Tundu Lissu rudi nyumbani, Rais Magufuli yupo tayari kutimiza ahadi yake

Tundu Lissu rudi nyumbani, Rais Magufuli yupo tayari kutimiza ahadi yake

Nakushauri ufahamu siasa sio mchezo wa kugawana vyeo. Kuna misingi CHADEMA inayosimamia katiba mpya, tume huru na uhuru wa watu na maendeeo ya watu.

Je, kwa Tundu kuwa mteue wa Rais kutajibu hoja hizo? fahamu sio kia mtu ana price tag kama wazee wetu wakina Mwaimu Nyerere wakengekuwa kama unavyotaka tusingepata uhuru kazi ya ukombozi wa pii ni ngumu niazima tu kujitoa sana.

Sijasikia popote CCM inataka maridhiano ya kitaifa
 
Nakushauri ufahamu siasa sio mchezo wa kugawana vyeo. Kuna misingi CHADEMA inayosimamia katiba mpya, tume huru na uhuru wa watu na maendeeo ya watu .Je kwa Tundu kuwa mteue wa Rais kutajibu hoja hizo ? fahamu sio kia mtu ana price tag kama wazee wetu wakina MwaimuNyerere wakengekuwa kama unavyotaka tusingepata uhuru kazi ya ukombozi wa pii ni ngumu niazima tu kujitoa sana .Sijasikia popote CCM inataka maridhiano ya kitaifa

Siasa ni zaidi ya Katiba za chama au nchi.

Ilani ya Chadema unakumbuka ilikuwa inasemaje?

Huu uzi huoni kama ni moja ya nyuzi zinazotaka maridhiano? Au mpaka Taikon awe chama fulani cha siasa ndio uzi huu utaitwa wa uzi wa maridhiano?
 
Asirudi kabisa,achilia mbali kupewa uteuzi.atauza nchi yetu yule kiumbe,kwanza anaroho ya usaliti.
 
Ahadi yake ya kumpiga shaba na kumzika siku hio hio.

Hiko cheo kapewe wewe itatpsha.

Mnajipendekeza sana mmesahau kuwa teuzi zimekwisha
 
Lissu hata kesho anarudi anachotaka kujua je ni nani aliyetaka kumuua ile siku? na Je uchuguzi umefikia wapi ili kuwatia mbaroni wote waliohusika? Je sasa Serikali ipo tayari kutoa ulinzi kwake?
 
Robert usijidiai unajua sana kuiko Yesu Kristo, Yesu Kristo aipozaiwa aikimbizwa Misri akaa huko hadi Herode aiyekuwa anamtafuta amuue aipokufa ndipo Mungu akaruhusu kurudi Israe, kama ingekuwa hivyo rahisi Yesu angerudi kwa Herode akasema nimerudi nisamehe niikwenda Misri.

Mungu aipoweka nchi za uhamishoni aijua yote haya Tundu kwenda uhamishoni ni Kibibia kabisa kama Yesu aivyoishi uhamishoni hadi Herode aiipokufa tena akaenda kuishi Nazareth siyo Bethememu ya Uyahudi.
 
Sharti la hile ahadi si ilikuwa kujitoa kwenye kinyang'anilo?
 
Back
Top Bottom