Tundu Lissu: Siku napigwa risasi Paul Makonda alikuwa Dodoma

Tundu Lissu: Siku napigwa risasi Paul Makonda alikuwa Dodoma

Inasikitisha sana mwanasheria msomi anaongea kwa hisia badala ya facts.
I predict his spiral down fall even to beat the constant gravitational force.
Yale aliyoyapitia kama maumivu makali, bed rest ya muda mrefu, operesheni za kutoaha hamuwezi kuona amepitia mangapi nyie kazi yenu ni kuropoka tu kwenye mitandao shame hasa kwa wanaume kama wewe
 
Leo mnataka makonda ahojiwe wakati dereva mmemficha mile 800000000 ambaye ndiye angetoa ushuhuda wa tukio lilivyokuwa,usiseme ingkuwaje kama dereva angekufa..dereva hakufa na hajafa.
Mjomba hoja nyepesi kama sufi ya tabora! Kwenda dodoma mara ngapi siyo ishu, mhusika mjuruhiwa mkuu anatoa shutuma kuwa anahisi fulani na fulani walihusika na yaliyomsibu, na siku ya hayo majanga huyu mtu anahisi alikuwa sehemu ya tukio. Ustaarabu ilikuwa makonda ahojiwe ili wamu eliminate kama suspect. Kwa maisha ya kawaida huko mitaani kwetu, ukienda kutoa ripoti polisi kuwa unahisi fulani amajaribu kukuua polisi lazima wafunge safari na huyo mtu lazima aitwe kituoni kutoa maelezo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Hints:

Tundu Lissu anasema kuwa siku aliyopigwa risasi ndio siku Rais Magufuli alikuwa akipokea ripoti ya makinikia.

Na masaa mawili kabla ya shambulio lake alitangazia umma kuwa kuna mtu anapiga kelele sana huko nje na katika vita jeshini watu wa namna hiyo ni sawa na wasaliti hivyo kazi huwa ni moja kuuliwa tu.

Kumbuka ripoti hiyo ilikuwa inakabidhiwa jijini Dar huku mkuu wa mkoa wa mkoa huyo hakuwepo Dar alikuwa Dodoma.

Na cha ajabu eneo analoishi hulindwana masaa 24 na askari wenye silaha ila cha ajabu hawakuwepo kabisa katika viunga vya Area D.

Lakini hao Polisi wanaotaka kunihoji mimi hawajawai kumwita wala kumuhoji Makaonda akiwa kama suspect.

Na aliyesema anafaa kufa hajawai kuulizwa juu ya kauli yake.

Wala askari waliotakiwa kuwa lindo hawajawai kuulizwa walikuwa wapi siku ya tukio na nani aliwapa amri waondoke.
Ni suala la mda tu kabla bashite na magufuli hawajaanikwa hadharani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lisu ataongelea Sana kuhusu shambulizi lake mwisho wa siku atakosa Cha kuongea Sasa hivi hoja aliyonayo NI shambulizi na serikali ya magufuli. Habari hizi zimeteka Sana media lakini zinaenda kufa kibudu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM imeingiliwa na watu wenye roho mbaya. Walikula nyama ya saa 8 ya Lissu imewashinda sasa lazima wavune walicho kipanda.
 
Back
Top Bottom