RockCarnegie
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 963
- 1,927
- Thread starter
- #41
Kama vichaa wanaweza si bora mwehu!Tanzania haitoweza kutawaliwa na Rais mwehu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama vichaa wanaweza si bora mwehu!Tanzania haitoweza kutawaliwa na Rais mwehu
Of course mtu sahihi mbele ya mshika bunduki ni Tundu Lissu tu.View attachment 1311781
Kama ni kweli, Rais Magufuli hatakubali Tume huru ya uchaguzi iundwe kabla ya uchaguzi mkuu!
2020 mliona kama vile ni mbali sana eeh?? Sasa zimefika TL ana ulinzi wote 100% kutoka kwa mabeberu wanaopenda haki Akirogwa tu akamgusa basi hesabu mwisho wa JPM kuninginia kwenye kambaEti tume huru! Kwani tume ndo inapiga kura? Nyie hazimo kabisa! Huyo mhanga utampambanisha na JPM? Hizo hela za kampeni CHADEMA kajengee ofisi
Acha uongo kwani Zitto ndio kamwambia Lissu agombee
Pohamba nae bwana kujifanya intelijensi ya siasaUsipojua ukweli wa jambo huwezi kujua uwongo kuhusu jambo hilo
Kwa nguvu ya policcm atashinda maana 2015 hakushinda ndio maana katutawala kama mbogo anaujua ukweli bila Lubuva, Tiss asahau kushindaYaani Mh JPM atashinda kweupe kabisa CHADEMA si wakupewa nchi hata kwa sekunde 3 tu.
Pohamba nae bwana kujifanya intelijensi ya siasa
Kwamba watu hawawezi kumpa kura au system haitakubali apewe ushindi ?!Hawajui hawa hii nchi ikoje, asahau kushinda urais, bado ngoma nzito
Hawajui hawa hii nchi ikoje, asahau kushinda urais, bado ngoma nzito
Kabisa.Watu wengi tulidhani Magufuli angekuwa rais bora, kutokana na uchapa kazi na misimamo yake. Sasa hivi nimejifunza, watu wenye misimamo mikali hawafai kuwa ma Rais, ni watu wenye viburi, kujiamini kuliko pitiliza na wasio penda kusikiliza watu wengine. Tundu Lissu hana tofauti na Magufuli, tabia zao zinafanana sana. Tindu Lisu hafai kuwa Rais.
Itawezekana lakini sidhani kama atakuwa Lissu, uwezekano mdogo sana 0.00000112% kwa Lissu kumshinda Magufuli.Ndoto za mchana. Wahenga wanasema kama mrema alishindwa hawadhani kama itawezekana tena
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ccm wanaoamini kushinda uchaguzi, mbona hawaitaki tume huru ya uchaguzi ?!Wewe unaamini hata kama kuna tume huru Chadema anaweza akashinda?
Hayo ndio maneno yenu yaani nyie ni kama mfa maji haachi kutapa tapa sasa si mngeenda mahakani kushaki ai ushind wenu ni wa kwenye mitandao hukuKwa nguvu ya policcm atashinda maana 2015 hakushinda ndio maana katutawala kama mbogo anaujua ukweli bila Lubuva, Tiss asahau kushinda