Fundi Madirisha
Senior Member
- Jun 30, 2020
- 184
- 988
Mhe Lissu tunajua kabisa kuwa waliokuumiza wako ndani ya Ardhi ya Tanzania hata kama hawapo hai.
Samehe ilimradi wewe ni mzima na Mungu anakulinda kwa gharama zake yeye.
Ulipigwa Risasi, Ukanyimwa pesa za matibabu, ulinyimwa mshahara, Ukanyimwa ubunge wako, Ulinyimwa uhuru wa kuishi nchini mwako,Ukanyimwa na mafao yako.
Kwa hakika Spika Ndugai ameshiriki ubaya huu na ninamtaja moja kwa moja kwa sababu alishiriki kukunyima stahiki zako. Mungu atamwadhibu kwa fimbo yake, wengine wasiojulikana Mungu atabeba roho zao moja baada ya mwingine na kwa ghadhabu kali.
Wewe samehe yote yaliyokukuta. Dua zetu zote bado ziko kwako Mungu anakulinda kwa mapenzi makubwa.
Samehe ilimradi wewe ni mzima na Mungu anakulinda kwa gharama zake yeye.
Ulipigwa Risasi, Ukanyimwa pesa za matibabu, ulinyimwa mshahara, Ukanyimwa ubunge wako, Ulinyimwa uhuru wa kuishi nchini mwako,Ukanyimwa na mafao yako.
Kwa hakika Spika Ndugai ameshiriki ubaya huu na ninamtaja moja kwa moja kwa sababu alishiriki kukunyima stahiki zako. Mungu atamwadhibu kwa fimbo yake, wengine wasiojulikana Mungu atabeba roho zao moja baada ya mwingine na kwa ghadhabu kali.
Wewe samehe yote yaliyokukuta. Dua zetu zote bado ziko kwako Mungu anakulinda kwa mapenzi makubwa.