Tundu Lissu: Siku napigwa risasi Paul Makonda alikuwa Dodoma

Tundu Lissu: Siku napigwa risasi Paul Makonda alikuwa Dodoma

Acha ungese umevuta Bangi zako ukazani ukija na kisingizio chako cha kishamba toka kolomije utaeleweka mbona Ndungai alijazwa nusu kaputi huko India miezi kibao lakini sasa ndiyo mnamtumia huko bungeni kuwanyanyasa Wapinzani?
ila hazifiki kama za huyo bwege na pia sio mropokaji kama huyo fala wenu anayetafuta wa kumuoa huko ulaya.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mtu anamwambia..kila analosema anasema "nimeambiwa"!! Huyu mtoa taarifa anayefanya kazi serikalini adhabu yake hasa ni ipi..?
Kwa mujibu wa maelezo yake Tundu lissu ana vyanzo vya taarifa kutoka Usalama wa Taifa, kutoka Polisi, kutoka Bungeni, kutoka Wizara ya Afya. Na kila sehemu ambao wanampa hizo taarifa nyeti.
Katika moja ya maelezo yake amesema hataki kumtaja huyo mtoa taarifa wake sabbu akimtaja "atauwawa"!!
Je huyu mtoa taarifa mara atakapogulika /ama watakapogundulika kufanya hivyo adhabu yao halisi huwa ni ipi?
Je, maadili yao ya kazi yanawaruhusu kutoa hizo habari?



Sent using Jamii Forums mobile app
Swali lakujiuliza nimojatuu. Ambalo ni.. Hivi CCTV camera huwa zina kuwa controlled na nani? Hakuna saver ambayo ni kama motherboard kwa maana ya ikotoke shida kubwa eneo ambalo zimefungwa hakuna access yoyote? Ushahidi utakuwa umepotea? Na kama ipo basi kilakitu kinajulikana is a matter of time.
 
Halafu hao ndo wanaotafuta ajira serikalini..

Hata tukio lenyewe bado linaacha maswali kama mtekelezaji au aliyetumwa kufanya hiyo operation.
1: walitumwa kumfuatilia wakaona anawasumbua kwa uvivu wakaamua kufanya maamuzi yao. ! ( kupiga) kama tujuavyo kwenye gari nyingi za vyombo maalumu silaha hazikosekani . Kama hivyo ndivyo basi wanaowajibika ni wao wenyewe!

2:walitumwa kumzimisha halafu kutokana na ama huruma au uzembe wakashindwakutimiza kusudio maana yake aliyetumwa sio mtu sahihi, ama hajui kazi yake sawasawa.
Hapa pia yupo anayewajibika ama kuwajibishwa.

3: wale waliobanwa kwenye kona ya St peters wakimfuatilia mmoja alikimbia mwingine alibaki akahojiwa na TL, je alisema nini? Na ni yepi yalikuwa mazungumzo yao.? Ama makubaliano yao? (Siri).
Kwanini isiwe kuwa ndio huyu anayempa TL taarifa zote muhimu.

4: kama TISS wanaweza kuwekewa mtego kiurahisi tu na Tundu Lissu wakanasa je wanaweza kuaminiwa kwa mission nyingine kubwa bila kufeli?

5: Je, tuna uhakika watu wote walio TISS au polisi nu watu sahihi wenye ujuzi na uwezo stahiki.,? Au ni wale waliopata kazi kwa migongo ya wajomba na shangazi zao kisha leo wanatumika kulilpa fadhira?

Mwisho;
Iwe kusudi uzembe au bahati mbaya kwa tukio la TL kuna mtu ama watu wanatakiwa kuwajibishwa haraka, wao na mtandao wao wote, kabla hawajaleta madhara zaidi kwa Taifa hili.
Naamini aliyetekeleza tukio lile yupo na anasoma kinachoendele kwenye mitandao ya kijamii. Kunya unye wewe harufu uwapakaze wengine..[emoji53][emoji53]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata wasiojulikana wamemchoka jiwe
Hata wao wanaweza pima uzito wa kazi
Ingawa ni wajibu kutekeleza amri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mtu anamwambia..kila analosema anasema "nimeambiwa"!! Huyu mtoa taarifa anayefanya kazi serikalini adhabu yake hasa ni ipi..?
Kwa mujibu wa maelezo yake Tundu lissu ana vyanzo vya taarifa kutoka Usalama wa Taifa, kutoka Polisi, kutoka Bungeni, kutoka Wizara ya Afya. Na kila sehemu ambao wanampa hizo taarifa nyeti.
Katika moja ya maelezo yake amesema hataki kumtaja huyo mtoa taarifa wake sabbu akimtaja "atauwawa"!!
Je huyu mtoa taarifa mara atakapogulika /ama watakapogundulika kufanya hivyo adhabu yao halisi huwa ni ipi?
Je, maadili yao ya kazi yanawaruhusu kutoa hizo habari?



