Tundu Lissu, Salim Mwalimu na Margit Hellwig-Boette, Wakutana Botswana

Huyu Mungu ndio yule yule mliemkejeli wakati w Magufuli aliposema tuombe kwa ajili ya corona? Mkasema Mungu ana kazi nyingi hawezi kusikiliza wajinga?

Kumbe mkibanwa kwenye kona ndio mnakumbuka uwepo wa Mungu?

Na bado
Mungu aling'amua kuwa Magufuli anamkejeli hivyo akaamua kumstaafisha haraka na kumtupa jehanam!
 
Figganiga, huwa nakufikiria kama mtu mwenye busara pamoja na kuwa wewe ni CCM, kumbe I am wrong!
 
Makamanda wanakula per diem hawooo! Balozi zote za mabeberu huwaga zina kamfuko kanaitwa "civic duties" kulipia gharana ndogondogo kama hizi just in case akawa kiongozi mwandamizi shenziland kama wanavyotuitaga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…