passion_amo1
JF-Expert Member
- Dec 3, 2023
- 1,828
- 3,922
Mimi ninacho Amini kama CHADEMA itapata nafasi ya kuchukua nchi kutakuwa na mabadiliko makubwa sana. Na watafanya kazi kwa damu na Jasho ili kuaminisha Watanzania kwamba miaka hiyo yote 60 kwamba chama kilichokuwa kinaongoza si sahihi.chadema + ccm nyinyi nyote kenge maji tu, cdm hata mkipewa nchi mtakuwa kama ccm tu wabinafsi na kuangalia familia zenu.
....vile vile ni aibu mke wa jirani kuitawala na kuamua apendavyo yeye mambo ya jirani yake.Wakat mwingine NI aibu kundi zima la wanaume kupambana na mke wa mtu.
Mimi niwe mkweli.Mimi ninacho Amini kama CHADEMA itapata nafasi ya kuchukua nchi kutakuwa na mabadiliko makubwa sana. Na watafanya kazi kwa damu na Jasho ili kuaminisha Watanzania kwamba miaka hiyo yote 60 kwamba chama kilichokuwa kinaongoza si sahihi.
Lakini Kwa sababu CCM huwa wanashinda kwa Wizi ila si kura za wanachi, ni ngumu sana bado.
Utaenda naye wapiMimi niwe mkweli.
Sina chama! Ila ukiniuliza kuhusu Chadema; kiukweli namkubali Lissu tu. Atakapo pita Lissu mimi nitaenda naye!
Tuwekeeni hayo mabango tuyaone, vinginevyo ni porojo tu, magufuli aliyapiga marufuku wakamwita dikteta uchwara, leo wamewekewa wanasema wanahadaliwa nawasiwasi tunasumbuka na mgonjwaMniunganishe kwenye kesi, hapa Samia anatutapeli. Nampa siku 2 ashushe hayo mabango
Kuna lipi jipya walifanya kwenye majimbo yao?Mimi ninacho Amini kama CHADEMA itapata nafasi ya kuchukua nchi kutakuwa na mabadiliko makubwa sana. Na watafanya kazi kwa damu na Jasho ili kuaminisha Watanzania kwamba miaka hiyo yote 60 kwamba chama kilichokuwa kinaongoza si sahihi.
Lakini Kwa sababu CCM huwa wanashinda kwa Wizi ila si kura za wanachi, ni ngumu sana bado.
Lissu kawehuka.Kimenuka!
itachukua muda sana kwasababu wakiingia hawatajali wananchi, itabidi kwanza wajitengenezee wao kila nyanja alafu wanachi ndio watafuata sasa unahisi wataacha kujiangalia wao ?. WOTE WALE WALE TU, imeshandikw ivyo mpka mwisho wa ulimwengu.Mimi ninacho Amini kama CHADEMA itapata nafasi ya kuchukua nchi kutakuwa na mabadiliko makubwa sana. Na watafanya kazi kwa damu na Jasho ili kuaminisha Watanzania kwamba miaka hiyo yote 60 kwamba chama kilichokuwa kinaongoza si sahihi.
Lakini Kwa sababu CCM huwa wanashinda kwa Wizi ila si kura za wanachi, ni ngumu sana bado.
Kwani Chadema wanaandamania nini? Picha au nini?Akizungumza na wananchi wa Iringa, leo Mei 2, 2024, Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema Rais Samia anatumia picha za viongozi waandamizi wa Chama chake akiwemo yeye kuweka mabango nchi nzima ili aoneshe kuwa wao na yeye wapo sawa, kitu ambacho mwanasiasa huyu amekikataa hadharani.
"Hatujamruhusu yeye kufanya matangazo ya picha zetu namna hiyo na kufaidika kiasiasa kwa kuwaaminisha watanzania kwamba yeye hana shida na sisi, ana shida kubwa na sisi ndiyo maana tunaandamana" amesema Lissu.
Amesema mojawapo ya ajenda za kikao cha kamati kuu kitakachoketi hivi karibuni ni kumtaka ayatoe mabango hayo, la sivyo watamshtaki kwa kesi ya Madai na si Jinai kwani upande huo Rais Samia ni saizi yao.
"Rais huwa hashtakiwi kwenye Jinai, kwenye madai, aaaah saizi yetu" Lissu.
Kuliko kamanda wa kanda maalum da.Dah!Ila Lissu anapenda kesi!Munyampaa Lissu!
Mke wa nani?. Acheni kujificha kwenye jinsia. Hapo anasemwa Kama Rais na sio Mke wa mtu au mama Abdul.Wakat mwingine NI aibu kundi zima la wanaume kupambana na mke wa mtu.
Punguza stress mkuu. Unaonekana una msongo wa mawazo. Yani punguza Sana mawazo.chadema + ccm nyinyi nyote kenge maji tu, cdm hata mkipewa nchi mtakuwa kama ccm tu wabinafsi na kuangalia familia zenu.
sawa mkuu nimekuelewa😂Punguza stress mkuu. Unaonekana una msongo wa mawazo. Yani punguza Sana mawazo.
Punguza kuropoka. Usijifanye Nabii kwa vitu usivyovijua. Ukiulizwa kesho yako itakuwaje unajua?. Ila ya CHADEMA unayajua. Punguza unafiki.itachukua muda sana kwasababu wakiingia hawatajali wananchi, itabidi kwanza wajitengenezee wao kila nyanja alafu wanachi ndio watafuata sasa unahisi wataacha kujiangalia wao ?. WOTE WALE WALE TU, imeshandikw ivyo mpka mwisho wa ulimwengu.
Nenda stendi ya Magufuli utaliona Bango kubwa la Samia na Viongozi wa CHADEMA, halafu njoo stendi ya Nyegezi Mwanza utaona Bango kubwa la hivyo.Tuwekeeni hayo mabango tuyaone, vinginevyo ni porojo tu, magufuli aliyapiga marufuku wakamwita dikteta uchwara, leo wamewekewa wanasema wanahadaliwa nawasiwasi tunasumbuka na mgonjwa
Huwezi kuona maana mazuri yalishaharibiwa na chawa wa CCM wanaojiita wabunge.Kuna lipi jipya walifanya kwenye majimbo yao?
Sio wewe ndio umewehuka.Lissu kawehuka.