Uchaguzi 2020 Tundu Lissu rasmi kupambana na Rais Magufuli

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu rasmi kupambana na Rais Magufuli

Labda kama ni uraisa wa ubelgiji
Fomu ya chadema tu amejaza akiwa kenya
Fomu ya urais wa Tanzania kwa mujibu wa sheria ni lazima mgombea achukue na kuirudisha mwenyewe
Sasa kuchukua form na kuirudisha kuna tatizo? Lissu atarudisha form atalindwa na FBI 24/7 with High Tech surveillance,Full loaded,Bullet proof car na clothes,Arms Detectors etc
 
Labda kama ni uraisa wa ubelgiji
Fomu ya chadema tu amejaza akiwa kenya
Fomu ya urais wa Tanzania kwa mujibu wa sheria ni lazima mgombea achukue na kuirudisha mwenyewe
Wewe ndiyo utamuzuia kuja nchini!? Au unakesha ukiomba asije ili Magufuli apunguze presha za kushindwa uchaguzi mkuu! Maana inaonyesha mpaka wafuasi wake hofu imewazidia!
 
Kwa busara na hekima hizi bifu za viongozi hawa wawili zilipofikia naona ni vyema Lissu akatulia kwanza kwa sababu haiwezekani Lissu akawa hana roho ya kulipiza kisasi kwa yale yaliyomtokea hasa ukizingatia hadi hivi sasa hakuna uchunguzi wowote uliofanywa na serikali katika kuwabaini watu waliofanya uovu ule kwa Lissu.

Ni marehemu Nelson Mandela tu ndio aliweza kutoka jela baada ya miaka 27 na kusema hadharani kuwa amewasamehe waliomfunga na kumtesa, hawa ni watu wa aina ya kipekee sana kuwahi kutokea hapa duniani bila shaka Yesu akibaki kuwa ndio kubwa lao.

Tunapenda mabadililiko ya kisiasa lakini sio katika misingi ya visasi, tungependa tupate mabadiliko ambayo yatazaa mazingira chanya kwa watanzania wote na kubaki na amani yetu iliyoasisiwa na mababu zetu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
... you sound like your beloved TL has now become a 'Manchurian Candidate', wonders never cease in the mwalimu's land...
Sasa kuchukua form na kuirudisha kuna tatizo? Lissu atarudisha form atalindwa na FBI 24/7 with High Tech surveillance,Full loaded,Bullet proof car na clothes,Arms Detectors etc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa busara na hekima hizi bifu za viongozi hawa wawili zilipofikia naona ni vyema Lissu akatulia kwanza kwa sababu haiwezekani Lissu akawa hana roho ya kulipiza kisasi kwa yale yaliyomtokea hasa ukizingatia hadi hivi sasa hakuna uchunguzi wowote uliofanywa na serikali katika kuwabaini watu waliofanya uovu ule kwa Lissu.

Ni marehemu Nelson Mandela tu ndio aliweza kutoka jela baada ya miaka 27 na kusema hadharani kuwa amewasamehe waliomfunga na kumtesa, hawa ni watu wa aina ya kipekee sana kuwahi kutokea hapa duniani bila shaka Yesu akibaki kuwa ndio kubwa lao.

Tunapenda mabadililiko ya kisiasa lakini sio katika misingi ya visasi, tungependa tupate mabadiliko ambayo yatazaa mazingira chanya kwa watanzania wote na kubaki na amani yetu iliyoasisiwa na mababu zetu.


Sent using Jamii Forums mobile app
'No hate no fear'! Hii ni kauli kutoka kwa watu wanaoumizwa na utawala wa Magufuli!
Hofu ya kuwapo chuki kutoka kwa Tundu Lissu na Chadema dhidi ya Magufuli na CCM hazina msingi!
Mpambano tunaoutarajia ni wa kujenga hoja na kushawishi wananchi! Hofu ni kwa CCM ambayo mgombea wake JPM hana uwezo wa kujenga hoja amejiaminisha katika matumizi ya mabavu!
Hoja ya uchunguzi wa mashambulizi dhidi ya kutofanyika ni jukumu la dola kutimiza wajibu wake! Kwa sasa ni je Magufuli atafurukuta mbele ya Lissu assuming Tume yetu ya uchaguzi ifanye kazi bila Magufuli kiweka mizengwe!
 
