AKAMSALIMIE MWENZIE ANAYENYEA DEBE HUKO SEGERA BASI ASIMSUSEView attachment 2003011
Pichani ni Mh Tundu Lissu ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema akiteta jambo na Balozi wa Ujerumani nchini Botswana , Katika Mkutano wa Kimataifa unaohusu UCHAGUZI AFRIKA Mjini Gaborone unaofanyika leo tarehe 8/11/1021 , anayeshuhudia mazungumzo hayo pembeni ni Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Zanzibar , Salum Mwalimu.
Lissu alikuwa Mgombea Urais wa Chadema 2020 , huku Mwalimu akiwa mgombea mwenza
We unaamini kuna korona?Aliyesema hakuna Corona, baba yake Corona wala shangazi yake Corona mbona ilimnyakua.
Waliokubali ipo hawajanyakuliwa?Aliyesema hakuna Corona, baba yake Corona wala shangazi yake Corona mbona ilimnyakua.
mungu wa ajabu ni MAGUFULI.huyu ndiye mungu wako uliyekuwa una mwabuduHuyo mungu wako atakuwa mungu wa ajabu sana.
Nani Gaidi?Ila magaidi wana Mungu?
Yes,Magufuli shetani alikufa Kwa Corona.Waliokubali ipo hawajanyakuliwa?
Na una ushahidi kwamba ilimnyakuwa corona?
Bujibuji, Rais hajawahi popote kutoa hukumu dhidi ya Mbowe. Au alimhukumu nani unamjua ktk hii kesi? Nilishangaa hata mawakili wa Mbowe kudai hivi tena mahakamani. Ni uthibitisho upi wa kisheria?MBOWE hawezi kushinda hii kesi, mama alishaitolea hukumu akihojiwa na BBC SWAHILI
Shetan?Yes,Magufuli shetani alikufa Kwa Corona.
Kwani hapa nchini kuna kesi gani ya ugaidi?Nani Gaidi?
Tangu uzaliwe Uliwahi kusikia wapi ugaidi wa laki 6 , ugaidi wa kukata miti Dsm hadi Mbeya ?Ila magaidi wana Mungu?
MtajijuTangu uzaliwe Uliwahi kusikia wapi ugaidi wa laki 6 , ugaidi wa kukata miti Dsm hadi Mbeya ?
Ateketee !nani anamteketeza?Salaam Wakuu
View attachment 2003007
Balozi wa Ujerumani Nchini Botswana Margit Hellwig-Boette leo Nov. 08, 2021 akiteta na Makamu Mwenyekiti na Mgombea Urais wa 2020 Tundu Lissu na Salim Mwalimu, Naibu Katibu Mkuu Zanzibar na Mgombea Mwenza wa Lissu wakati wa mkutano wa Kimataifa unaohusu Uchaguzi Afrika unaoendelea Gaborone, Botswana.
MY TAKE:
Je, Lissu atapita Segerea Kumtembelea Mwenyekiti wake Mbowe na kumpa nondo za Kisheria au ndo anamuacha ateketee huku anamuona?
Huku ndani mawakili Vichwa kule nje mapambano yanaendelea.Salaam Wakuu
View attachment 2003007
Balozi wa Ujerumani Nchini Botswana Margit Hellwig-Boette leo Nov. 08, 2021 akiteta na Makamu Mwenyekiti na Mgombea Urais wa 2020 Tundu Lissu na Salim Mwalimu, Naibu Katibu Mkuu Zanzibar na Mgombea Mwenza wa Lissu wakati wa mkutano wa Kimataifa unaohusu Uchaguzi Afrika unaoendelea Gaborone, Botswana.
MY TAKE:
Je, Lissu atapita Segerea Kumtembelea Mwenyekiti wake Mbowe na kumpa nondo za Kisheria au ndo anamuacha ateketee huku anamuona?
Suburi ni swala la Muda tu. Chadema haina mabomu wala bunduki. Tutawaondoa kwa Mbinu za kidemokrasia bila damu wala maji kumwagika.Hawa wajerumani wanajifanya kimbelembele sana kuwaunga wapinzani wa ccm mkono. Nia ya mabeberu kuvuruga serikali za kimapinduzi na kuweka vibaraka wao kila mahali.
Huyu Mwamba Tundu Lissu hajawahi kuniangusha.Salaam Wakuu
View attachment 2003007
Balozi wa Ujerumani Nchini Botswana Margit Hellwig-Boette leo Nov. 08, 2021 akiteta na Makamu Mwenyekiti na Mgombea Urais wa 2020 Tundu Lissu na Salim Mwalimu, Naibu Katibu Mkuu Zanzibar na Mgombea Mwenza wa Lissu wakati wa mkutano wa Kimataifa unaohusu Uchaguzi Afrika unaoendelea Gaborone, Botswana.
MY TAKE:
Je, Lissu atapita Segerea Kumtembelea Mwenyekiti wake Mbowe na kumpa nondo za Kisheria au ndo anamuacha ateketee huku anamuona?
Ipo siku watasikia Lissu alikuwa segerea na hakuna aliyemwona.Kuna mijitu ilisema ati Lissu anaumwa hoi - haya sasa ipelekeeni habari.
Anaesema Ccm ipo tz anajidanganya , Kuna watu ipo siku nyuso zao sijui watazificha wapiSalaam Wakuu
View attachment 2003007
Balozi wa Ujerumani Nchini Botswana Margit Hellwig-Boette leo Nov. 08, 2021 akiteta na Makamu Mwenyekiti na Mgombea Urais wa 2020 Tundu Lissu na Salim Mwalimu, Naibu Katibu Mkuu Zanzibar na Mgombea Mwenza wa Lissu wakati wa mkutano wa Kimataifa unaohusu Uchaguzi Afrika unaoendelea Gaborone, Botswana.
MY TAKE:
Je, Lissu atapita Segerea Kumtembelea Mwenyekiti wake Mbowe na kumpa nondo za Kisheria au ndo anamuacha ateketee huku anamuona?
Mbona tulitangaziwa betri za kichina aina ya tiger head ziliisha chaji? Au ndo tulidanganywa?Aliyesema hakuna Corona, baba yake Corona wala shangazi yake Corona mbona ilimnyakua.