Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Ndiye rais wetu wa 2020 hutaki kajinyonge
In God we Trust
Ni heri apete Singida lakini sio ikulu
In God we Trust
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni heri apete Singida lakini sio ikulu
Aende ICC basi.unaufahamu ushahidi wa kimazingira,kama waufahamu huwa unatumika vp?
ushahidi wa kiaminika ungetokana na cctv camera vp ziko wapi?
ni suala la muda atakaye fata kufa kiutata ni yule camera zilizo ondolewa kwake. kuficha siri
Kuna wengi tu huko kote unakokutaja ambao wanaunga mkono juhudi za ujenzi na ununuzi kwa mdomo.Kuna mtu anamwambia..kila analosema anasema "nimeambiwa"!! Huyu mtoa taarifa anayefanya kazi serikalini adhabu yake hasa ni ipi..?
Kwa mujibu wa maelezo yake Tundu lissu ana vyanzo vya taarifa kutoka Usalama wa Taifa, kutoka Polisi, kutoka Bungeni, kutoka Wizara ya Afya. Na kila sehemu ambao wanampa hizo taarifa nyeti.
Katika moja ya maelezo yake amesema hataki kumtaja huyo mtoa taarifa wake sabbu akimtaja "atauwawa"!!
Je huyu mtoa taarifa mara atakapogulika /ama watakapogundulika kufanya hivyo adhabu yao halisi huwa ni ipi?
Je, maadili yao ya kazi yanawaruhusu kutoa hizo habari?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulikatazwa kusoma albadir mheshimiwa Lissu
Unafikiri hao watumishi wana roho mbaya kama yako? Kwa taarifa yako, hata ndani ya CCM na serikalini, kuna watu wengi sana hawakufurahishwa na huu unyama. Anapewa taarifa za ndani na watu wa ndani kabisa. Na siyo rahisi kujua ni nani hao. Na siku zinavyozidi kwenda ndivyo informers wake wanavyozidi kuongezeka. He is well informed na ana reserve some information ili informers wake wasijulikane. Hizo anazozitoa ni dondoo tu. Soon we gonna speak the same language.Kuna mtu anamwambia..kila analosema anasema "nimeambiwa"!! Huyu mtoa taarifa anayefanya kazi serikalini adhabu yake hasa ni ipi..?
Kwa mujibu wa maelezo yake Tundu lissu ana vyanzo vya taarifa kutoka Usalama wa Taifa, kutoka Polisi, kutoka Bungeni, kutoka Wizara ya Afya. Na kila sehemu ambao wanampa hizo taarifa nyeti.
Katika moja ya maelezo yake amesema hataki kumtaja huyo mtoa taarifa wake sabbu akimtaja "atauwawa"!!
Je huyu mtoa taarifa mara atakapogulika /ama watakapogundulika kufanya hivyo adhabu yao halisi huwa ni ipi?
Je, maadili yao ya kazi yanawaruhusu kutoa hizo habari?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sifa moja wapo ya rais ni awe na akili timamu. Pia anayeweza kukunja nne kwa kutumia mguu eidha wa kulia au wa kushoto.Ndiye rais wetu wa 2020 hutaki kajinyonge
In God we Trust
Kwamba Makonda alikuwapo Dodoma na rais wa nchi alisema hayo maneno siku yeye anapigwa risasi?
Upuuzi wa hali ya juu.
Lakini ni ya kweli haya! Kwani paul makonda hakuwa Dodoma ? Kwani magufuli hakuyasema hayo aliyonukuliwa? Ukweli.siku zote utakuwa ukweli tu. Kwenye nchi zilizo na utawala wa kisheria, kwa kutoa kauli ile magufuli ilitakiwa ahojiwe na vyo ulinzi na usalama kama sehemu ya uchunguzi. Circumstantial evodences / na au theory ktk maswala haya ni ushahidi tosha wa kuwahoji makonda na magufuli. Makonda aelezee je ni kweli kuwa alikuwa dodoma siku ya tukio la mh lisu na pili aeleeze ni kweli alionekana akifanya mazoezi morogoro siku iliyofuata baada ya tukio?. Haya yote yanaweza kuwa siyo mambo mabaya kwa makonda lakini yalitakiwa yatolewe maelezo ya kipolisi.Kwamba Makonda alikuwapo Dodoma na rais wa nchi alisema hayo maneno siku yeye anapigwa risasi?
Upuuzi wa hali ya juu.
Mimi tokea siku nyingi tu najua ni rais "wenu" kwani nimekataa? Hata nyoshelsadat nae ni rais.Ndiye rais wetu wa 2020 hutaki kajinyonge
In God we Trust
YES, BAADA YA KUPIGWA RISASI LISSU ZILIONEKANA GARI ZIKIPITA KWA SPEED KALI KUELEKEA MOROGORO GHAFALA JAMAA AKAONEKANA AKIPIGA TIZI YUKO SOKONI MOROGORO ANASHANGILIWA NA ARAIAInasikitisha sana mwanasheria msomi anaongea kwa hisia nadala ya facts.
I predict his spiral down fall even to beat the constant gravitational force.
Ni mara ngapi makonda kaenda dodoma au mara ngapi magu kayaponda majizi na mahaini kwa maneno?Lakini ni ya kweli haya! Kwani paul makonda hakuwa Dodoma ? Kwani magufuli hakuyasema hayo aliyonukuliwa? Ukweli.siku zote utakuwa ukweli tu. Kwenye nchi zilizo na utawala wa kisheria, kwa kutoa kauli ile magufuli ilitakiwa ahojiwe na vyo ulinzi na usalama kama sehemu ya uchunguzi. Circumstantial evodences / na au theory ktk maswala haya ni ushahidi tosha wa kuwahoji makonda na magufuli. Makonda aelezee je ni kweli kuwa alikuwa dodoma siku ya tukio la mh lisu na pili aeleeze ni kweli alionekana akifanya mazoezi morogoro siku iliyofuata baada ya tukio?. Haya yote yanaweza kuwa siyo mambo mabaya kwa makonda lakini yalitakiwa yatolewe maelezo ya kipolisi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani aliziona hizo gari? Na zilikiwa na nani?YES, BAADA YA KUPIGWA RISASI LISSU ZILIONEKANA GARI ZIKIPITA KWA SPEED KALI KUELEKEA MOROGORO GHAFALA JAMAA AKAONEKANA AKIPIGA TIZI YUKO SOKONI MOROGORO ANASHANGILIWA NA ARAIA
Bado unataka kubaki na kauli yako au utaitengua?!Naamini simba kesho hawatanunua gazeti baada ya kazi tukufu ya As vita usiku wa leo
In God we Trust
my god yaani tukio la miaka 2 tu mshasahau??unataka majina ya raia walioliona?why usiulize ma traffic wa barabarani ile speed ilikuwa ya nini na ni kina nani?halafu tusichoshane bana,ukimaliza kuuliza hilo swali kaulize ya cctv kwa kalemani na aliyewatoa walinzi lindoniNani aliziona hizo gari? Na zilikiwa na nani?