Pre GE2025 Tundu Lissu: Rais Samia anatumia picha zetu kujinufaisha kisiasa, tunamtaka ashushe mabango yote la sivyo tutamshtaki Mahakamani

Pre GE2025 Tundu Lissu: Rais Samia anatumia picha zetu kujinufaisha kisiasa, tunamtaka ashushe mabango yote la sivyo tutamshtaki Mahakamani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
IMG_7506.jpeg
 
Mbona kuna bango nimemwona mzee wa konyagi ndogo na mnyika kifua mbele wameweka pozi mbele ya meza kuu wapigwe picha..walamba asali bana
 
Back
Top Bottom