Tundu Lissu rudi nyumbani, Rais Magufuli yupo tayari kutimiza ahadi yake

Tundu Lissu rudi nyumbani, Rais Magufuli yupo tayari kutimiza ahadi yake

Mkuu, wakati mwingine msamaha unaweza kuombwa hata kama hujui aliyefanya kosa, ili mradi kosa limefanyika katika mazingira yanayotuzunguka. Na ndio maana nikasema hayo
Sawa kabisa. Uko sahihi Robert. "Ila" tatizo linaanzia pale unapojifanya kama vile kosa halikufanyika au huna uhakika na kosa wakati uliona mpaka matone ya damu yakidondoka. Ndomaana nikasema hivi, tatizo sio wewe Robert ila tatizo ni "Unafiki" unaotufanya tuone mtu fulani hana haki kisa tu mrengo wake. Mungu yupo lakino.
 
Vita vya kuwania teuzi. Em tuone na mkubwa Pasko manjaa atakuja na uzi gani.
 
Sawa kabisa. Uko sahihi Robert. "Ila" tatizo linaanzia pale unapojifanya kama vile kosa halikufanyika au huna uhakika na kosa wakati uliona mpaka matone ya damu yakidondoka. Ndomaana nikasema hivi, tatizo sio wewe Robert ila tatizo ni "Unafiki" unaotufanya tuone mtu fulani hana haki kisa tu mrengo wake. Mungu yupo lakino.

Sijaona kosa wapi Mkuu.
Kosa nimeliona ndio maana nimeomba msamaha, msamaha huombwa baada ya kosa kufanyikwa, msamaha huombwa hata kama hujafanya kosa lakini mwingine kafanya, msamaha ni matokeo ya kufanyika kwa makosa.

Ninaposema, 'ikiwa ni hivyo ilivyo" au "ikiwa ni vile ilivyo" ninalenga kuwa kulingana na mtazamo na makisio ya Lisu kwamba anachodhani kinaweza kuwa kweli au kisiwe kweli, lakini haiondoi maana kwamba hakupigwa/hakukosewa lakini nani aliyefanya hapo ndipo sentensi yangu imejikita. Inaweza kuwa "ikiwa hivyo" anavyodhani Lisu, au "ikiwa vile ilivyo" tofauti na anachodhani yeye. Ila maadamu kosa limefanyika ndio maana kwa niaba nimeomba msamaha lengo ni upatanishi.

Mimi sijafunzwa unafiki, sijawahi kuwa hivyo na sitakuja kuwa hivyo
 
Vita vya kuwania teuzi. Em tuone na mkubwa Pasko manjaa atakuja na uzi gani.

Hahahaha!

Mkuu nilishaandikaga humu kuwa mimi siwezi Teuzi wala siwezi kujiunga na chama chochote kwa sababu siwezi kusema uongo, sio mnafiki, atakayeniteua atakubaliana na sharti hilo kwanza, la kuambiwa ukweli,
 
Heading ilivyo nadhani were ni sehemu ya washauri Wa Rais, umesema rais yuko tayari kutimiza ahadi yake! Una uhakika? Lakini katika ktk maelezo, unaomba Rais amsamehe Na ampe kazi aliyomuahidi
Unatuchanganya!
 
Nimegundua kwamba ndani ya mioyo ya Watanzania kuna chuki kubwa sana. Hata kufukuza mbu anayemng'ata mwenzako huoni sababu kisa tu sio wewe unangwata. Ila nahisi tutafika

Mtu haoni tija ya mwenzake ndio maana haoni shida kumuua, kumdhulumu, kumfanyia lolote baya, ndio tafsiri yake hapo.

Yeye mwenye tija, atuambie ni ipi tija yake sasa ikiwa haoni ya mwenzake
 
Heading ilivyo nadhani were ni sehemu ya washauri Wa Rais, umesema rais yuko tayari kutimiza ahadi yake! Una uhakika? Lakini katika ktk maelezo, unaomba Rais amsamehe Na ampe kazi aliyomuahidi
Unatuchanganya!

Ndio wasameheane.
Yapo mambo ambayo nina uhakika Lisu alikuwa anambughudhi Jpm, hata kwenye kampeni tulikuwa tunasikia,
Na pia yapo mambo ambayo nina uhakika jpm alikuwa akimuudhi Lisu.

Kuudhiana kupo na ndio maana kuna misamaha.

Yesu anasema; wapendeni adui zenu na waombeeni WANAOWAUDHI
 
Aje ili mumalizie kile kiporo mlichobakiza kule Dodoma. Lissu anazo akili timamu anajua kuwa kurudi hapa ni sawa na kukumbatia jiko la mkaa lililokolea. Wauaji wakubwa nyie.
 
Mtu ametaka mwenyewe kwenda huko basi abaki huko anakoamini Kuna usalama, atarudi huku aanze kelele zake...hatutaki kelele

Kelele zake ndio tija kwa nchi, kila jambo linanafasi yake,
Muhimu namna linavyotumika, wewe kama huoni kelele zake, basi utakuwa hujui ishu za siasa na utawala kwa nafasi kama yake
 
Back
Top Bottom