Sent using Jamii Forums mobile app
Anatumia reference za vijiweni na udaku
 
Kwan wakitajwa kuna nn kitatokea...ushabiki huwa unafanya watu kuwa wendawazimu kumbe........lisu ni nani bhana kila siku yeye tuuuu

Wewe kwani ni nani? Mbona unaweweseka kama Tundu Lisu ni nani? Anayewatuma kukesha kwenye mitandao kuhangaika na Tundu Lisu hajui kuwa ni nani? Kama mnaona hana umuhimu mbona mpo busy kutengeneza propaganda za kijinga jinga kishamba toka kolomije?
 
Anatumia reference za vijiweni na udaku

Wewe ndiyo umekariri udaku lakini Tundu Lisu anapewa taarifa za ndani ya Serikali kwani ujue wana ccm wengi hawampendi Maliyamungu Bashite hivyo kupelekea kutoa siri za ndani ya Serikali kwa nia ya kushinikiza mtukufu malaika toka chato ajue kuwa Bashite ni shiiida siyo mtu wa kumwendekeza.
 
Kuna mtu anamwambia..kila analosema anasema "nimeambiwa"!! Huyu mtoa taarifa anayefanya kazi serikalini adhabu yake hasa ni ipi..?
Kwa mujibu wa maelezo yake Tundu lissu ana vyanzo vya taarifa kutoka Usalama wa Taifa, kutoka Polisi, kutoka Bungeni, kutoka Wizara ya Afya. Na kila sehemu ambao wanampa hizo taarifa nyeti.
Katika moja ya maelezo yake amesema hataki kumtaja huyo mtoa taarifa wake sabbu akimtaja "atauwawa"!!
Je huyu mtoa taarifa mara atakapogulika /ama watakapogundulika kufanya hivyo adhabu yao halisi huwa ni ipi?
Je, maadili yao ya kazi yanawaruhusu kutoa hizo habari?



Sent using Jamii Forums mobile app
Hivyo vyanzo vyake ndani kutoka hizo sehemu Nyeti ulizozitaja vilishindwa kumtonya kuhusu mipango ya shambulizi juu ya uhai wake!? Acheni Uzandiki makamanda. Bwahahahahahahahah
 
Kuna mtu anamwambia..kila analosema anasema "nimeambiwa"!! Huyu mtoa taarifa anayefanya kazi serikalini adhabu yake hasa ni ipi..?
Kwa mujibu wa maelezo yake Tundu lissu ana vyanzo vya taarifa kutoka Usalama wa Taifa, kutoka Polisi, kutoka Bungeni, kutoka Wizara ya Afya. Na kila sehemu ambao wanampa hizo taarifa nyeti.
Katika moja ya maelezo yake amesema hataki kumtaja huyo mtoa taarifa wake sabbu akimtaja "atauwawa"!!
Je huyu mtoa taarifa mara atakapogulika /ama watakapogundulika kufanya hivyo adhabu yao halisi huwa ni ipi?
Je, maadili yao ya kazi yanawaruhusu kutoa hizo habari?



Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa maana hiyo ushakubali kuwa hizo taarifa ni za kweli.... Ila Tatizo ni mtoaji taarifa!!?
 
Lissu unakosea,kama ni 'mission' sio lazima ai excute yeye Makonda mwenyewe,unless Makonda ni mafia na yeye..anashika bunduki...na sio 'masterminder'...
Anachosema ni kuwa Bashite alikuwa Dom kuhakijisha kuwa mission is accomplished.....!!
 
