pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Tunaanza kuyaona maisha katika mwanga bora, karibu sana komredi Lissu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tume huru sio kikwazo kwa jamii ikiamuaHakuna tume huru ya uchaguzi.
Ni undava undava tu kwanza ccm ndio tumez
Huyo jamaa anayeogopa hadi bendera ndo ataweza masumbwi?Eti tume huru! Kwani tume ndo inapiga kura? Nyie hazimo kabisa! Huyo mhanga utampambanisha na JPM? Hizo hela za kampeni CHADEMA kajengee ofisi
Eti tume huru! Kwani tume ndo inapiga kura? Nyie hazimo kabisa! Huyo mhanga utampambanisha na JPM? Hizo hela za kampeni CHADEMA kajengee ofisi
Nimeandika mawazo yangu, yakwako ningeyajuaje!?Ungeandika Lisu vs Zito maana muungano wao hauna dalili na atakua nawabunge kuzidi mwenzie
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kuna mpango wa kuunda tume huru mwaka huu? Hicho kitu hakipoKama ni kweli, Rais Magufuli hatakubali Tume huru ya uchaguzi iundwe kabla ya uchaguzi mkuu!
Mwenye maamuzi ni mpiga kura. Akihesuimiwa nchi itaheshimika.Watu wengi tulidhani Magufuli angekuwa rais bora, kutokana na uchapa kazi na misimamo yake. Sasa hivi nimejifunza, watu wenye misimamo mikali hawafai kuwa ma Rais, ni watu wenye viburi, kujiamini kuliko pitiliza na wasio penda kusikiliza watu wengine. Tundu Lissu hana tofauti na Magufuli, tabia zao zinafanana sana. Tindu Lisu hafai kuwa Rais.
Mwambie huku kitaa wananchi wamampenda mpaka wanaumwa, wataka tume huru tu kuhesabu na kutamgaza mafuriko ya kura atakazopata!
Wewe huamini!? Kwa nini!?Wewe unaamini hata kama kuna tume huru Chadema anaweza akashinda?
KILA SIKU UNASEMA HIVYO ONYESHA MFANO NENDA FRONT UKADAI WEWETume huru haziletwi zinapiganiwa .
You might be a witch doctor! Such feelings are very rare among people who don't practice witchcraft!I feel guys you have PSTD you all need treatment.
Please seek help.
Hivi kuna tofauti gani kati ya mwehu na kichaa!? Mi naona ngoma droo, tuvute subira tuone nani zaidi kati ya kichaa na mwehu!Acha kumfananisha Magufuli na mwehu wenu hyo
Kwani uzi unasema Lissu atashinda!? Mbona hofu bila sababu! Relax! Mshindi ni kipenzi cha Watanzania, na nyenzo za ushindi zimo mikononi mwake!Ndoto za mchana. Wahenga wanasema kama mrema alishindwa hawadhani kama itawezekana tena
Sent from my iPhone using JamiiForums