteta wa kujificha.
Walioingia mkataba mbovu ndo wasioitakia mema tanganyika, na si LisuHuyu Lissu na yeye asiwachiwe, ni lazima anatumiwa na wasiyoitakia mema Tanzania.
kwa ni si alishawaambia yeye na magu ni kitu kimoja au mliamua kujisahaulisha tu?👇
---
Leo August 12, 2023 Tundu Lissu kupitia ukurasa wake wa X ameandika kuhusu kukamatwa kwa Mdude Nyagali na Wakili Mwabukusi. Katika kutoa maoni yake kuhusu jambo hilo ameandika:
Bonnie Mwabukusi, lawyer & critic of President Samia's handover of all of Tanzania's ports to DP World, has been detained with two other critics.
They're being held incommunicado in Mbeya. Samia has reneged on her vow to ditch Magufuli's brutal legacy. She'd be held accountable!
Mdude Nyagali alifungwa & kuteswa kwenye magereza & mahabusu za Magufuli. Emmanuel Masonga naye alifungwa & kuteswa kwenye magereza ya Magufuli.
Sasa mashujaa hawa ni wafungwa kwenye mahabusu za Samia. Magufuli na ukatili wake alishindwa; na Samia na ukatili wake naye atashindwa!
Namshauri Tundu Lissu aachane na kufanya rejea ya mabaya ya JPM anaharibu ambapo itachukua miongo kadhaa kuondoa fikra chanya ndani ya wananchi kumhusu JPM; for now he has to focus straight away to the exiisting serpent actions.Kwendraaaa huko. Jiteteeni kwa hoja siyo kutisha watu
Nakubaliana nawe.Tanzania sio ya kujifunzia uhuni,Babu Mihogo Slaa kawatumia harafu kawatelekeza kama ndom 😁😁
kuongoza watu ni jambo gumu linalohitaji hekima, ukipwaya kidogo unajikuta unakosea tuiombee serikali yetu.Huyu Lissu na yeye asiwachiwe, ni lazima anatumiwa na wasiyoitakia mema Tanzania.
.Huyu Lissu na yeye asiwachiwe, ni lazima anatumiwa na wasiyoitakia mema Tanzania.
Sasa anayetaka mema Tanzania ni nani!? Samia .... Oh God forbid.
.
Maendeleo uchwara hayo. Nyie endeleeni na Uchawa wenu tu. Maza yuko busy wanapiga na madeal na Wajomba zake.Mema kwa mkulima wa Tanzania... Bashe na Rais Samia wanafanya kweli
Mkulima wa Tanzania sasa hivi ana kituo cha kisasa cha huduma kwa mtej (,Customer care). Bashe kwa mara ya kwanza Tanzania, anaifanya Wizara ya kilimo kuwa ni watoa huduma wa kisasa kwa wakulima. Jionee: Mengine tutaendelea kuwaletea. Hongera Bashe, Hongera Rais Samia. === Waziri Hussein...www.jamiiforums.com
Hata kijiji ni kikubwa kwa ubongo wa ndege kama huyuMlimsifu sana "MAMA" huyu ndugu hafai kuongoza taifa kubwa kama hili ameshindwa!
Ila jamaa anaabudu sana wazungu.Akikosekana kwenye mataifa ya Wazungu itakuwaje?
Mama akikosa mikopo ndo umekosa wewe, wanao na jamaa zako. Hilo si la kuliomba,
Kwenye hili la wazugu kutotaka unafiki fikiria vizuri. Nakumbusha tu kwamba kwao wazungu maslahi ya taifa lao ndo kipaumbele na hawana habari na ugomvi wenu mradi bandari watafaidika nayo
Tatizo lenu mlikuwa mnapiga sana kelele kuhusu Magufuli na kukuza mambo tu.Mlikuwa na dharau sana nyie,Rais Kamatia hapo hapo , political brutality Wala Haina shida Africa.
Magufuli aliharibu kote kwenye uchumi na na siasa ila Kwa Africa , kuwashughulikia Wapinzani hakuna shida yeyote kuanzia Senegal, Zimbabwe,Rwanda,Uganda Hadi Egypt.
Wapinzani wanashughulikiwa na Uchumi unafanya vizuri.
Ukatili wa Mkapa na kikwete haujafikia hata robo ukatili aliofanya Magufuri, itoshe kusema magu alikuwa dikteta.Tundullisu huwa anachuki sana Sana JPM hivi ukatili wa Mkapa, Kikwetu hakuuona mpaka JPM awe case study ya kila kitu kha!
Ng'ombeHuyu Lissu na yeye asiwachiwe, ni lazima anatumiwa na wasiyoitakia mema Tanzania.