msabillah
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 4,764
- 3,192
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
M mbaazi ukikauka huwa unasingizia juaKwanini ulikuwa msaliti kwenye issue ya makenikia. Inawezekana ndio mmesababusha rais asipewe hela
Sent using Jamii Forums mobile app
Akili za Bashite unazijjua?? Unakumbuka ya clouds??
Hiii habar ilikuwa inakosekana hapa jukwaani.lakini ndio ukweli wenyewe .siku ya tukio la Lissu Bashite alikuwa Dom badala ya kwenda ikulu kwenye ripot ya makinikia.Taratiiiibu wahusika waanza kuanikwa .
Tatzo hujui haya mamboInasikitisha sana mwanasheria msomi anaongea kwa hisia badala ya facts.
I predict his spiral down fall even to beat the constant gravitational force.
Kwan wakitajwa kuna nn kitatokea...ushabiki huwa unafanya watu kuwa wendawazimu kumbe........lisu ni nani bhana kila siku yeye tuuuuTuzidi kumuombea mh Lissu
In God we Trust
Kutajwa na kujulikana ni hatua muhimu mno kwa kuanzia.mengine hutakiwi uyajueKwan wakitajwa kuna nn kitatokea...ushabiki huwa unafanya watu kuwa wendawazimu kumbe........lisu ni nani bhana kila siku yeye tuuuu
Dah...ngoja nikae siti ya nyuma tukifika mnistue
Hints:
Tundu Lissu anasema kuwa siku aliyopigwa risasi ndio siku Rais Magufuli alikuwa akipokea ripoti ya makinikia.
Na masaa mawili kabla ya shambulio lake alitangazia umma kuwa kuna mtu anapiga kelele sana huko nje na katika vita jeshini watu wa namna hiyo ni sawa na wasaliti hivyo kazi huwa ni moja kuuliwa tu.
Kumbuka ripoti hiyo ilikuwa inakabidhiwa jijini Dar huku mkuu wa mkoa wa mkoa huyo hakuwepo Dar alikuwa Dodoma.
Na cha ajabu eneo analoishi hulindwana masaa 24 na askari wenye silaha ila cha ajabu hawakuwepo kabisa katika viunga vya Area D.
Lakini hao Polisi wanaotaka kunihoji mimi hawajawai kumwita wala kumuhoji Makaonda akiwa kama suspect.
Na aliyesema anafaa kufa hajawai kuulizwa juu ya kauli yake.
Wala askari waliotakiwa kuwa lindo hawajawai kuulizwa walikuwa wapi siku ya tukio na nani aliwapa amri waondoke.
anatoa dondoo za kusaidia hizo facts kupatikana..Inasikitisha sana mwanasheria msomi anaongea kwa hisia badala ya facts.
I predict his spiral down fall even to beat the constant gravitational force.
Wachunguzi huru walichunguza kwa siri kubwa, ubalozi wa Marekani uliwatuma FBI wakaenda Dodoma kimya kimya wakachumguza kwa kuwatumia wazawa kisayansi ndipo wakabaini kuwa zilitoka Gari mbili Dsm yaani Toyota vx na Nissan nyeupe ndani ya vx Toyota walikuwemo Watu wanne wanaojulikana wawili ambao ni Bashite na Le mutuz na kwenye Nissan nyeupe walikuwemo wasiojulikana wawili na watatu wanaojulikana ambao ni Jerry Muro, Cyprian musiba na Heri kisanduku ambaye ndiye alibeba bunduki kubwa na kumshambulia Tundu Lisu huku cyprian Musiba akitumia bunduki ndogo bastora kusaidia shambulio na baada ya shambulio waliondoka kwa kasi hadi morogoro kwa mganga wa kienyeji na pindi wakiendelea na ushirikina wao ndipo Bashite akapigiwa simu toka Dodoma kuwa cctv camera ziliwachukua Sura watu watatu yaani cyprian Musiba, Heri kisanduku na mmoja asiyejulikana ikabidi Bashite na Le mutuz warudi Dodoma haraka kwenda kuzing’oa zile cctv haraka kisha kupachika zingine kwa kasi ili kupateza ushahidi na akazichukua hizo cctv kuja nazo nyumbani kwake Mikochen hilo ni kwa mujibu wa Le mutuz lakini kupitia uchunguzi na siri zao kuvuja pia, siyo siri wala siyo Uongo wala Uonevu kwa Bashite ni kweli kuwa Maliyamungu Bashite ndiye aliyepanga na kuratibu na kutekeleza shambulio kwa Tundu Lisu, taarifa zote zipo kwa FBI na Tundu Lisu kapewa picha yote anajua A-ZMbona kama wakati ule baada ya tukio mbowe alisema kama ni kweli kwamba huenda Chadema wanaweza kuhusika basi serikali iridhie waje wachunguzi huru toka nje ya nchi ili wachunguze hilo tukuo au siyo?!
Je swala hilo lilifikiwaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikuwa na walinzi wa Getini wa CCM pamoja na mtu wa kung’oa cctv camera kwenye nyumba ya ccm
nusu kaputi 23 haiwezekani zikawa zimeisha kichwani kwa muda huu kwa hio mengine msimulaumu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutajwa na kujulikana ni hatua muhimu mno kwa kuanzia.mengine hutakiwi uyajue