britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Hahaha sawa mkuuHuyo namjibu kulingana na approach yake, mbona ww tunatofautiana lakini tunapingana kwa staha? Acha apate kitu na box akili imkae sawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha sawa mkuuHuyo namjibu kulingana na approach yake, mbona ww tunatofautiana lakini tunapingana kwa staha? Acha apate kitu na box akili imkae sawa.
Usiku walikesha kwa mganga wa kienyeji wakiwa na le mutuz, jerry muro, cyprian Musiba na Heri kisanduku siyo siri tena Bashite ndiye alikwenda Dodoma kumshambulia Tundu LisuSiku baada ya shambulio(tarehe 8/09/2017), alionekana Morogoro anapiga tizi majira ya asubuhi, akinyosha misuli baada ya kazi nzito jana yake...
Siku baada ya shambulio(tarehe 8/09/2017), alionekana Morogoro anapiga tizi majira ya asubuhi, akinyosha misuli baada ya kazi nzito jana yake...
Hapana. Anaweza kuwa kamanda ndani ya uwanja wa mapambano. Yeye hashiki bunduki. Yeye nanatoa amri tu bunduki ielekezwe wapi na kazi ilipokamilika, kazi ya kamanda ni kutoa ripoti kwa jenerali wake. Mshika bunduki yeye alitimiza amri tu.Lissu unakosea,kama ni 'mission' sio lazima ai excute yeye Makonda mwenyewe,unless Makonda ni mafia na yeye..anashika bunduki...na sio 'masterminder'...
Kuna baadhi ya mambo ukiyatafakari kw kina unapata jibu kuwa kwa nn makonda haguswi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi yenyewe ya shetani ndiyomaana imefailSiku baada ya shambulio(tarehe 8/09/2017), alionekana Morogoro anapiga tizi majira ya asubuhi, akinyosha misuli baada ya kazi nzito jana yake...
Na endapo angekuwa ni chadema wenyewe kwanza walinzi wotee wangekuwa jela na cctv camera zisingeng’olewa na mpaka mda huu gereza zingekuwa zimejaza wanachama wa chadema, kisingizio cha Dereva ni kisingizio cha kishamba toka kolomijeKwa nchi zenye utawala wa sheria wangeanzia hapa na sio Kwa dereva
Ni kweli kabisa. 90% ya ushahidi wote uko bongo , eneo na jinai ( crime scene) liko bongo , gari la wajeruhiwa liko bongo lakini bado wanakazania oh dereva njoo tukuhoji! Aje wamuhoji ili waamminye mbupu au wamakatie donge nono ili atoe maelezo wanayoyataka wao! Polisi siwalaumu kwa hili, liko juu ya uongozi wa polisi. Makachero wa kitanzania wakiachiwa hii kazi bila kuingiliwa na wanasiasa Mara moja wanasuluhisha hili swala.Kwa nchi zenye utawala wa sheria wangeanzia hapa na sio Kwa dereva
Lakini Mkuu mwisho wa ubaya ni aibu siku zote i do trust there's no debit will go unpaid in this earthMaliyamungu Bashite ana siri nyingi za mtukufu malaika toka chato ikiwemo madili ya ununuzi wa ndege zile 10% zote malipo ya cash hupitia kwa Bashite mipango yote ya hovyo hovyo huchongwa na Maliyamungu Bashite yaani itokee magufuli augue afe kama Rais wa malawi au Zambia ujue siku hiyo hiyo makonda a.k.a Maliyamungu Bashite atahama Nchi kwenda kwenye majumba yake Marekani, South Africa na Dubai kwani hata CCM wenzake hawamtaki lakini kwa ni msiri wa mtukufu wanaogopa kumfanyizia.
Fact ipi unataka?Inasikitisha sana mwanasheria msomi anaongea kwa hisia badala ya facts.
I predict his spiral down fall even to beat the constant gravitational force.
Ataenda tuu, kwani anashindwa nini?Huyu jamaa atapiga mayowe hadi sauti itamkauka. Si aende tu akashitaki umoja wa mataifa?
"Kama ambavyo siyo watu wote watakupenda, ndivyo pia siyo watu wote watakuchukia"-@Twilumba 2019Kuna mtu anamwambia..kila analosema anasema "nimeambiwa"!! Huyu mtoa taarifa anayefanya kazi serikalini adhabu yake hasa ni ipi..?
Kwa mujibu wa maelezo yake Tundu lissu ana vyanzo vya taarifa kutoka Usalama wa Taifa, kutoka Polisi, kutoka Bungeni, kutoka Wizara ya Afya. Na kila sehemu ambao wanampa hizo taarifa nyeti.
Katika moja ya maelezo yake amesema hataki kumtaja huyo mtoa taarifa wake sabbu akimtaja "atauwawa"!!
Je huyu mtoa taarifa mara atakapogulika /ama watakapogundulika kufanya hivyo adhabu yao halisi huwa ni ipi?
Je, maadili yao ya kazi yanawaruhusu kutoa hizo habari?
Sent using Jamii Forums mobile app
Who f*cken care,watanzania tunataka kujua ukweli..
Sawa kabisa mkuu na maadili ya kazi ikiwemo viapo tupa kuleee 2020 twende na Tundu Lissu[emoji23][emoji23]"Kama ambavyo siyo watu wote watakupenda, ndivyo pia siyo watu wote watakuchukia"-@Twilumba 2019
Sent using Jamii Forums mobile app
Piga zeze ushangilie, sisi ndo kwaaanzaaa muvi linaanza!Mbona unapatwa na mchecheto?
Duuuuu,,,, nimecheka kidogo mbavu ziume, nikakumbuka kumbe sijala [emoji648]Stori nzuri kuliko ushindi wa simba