Ngororo
JF-Expert Member
- Jul 17, 2018
- 235
- 414
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapigania haki za binadamu kote duniani wameshamfahamu watesi wa Mh Lissu. Wanachohitaji hivi sasa nikutaka kuwaona hao watu LIVE wenye roho za kishetani namna ile. Watu wachache wamechafua taswira ya nchi yetu bila aibu. Mbaya zaidi kuna wapuuzi wachache humu wanaojaribu kuutetea ushetani ule. Kamwe hamtofanikiwa zaidi ya kuambulia aibu.
Uko vizuri mkuuWewe utakuwa wa long time kutamka neno mchecheto ni zile enzi za mambo digilii
Mimi nashangaa kwa nini watu wanafikiri kuna ukakasi katika hili tukio.Hili jambo liko wazi kama jua la mchana.Waliohusika ni serikali na Jiwe ndio aliyetoa order.Mtu ambaye namshangaa ni Kipilimba.Kiongozi wa kidini alafu anashirika haya madudu.Ni kiongozi gani wakidini ambaye anaweza kubariki hivi vitu.So shameful on him.
I hope jamii ya kimataifa ifanye kitu before uchaguzi 2020.Kwani bila sivyo,kutakuwa na uchaguzi kiini macho.Tubinywe kama Smaduro wa Venezuela,kurudisha sense kwa hili jiwe bishi.
Inasikitisha sana mwanasheria msomi anaongea kwa hisia badala ya facts.
I predict his spiral down fall even to beat the constant gravitational force.
Pole sana kaka mkubwa LissuWapigania haki za binadamu kote duniani wameshamfahamu watesi wa Mh Lissu. Wanachohitaji hivi sasa nikutaka kuwaona hao watu LIVE wenye roho za kishetani namna ile. Watu wachache wamechafua taswira ya nchi yetu bila aibu. Mbaya zaidi kuna wapuuzi wachache humu wanaojaribu kuutetea ushetani ule. Kamwe hamtofanikiwa zaidi ya kuambulia aibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mtu anamwambia..kila analosema anasema "nimeambiwa"!! Huyu mtoa taarifa anayefanya kazi serikalini adhabu yake hasa ni ipi..?
Kwa mujibu wa maelezo yake Tundu lissu ana vyanzo vya taarifa kutoka Usalama wa Taifa, kutoka Polisi, kutoka Bungeni, kutoka Wizara ya Afya. Na kila sehemu ambao wanampa hizo taarifa nyeti.
Katika moja ya maelezo yake amesema hataki kumtaja huyo mtoa taarifa wake sabbu akimtaja "atauwawa"!!
Je huyu mtoa taarifa mara atakapogulika /ama watakapogundulika kufanya hivyo adhabu yao halisi huwa ni ipi?
Je, maadili yao ya kazi yanawaruhusu kutoa hizo habari?
Sent using Jamii Forums mobile app
Waswahii wanasema usimcheke KILEMA kabla hujafa... Kupenda kilema sio kosa, Mkuu, kosa ni kucheka kilema wakati hujui nini kitakutokea kabla hujafaSalary Slip, aliyemtuma balozi wewe unamjua? Nimegundua nyie mashabiki wa Kilema, wengi ni vichwa panzi, akili zenu fupi sana! Naomba tufunge mjadala, maana huna hoja unataka kubishana tu.
Kuna mtu anamwambia..kila analosema anasema "nimeambiwa"!! Huyu mtoa taarifa anayefanya kazi serikalini adhabu yake hasa ni ipi..?
Kwa mujibu wa maelezo yake Tundu lissu ana vyanzo vya taarifa kutoka Usalama wa Taifa, kutoka Polisi, kutoka Bungeni, kutoka Wizara ya Afya. Na kila sehemu ambao wanampa hizo taarifa nyeti.
Katika moja ya maelezo yake amesema hataki kumtaja huyo mtoa taarifa wake sabbu akimtaja "atauwawa"!!
Je huyu mtoa taarifa mara atakapogulika /ama watakapogundulika kufanya hivyo adhabu yao halisi huwa ni ipi?
Je, maadili yao ya kazi yanawaruhusu kutoa hizo habari?
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku baada ya shambulio(tarehe 8/09/2017), alionekana Morogoro anapiga tizi majira ya asubuhi, akinyosha misuli baada ya kazi nzito jana yake...
Kuna mahali Lisu kasema Makonda ndiye ka excute hiyo mission ? Kwani kuwa "masterminder" kama unavyosema pia hakumuhusishi huyo makonda na tukio zima ?Lissu unakosea,kama ni 'mission' sio lazima ai excute yeye Makonda mwenyewe,unless Makonda ni mafia na yeye..anashika bunduki...na sio 'masterminder'...
Mpuuzi ma a yakoKwamba Makonda alikuwapo Dodoma na rais wa nchi alisema hayo maneno siku yeye anapigwa risasi?
Upuuzi wa hali ya juu.
Mama yako ndio nani?Mpuuzi ma a yako
Fact yawezs kua kwelk au isiwe kweli..hizo ni circumstancial factsInasikitisha sana mwanasheria msomi anaongea kwa hisia badala ya facts.
I predict his spiral down fall even to beat the constant gravitational force.
Akili za Bashite unazijjua?? Unakumbuka ya clouds??Lissu unakosea,kama ni 'mission' sio lazima ai excute yeye Makonda mwenyewe,unless Makonda ni mafia na yeye..anashika bunduki...na sio 'masterminder'...