Lakini ni ya kweli haya! Kwani paul makonda hakuwa Dodoma ? Kwani magufuli hakuyasema hayo aliyonukuliwa? Ukweli.siku zote utakuwa ukweli tu. Kwenye nchi zilizo na utawala wa kisheria, kwa kutoa kauli ile magufuli ilitakiwa ahojiwe na vyo ulinzi na usalama kama sehemu ya uchunguzi. Circumstantial evodences / na au theory ktk maswala haya ni ushahidi tosha wa kuwahoji makonda na magufuli. Makonda aelezee je ni kweli kuwa alikuwa dodoma siku ya tukio la mh lisu na pili aeleeze ni kweli alionekana akifanya mazoezi morogoro siku iliyofuata baada ya tukio?. Haya yote yanaweza kuwa siyo mambo mabaya kwa makonda lakini yalitakiwa yatolewe maelezo ya kipolisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ina Maana watu wote waliokuwa Dodoma siku Mhaini anatandikwa risasi ni wahusika wa hilo tukio mkuu!?
 
Ina Maana watu wote waliokuwa Dodoma siku Mhaini anatandikwa risasi ni wahusika wa hilo tukio mkuu!?
Hapana. Ndiyo maana huyo unayemuita mhaini, mimi namwita mhanga hakuwataja watu wotee waliokuwa dom siku ile. Kawataja watu 2 ambao wewe unawajuwa. Hivi kigezo cha mtu mhaini ni kipi vile? Nimesahau kidogo. Nielimishe tafadhali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana. Ndiyo maana huyo unayemuita mhaini, mimi namwita mhanga hakuwataja watu wotee waliokuwa dom siku ile. Kawataja watu 2 ambao wewe unawajuwa. Hivi kigezo cha mtu mhaini ni kipi vile? Nimesahau kidogo. Nielimishe tafadhali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbowe anaendeleaje na hali huko Segerea Resort kamanda!?
 
ila hazifiki kama za huyo bwege na pia sio mropokaji kama huyo fala wenu anayetafuta wa kumuoa huko ulaya.


Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe mbweha acha ungese wako kama siyo Maliyamungu Bashite kumpiga Risasi leo hii angekuwa huko ulaya? aliyekupa mimba ukazaa njiti ndiye aliyempiga Risasi Tundu Lisu na kusababisha awepo huko alipo acheni ushamba wa kipumbavu yaani nyie ndiyo chanzo cha yote na sasa mmekuwa chanzo cha kumyamazisha tena?
 
Raisi wa TFF ana jibu zuri...

Sent using Jamii Forums mobile app

Rais wa TFF yeye kaandaa jaribio la pili la kumuua Tundu Lisu kaleta Alshabab toka kwao Somalia akitaka wamshambulie Tundu Lisu na endapo Michael wambura atatoka jela na yeye wamsake wampige Risasi pesa za FIFA atakula na kumugawia Bashite kidogo ili amlinde asiguswe na CAG
 
Mbowe anaendeleaje na hali huko Segerea Resort kamanda!?

Walimtuma Le mutuz apeleke maji yenye Sumu ya Slow slow akitoka jela aje kufariki lakini bahati akayashitukia hajanywa, yafaa wana chadema wajitoe muhanga wakimuona Le mutuz huko mitaani wamtandike bakora za kutosha iwe fundisho
 
Kuna mtu anamwambia..kila analosema anasema "nimeambiwa"!! Huyu mtoa taarifa anayefanya kazi serikalini adhabu yake hasa ni ipi..?
Kwa mujibu wa maelezo yake Tundu lissu ana vyanzo vya taarifa kutoka Usalama wa Taifa, kutoka Polisi, kutoka Bungeni, kutoka Wizara ya Afya. Na kila sehemu ambao wanampa hizo taarifa nyeti.
Katika moja ya maelezo yake amesema hataki kumtaja huyo mtoa taarifa wake sabbu akimtaja "atauwawa"!!
Je huyu mtoa taarifa mara atakapogulika /ama watakapogundulika kufanya hivyo adhabu yao halisi huwa ni ipi?
Je, maadili yao ya kazi yanawaruhusu kutoa hizo habari?



Sent using Jamii Forums mobile app
Maana yake mshachokwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivyo vyanzo vyake ndani kutoka hizo sehemu Nyeti ulizozitaja vilishindwa kumtonya kuhusu mipango ya shambulizi juu ya uhai wake!? Acheni Uzandiki makamanda. Bwahahahahahahahah
Wewe mbweha ulikuwa wapi wakati Tundu Lisu anatangaza kuwa kuna Gari huwa linanamfuatilia mara nyingi na akazitaja hadi namba zake, Tatizo umeshika mimba hapo gheto ujui ni ya nani maana unawachanganya cyprian Musiba na Le mutuz mpaka umejitoa fahamu zote umebakiza kamasi tupu kichwani
 
Back
Top Bottom