Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo wanadhani kushida uchaguzi ni sawa na kushinda kijiweniHuwa mnafarijiana tu ila hali ilivyo hata kule kuota tu kuwa Lisu kashinda ni dalili za ukichaa.
Huwa hata sielewi mnaishi Tanzania ipi hiyo ya kufikirika!!
Wenyewe wanataka majimbo yote yarudi nyie mnaota urais?
Hayo ndio maneno yenu yaani nyie ni kama mfa maji haachi kutapa tapa sasa si mngeenda mahakani kushaki ai ushind wenu ni wa kwenye mitandao huku
Wewe ulipouguliwa na mtalaka wako huko mbeya mbona ccm hawakukuwezesha kufika mbeya, badala yake ukaja hapa jukwaani unajiliza liza kama jinga flani kuomba michango ya kukuwezesha kufika mbeya. Shwaini
Jinga kabisa, mbona aliyepo ni kichaa kabisaTanzania haitoweza kutawaliwa na Rais mwehu
Kwan hii iliyopo sio huru? Na ingekuwa sio huru hao wabunge wa upinzani wamepitaje pitaje kama tume si huru?? Uzeni sera zenu acheni porojo na uongo uongo
Tanzania haiwezi kuongozwa na Msaliti wa nchi. Tundu Lissu asahau kuwa Rais wa nchi iitwayo Tanzania fullstop!Kwanini sadist dictator anamuogopa Tundu Lissu?
TANZANIA DAIMAView attachment 1311781
Kama ni kweli, Rais Magufuli hatakubali Tume huru ya uchaguzi iundwe kabla ya uchaguzi mkuu!
Kwan hii iliyopo sio huru? Na ingekuwa sio huru hao wabunge wa upinzani wamepitaje pitaje kama tume si huru?? Uzeni sera zenu acheni porojo na uongo uongo
Hahahaaa urais wa kupora umemtesa sana Jpm kuliko raie mwingine yeyote tangu kupata uhuruHayo ndio maneno yenu yaani nyie ni kama mfa maji haachi kutapa tapa sasa si mngeenda mahakani kushaki ai ushind wenu ni wa kwenye mitandao huku
Vija wareaMwajifya kwa kinyaturu asanten
Areee muhumbaMwajifya kwa kinyaturu asanten
Yooo ngwii mwefooo naVija warea
Sawa, lakini hujataja unayemwona ana sifa hizo unazotaka wewe!Watu wengi tulidhani Magufuli angekuwa rais bora, kutokana na uchapa kazi na misimamo yake. Sasa hivi nimejifunza, watu wenye misimamo mikali hawafai kuwa ma Rais, ni watu wenye viburi, kujiamini kuliko pitiliza na wasio penda kusikiliza watu wengine. Tundu Lissu hana tofauti na Magufuli, tabia zao zinafanana sana. Tindu Lisu hafai kuwa Rais.
Waachie wenye chama wewe huhusiki.Aache upuuzi yaani amekubali kusacrifice Jimbo lake? Au chadema wamemuahidi kumlipa marupurupu na mshahara wa mbunge Kama alivopewa Dr slaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Anakuja ndiyo maana Chadema wameanza kumtambulisha kwa Wananchi.Itawezekana lakini sidhani kama atakuwa Lissu, uwezekano mdogo sana 0.00000112% kwa Lissu kumshinda Magufuli.
Kwanza siamini kama atarudi kuja kugombea kipindi hiki cha Magufuli, labda agombee akiwa ughaibuni akishinda ndipo arudi kuongoza nchi.
Itawezekana lakini sidhani kama atakuwa Lissu, uwezekano mdogo sana 0.00000112% kwa Lissu kumshinda Magufuli.
Kwanza siamini kama atarudi kuja kugombea kipindi hiki cha Magufuli, labda agombee akiwa ughaibuni akishinda ndipo arudi kuongoza nchi.
Ila ujue Lissu ndiyo mgombea urais kupitia Chadema.Huwa mnafarijiana tu ila hali ilivyo hata kule kuota tu kuwa Lisu kashinda ni dalili za ukichaa.
Huwa hata sielewi mnaishi Tanzania ipi hiyo ya kufikirika!!
Wenyewe wanataka majimbo yote yarudi nyie mnaota urais?