Tunamsubiri Msariti wa nchi kama kweli atakuja ndg lisu safari hii tunampopoa kwa mawee
 
Tunamsubiri Msariti wa nchi kama kweli atakuja ndg lisu safari hii tunampopoa kwa mawee
Amekusaliti nini!!
Propaganda za chuki dhidi ya TL Watanzania wameshazing'amua! Mawe mtakayobeba dhidi ya TL yatawaangamiza wenyewe!
 
Tume huru haziletwi zinapiganiwa .
Sasa tunapigania kipi hapo, Tume huru au Uhuru wenyewe?? Hivi hiyo tume huru huchukua siku ngapi kupatikana?? Wiki? Mwezi? Mwaka? Maana nadhani siku zimekwisha hakuna tena muda wa kuipata.
Miaka mingine 5 ya mkulu nadhani nchi itakuwa ishanyooka hadi kupinda
 
Sasa tunapigania kipi hapo, Tume huru au Uhuru wenyewe?? Hivi hiyo tume huru huchukua siku ngapi kupatikana?? Wiki? Mwezi? Mwaka? Maana nadhani siku zimekwisha hakuna tena muda wa kuipata.
Miaka mingine 5 ya mkulu nadhani nchi itakuwa ishanyooka hadi kupinda
Uhuru ni neno pana, inategemea unataka kumaanisha nini! Uhuru wa Tanganyika (Tanzania) ulipatikana mwaka 1961. Kabla ya hapo Tanganyika ilitawaliwa kimabavu na wakoloni, ambao ni Wajerumani na baadaye waingereza!
Swali je, ndani ya Tanzania huru wananchi wake wanaishi kwa uhuru kama walivyokubaliana katika Katiba na sheria walizojiwekea!? Uhuru wa kutoa maoni, uhuru wa kupata na kutoa habari, uhuru wa kuabudu, uhuru wa kuchagua na kuchaguliwa katika chaguzi n.k!
Pia uhuru tunaungalia katika vyombo vya kusimamia na kutoa haki, mfano mihimili ya Mahakama na Bunge inafanyakazi kwa uhuru kama katiba,sheria na kanuni zake zinavyotaka!?
Hapa ndipo suala la Tume ya Uchaguzi inakuja! Kwa kuwa uchaguzi unahusisha wadau mbalimbali, wenye misimamo tofauti ambao kazi yao nikuwashawishi wananchi ili wawachague ili wawe viongozi wao, swali ni je, viongozi Tume wanapatikanaje, wanaaminika na wananchi kuwa wanaweza kusimamia chaguzi bila upendeleo!?
Kwa asili binadamu ni mbinafsi na ni mchoyo (selfish and greedy), ndiyo maana unasikia kauli kuwa, "haiwezekani nikuteue na mshahara nikulipe halafu umtangaze mpinzani". Kwa maana nyingine kiongozi anayetoa kauli hiyo, anawaamrisha wampendelee hata kama wananchi wanaona hafai kuemdelea kuwaongoza!
Je muda ni mfupi haitoshi kuwa na tume huru!? Hapana, kwani inachukua mda gani kubadili shetia na kanuni ili kukidhi madai ya Tume huru!? Tatizo ni hofu ya walio madarakanani, kuwa wakiridhia mchakatato wa uchaguzi uwe wa wazi, yawezekana wakatupwa nje ya uongozi wa nchi! Na kwa wanasiasa hiyo ndiyo ajira yao!
Kwa hiyo, Tume isiyo huru ni nyenzo ya kuwarejesha madarakani viongozi tulio nao hata kama hawakubaliki! Hii ni hulka ya asili ya wanadamu ya ubinafsi na uchoyo ambayo viongozi wengi wameshindwa kuidhibiti hata hufikia kuwa wakatili wa kutisha dhidi ya wanadamu wengine ili waendelee kusalia madarakani!
Wasalimie!
 
Watu wengi tulidhani Magufuli angekuwa rais bora, kutokana na uchapa kazi na misimamo yake. Sasa hivi nimejifunza, watu wenye misimamo mikali hawafai kuwa ma Rais, ni watu wenye viburi, kujiamini kuliko pitiliza na wasio penda kusikiliza watu wengine. Tundu Lissu hana tofauti na Magufuli, tabia zao zinafanana sana. Tindu Lisu hafai kuwa Rais.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwa kulipa kisasi angefaa Sana awe rais ili na wengine waonje joto la jiwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom