Tundu Lissu: Samia aliwafutia Elimu, Afya na Maji, Mchengerwa (mkwe wake) kafuta kijiji kizima, amevunja Sheria

SASA HAPO WAMEZUIA WAPI??UNA UCHUNGU NA WAMASAI BILA SHAKA UMEOLEWA HUKO WEWE
Ndugu mbona umeonesha chuki kubwa kwa hawa watu? Tumwogope Mungu hata kidogo. Hawa ni binadamu kama wengine hata kama hawana hizi Dini zetu. Ni Binadamu wanaostahili kuishi sababu ni Mungu kawapa maisha. Tusiwe na chuki kiasi hicho. Na kesho tutaenda Msikitini na Kanisani. Kwa hali hii tunamuabudu Mungu au Shetani? Why all these?
 
Mkuu hakuna chawa wa ccm anayemuogopa Mungu
 
Naunga mkono hatua ya polisi na serikali juu ya kinachoendelea huko si vyema kutanguliza siasa katika kila jambo;
 
Acha upotoshaji ndugu,
hakuna watu wanao ishi ndani ya eneo la hifadhi ya Taifa ya ngorongoro, kwa huyari yao wote walihamia msomera mkoani Tanga
 
Samia huyo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…