sengobad JF-Expert Member Joined Aug 13, 2017 Posts 9,008 Reaction score 8,788 May 2, 2024 #61 christeve88 said: Kuna lipi jipya walifanya kwenye majimbo yao? Click to expand... Anayefanya kazi ni serikali sio chama, na yapo majimbo yanaongozwa ccm toka uhuru mpaka leo lakn wananchi wake bado wana-share maji na Ng'ombe.
christeve88 said: Kuna lipi jipya walifanya kwenye majimbo yao? Click to expand... Anayefanya kazi ni serikali sio chama, na yapo majimbo yanaongozwa ccm toka uhuru mpaka leo lakn wananchi wake bado wana-share maji na Ng'ombe.
Erythrocyte JF-Expert Member Joined Nov 6, 2012 Posts 128,308 Reaction score 245,426 May 3, 2024 #62 OKW BOBAN SUNZU said: Mniunganishe kwenye kesi, hapa Samia anatutapeli. Nampa siku 2 ashushe hayo mabango Click to expand... Naunga mkono hoja
OKW BOBAN SUNZU said: Mniunganishe kwenye kesi, hapa Samia anatutapeli. Nampa siku 2 ashushe hayo mabango Click to expand... Naunga mkono hoja
B Bigstone JF-Expert Member Joined Jan 16, 2023 Posts 1,433 Reaction score 2,079 May 3, 2024 #63 NALIA NGWENA said: Ila huyu mwamba ni chuma kweli kweli Click to expand... Kafirisika kisiasa huyo! Hivi kweli mapichapicha yanazuia maendeleo ya watu? Yaani hiyo iwe ajenda ya kikao cha kamati kuu,kweli???
NALIA NGWENA said: Ila huyu mwamba ni chuma kweli kweli Click to expand... Kafirisika kisiasa huyo! Hivi kweli mapichapicha yanazuia maendeleo ya watu? Yaani hiyo iwe ajenda ya kikao cha kamati kuu,kweli???
900 Itapendeza zaidi JF-Expert Member Joined Nov 19, 2017 Posts 7,704 Reaction score 9,186 May 3, 2024 #64 Moisemusajiografii said: Dah!Ila Lissu anapenda kesi!Munyampaa Lissu! Click to expand... haki hupiganiwa haiombwi
Moisemusajiografii said: Dah!Ila Lissu anapenda kesi!Munyampaa Lissu! Click to expand... haki hupiganiwa haiombwi
900 Itapendeza zaidi JF-Expert Member Joined Nov 19, 2017 Posts 7,704 Reaction score 9,186 May 3, 2024 #65 Orketeemi said: Wakat mwingine NI aibu kundi zima la wanaume kupambana na mke wa mtu. Click to expand... mke wa mtu ake nyumbani na mume wake akitoka nje atakutana na wanaume za watu
Orketeemi said: Wakat mwingine NI aibu kundi zima la wanaume kupambana na mke wa mtu. Click to expand... mke wa mtu ake nyumbani na mume wake akitoka nje atakutana na wanaume za watu
900 Itapendeza zaidi JF-Expert Member Joined Nov 19, 2017 Posts 7,704 Reaction score 9,186 May 3, 2024 #66 Bigstone said: Kafirisika kisiasa huyo! Hivi kweli mapichapicha yanazuia maendeleo ya watu? Yaani hiyo iwe ajenda ya kikao cha kamati kuu,kweli??? Click to expand... muulize makonda kuhusu picha huko arusha kamuweka mtu ndani bila dhamana
Bigstone said: Kafirisika kisiasa huyo! Hivi kweli mapichapicha yanazuia maendeleo ya watu? Yaani hiyo iwe ajenda ya kikao cha kamati kuu,kweli??? Click to expand... muulize makonda kuhusu picha huko arusha kamuweka mtu ndani bila dhamana
R Rabbon JF-Expert Member Joined Apr 16, 2022 Posts 21,625 Reaction score 33,688 May 29, 2024 #67 Dhamira hii imeishia wapi?
Aventus JF-Expert Member Joined Mar 8, 2013 Posts 2,011 Reaction score 2,168 Jun 8, 2024 #69 Mbona kuna bango nimemwona mzee wa konyagi ndogo na mnyika kifua mbele wameweka pozi mbele ya meza kuu wapigwe picha..walamba asali bana
Mbona kuna bango nimemwona mzee wa konyagi ndogo na mnyika kifua mbele wameweka pozi mbele ya meza kuu wapigwe picha..walamba asali bana