- Thread starter
- #101
CUF ni taasisi ni ngumu kwa taasisi kufa Mahita atakufa ataicha CUF hata Awadhi atakufa ataiacha CHADEMAYuko wapi? Si alifanikisha lengo lakuwashughulikia CUF? Leo wako wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CUF ni taasisi ni ngumu kwa taasisi kufa Mahita atakufa ataicha CUF hata Awadhi atakufa ataiacha CHADEMAYuko wapi? Si alifanikisha lengo lakuwashughulikia CUF? Leo wako wapi?
Taasisi isiyotomiza malengo ni mfuCUF ni taasisi ni ngumu kwa taasisi kufa Mahita atakufa ataicha CUF hata Awadhi atakufa ataiacha CHADEMA
Kama malengo ni kuua wapinzani basi waambie Samia na Awadhi waendelee kuwaua na kuwateka wapinzaniTaasisi isiyotomiza malengo ni mfu
ikungi ni wilaya sio kijijiUnataka kutuambia kijiji cha Ikungi kimefutwa kupisha uchimbaji
Sawa if that is a case wilaya nzima imefutwa kupisha uchimbajiikungi ni wilaya sio kijiji
kijiji kilifutwa kupisha uchimbani na yeye alikaa kimya, tena akiwa mbunge, mwambie abishe tutoe data na mihutasari ya vikaoSawa if that is a case wilaya nzima imefutwa kupisha uchimbaji
Hivi wale Watanzania waliohamishwa kutoka Bonde la Ihefu waliishia wapi?Kutoka kwenye mtandao wa X(tweeter), kaandika,
Samia alisema Wamaasai wa Ngorongoro waondoke kwao kwa hiari. Baadae akawafutia elimu, afya & maji. Halafu Tume ya Uchaguzi ikawafutia haki za kupiga kura. Sasa mkwe wake amefuta vijiji & kata zao. Samia amevunja Sheria & Katiba. Tupinge azma yake haramu dhidi ya wanaNgorongoro.
My take: Kuzuia binadamu asipate mahitaji yake ya muhimu kama chakula, maji, hifadhi (shelter), elimu na afya kwa sababu zozote zile ni hatua mbaya na ya mwisho kwa serikali, Netanyahu alijaribu kwa Wapalestina sijui aliishia wapi.
Imekuwa nchi ya kifala sanaIna maana kuna "mkwe wa mama" alishapewa kitengo! Aisee kweli hii nchi "Shamba la Bibi".
Kwani Samia ni WA kwanza kuwashughulikia Wapinzani? 😂😂😂😂Kama malengo ni kuua wapinzani basi waambie Samia na Awadhi waendelee kuwaua na kuwateka wapinzani
Kwani Samia ni WA kwanza kuwashughulikia Wapinzani? 😂😂😂😂Kama malengo ni kuua wapinzani basi waambie Samia na Awadhi waendelee kuwaua na kuwateka wapinzani
Magufuli alikuwa dikteta lakini Samia amemzidi mara 100. Ni lini tutapata rais anayejali na kutetea mslahi ya umma?Kutoka kwenye mtandao wa X(tweeter), kaandika,
Samia alisema Wamaasai wa Ngorongoro waondoke kwao kwa hiari. Baadae akawafutia elimu, afya & maji. Halafu Tume ya Uchaguzi ikawafutia haki za kupiga kura. Sasa mkwe wake amefuta vijiji & kata zao. Samia amevunja Sheria & Katiba. Tupinge azma yake haramu dhidi ya wanaNgorongoro.
My take: Kuzuia binadamu asipate mahitaji yake ya muhimu kama chakula, maji, hifadhi (shelter), elimu na afya kwa sababu zozote zile ni hatua mbaya na ya mwisho kwa serikali, Netanyahu alijaribu kwa Wapalestina sijui aliishia wapi.
Wenye akili na watetezzi wa kweli wa wananchi hawatakiwi ndani ya CCMMaria Sarungi ndiye alifaa kuwa SPIKA wa BUNGE la JAMHURI.
Si ndio anauzima kwa kufuta vijiji na kuwanyima binadamu chakula na matibabuHuu moto Mama na watu wake wanaouwasha, sijui kama wataweza kuuzima.
Lengo la Mfumo wa Vyama Vingi nchini siyo kupigania vyama au kuvilinda vyama bali ni kulinda mustakabali wa maisha ya Raia wote kwa usawa bila upendeleo wowote.Tatizo lenu ni wajuvi wa maongezi ya mtandaoni...hii ilishafeli!
Zile harakati za kukupigania chama, siku moja ziwe za kuipigania nchi, pengine muitikio utakuwa mkubwa na hakuna wa kuwaweka kwenye defender, si raia watakuwa wameitika na wana nguvu!
Mwenzako anafata vifungu vya sheria. Vipi wewe unafata vifungu vya uchawa au?Ni shida sana kumuamini mtu asiye na adabu japo tone
Umesahau MuigwaiMungu mbariki Tundu Antipas Lissu, mpenda haki na katiba.