Tundu Lissu, Salim Mwalimu na Margit Hellwig-Boette, Wakutana Botswana

Tundu Lissu, Salim Mwalimu na Margit Hellwig-Boette, Wakutana Botswana

View attachment 2003011

Pichani ni Mh Tundu Lissu ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema akiteta jambo na Balozi wa Ujerumani nchini Botswana , Katika Mkutano wa Kimataifa unaohusu UCHAGUZI AFRIKA Mjini Gaborone unaofanyika leo tarehe 8/11/1021 , anayeshuhudia mazungumzo hayo pembeni ni Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Zanzibar , Salum Mwalimu.

Lissu alikuwa Mgombea Urais wa Chadema 2020 , huku Mwalimu akiwa mgombea mwenza
AKAMSALIMIE MWENZIE ANAYENYEA DEBE HUKO SEGERA BASI ASIMSUSE
 
MBOWE hawezi kushinda hii kesi, mama alishaitolea hukumu akihojiwa na BBC SWAHILI
Bujibuji, Rais hajawahi popote kutoa hukumu dhidi ya Mbowe. Au alimhukumu nani unamjua ktk hii kesi? Nilishangaa hata mawakili wa Mbowe kudai hivi tena mahakamani. Ni uthibitisho upi wa kisheria?
 
Salaam Wakuu

View attachment 2003007
Balozi wa Ujerumani Nchini Botswana Margit Hellwig-Boette leo Nov. 08, 2021 akiteta na Makamu Mwenyekiti na Mgombea Urais wa 2020 Tundu Lissu na Salim Mwalimu, Naibu Katibu Mkuu Zanzibar na Mgombea Mwenza wa Lissu wakati wa mkutano wa Kimataifa unaohusu Uchaguzi Afrika unaoendelea Gaborone, Botswana.

MY TAKE:
Je, Lissu atapita Segerea Kumtembelea Mwenyekiti wake Mbowe na kumpa nondo za Kisheria au ndo anamuacha ateketee huku anamuona?
Ateketee !nani anamteketeza?
Ma ccm mna mambo,nenda kasikilize hotuba ya Aman Karume kwenye kongamano la kumbukizi ya Maaalim Seif Hamad,utajua ccm ilivyo ya hovyo.
 
Salaam Wakuu

View attachment 2003007
Balozi wa Ujerumani Nchini Botswana Margit Hellwig-Boette leo Nov. 08, 2021 akiteta na Makamu Mwenyekiti na Mgombea Urais wa 2020 Tundu Lissu na Salim Mwalimu, Naibu Katibu Mkuu Zanzibar na Mgombea Mwenza wa Lissu wakati wa mkutano wa Kimataifa unaohusu Uchaguzi Afrika unaoendelea Gaborone, Botswana.

MY TAKE:
Je, Lissu atapita Segerea Kumtembelea Mwenyekiti wake Mbowe na kumpa nondo za Kisheria au ndo anamuacha ateketee huku anamuona?
Huku ndani mawakili Vichwa kule nje mapambano yanaendelea.
 
Hawa wajerumani wanajifanya kimbelembele sana kuwaunga wapinzani wa ccm mkono. Nia ya mabeberu kuvuruga serikali za kimapinduzi na kuweka vibaraka wao kila mahali.
Suburi ni swala la Muda tu. Chadema haina mabomu wala bunduki. Tutawaondoa kwa Mbinu za kidemokrasia bila damu wala maji kumwagika.
 
Salaam Wakuu

View attachment 2003007
Balozi wa Ujerumani Nchini Botswana Margit Hellwig-Boette leo Nov. 08, 2021 akiteta na Makamu Mwenyekiti na Mgombea Urais wa 2020 Tundu Lissu na Salim Mwalimu, Naibu Katibu Mkuu Zanzibar na Mgombea Mwenza wa Lissu wakati wa mkutano wa Kimataifa unaohusu Uchaguzi Afrika unaoendelea Gaborone, Botswana.

MY TAKE:
Je, Lissu atapita Segerea Kumtembelea Mwenyekiti wake Mbowe na kumpa nondo za Kisheria au ndo anamuacha ateketee huku anamuona?
Huyu Mwamba Tundu Lissu hajawahi kuniangusha.
 
Kuna mijitu ilisema ati Lissu anaumwa hoi - haya sasa ipelekeeni habari.
Ipo siku watasikia Lissu alikuwa segerea na hakuna aliyemwona.

Baafa ya kukoswa koswa zile risasi za ibilisi wa Chati ni dhahiri Lissu anaishi kwa roho na mwili.
 
Salaam Wakuu

View attachment 2003007
Balozi wa Ujerumani Nchini Botswana Margit Hellwig-Boette leo Nov. 08, 2021 akiteta na Makamu Mwenyekiti na Mgombea Urais wa 2020 Tundu Lissu na Salim Mwalimu, Naibu Katibu Mkuu Zanzibar na Mgombea Mwenza wa Lissu wakati wa mkutano wa Kimataifa unaohusu Uchaguzi Afrika unaoendelea Gaborone, Botswana.

MY TAKE:
Je, Lissu atapita Segerea Kumtembelea Mwenyekiti wake Mbowe na kumpa nondo za Kisheria au ndo anamuacha ateketee huku anamuona?
Anaesema Ccm ipo tz anajidanganya , Kuna watu ipo siku nyuso zao sijui watazificha wapi
 
Huyo mjerumani ndio wafadhili wakuu wa chadema ndio maana Lissu alitetea ushoga.
Ujanja mwingi ila aliponzwa na hiyo issue ya kuutetea ushoga Tanzania hatuutaki kabisa
 
Back
Top Bottom