Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 9,524
- 13,682
Mungu aling'amua kuwa Magufuli anamkejeli hivyo akaamua kumstaafisha haraka na kumtupa jehanam!Huyu Mungu ndio yule yule mliemkejeli wakati w Magufuli aliposema tuombe kwa ajili ya corona? Mkasema Mungu ana kazi nyingi hawezi kusikiliza wajinga?
Kumbe mkibanwa kwenye kona ndio mnakumbuka uwepo wa Mungu?
Na bado