Tundu Lissu: Siku napigwa risasi Paul Makonda alikuwa Dodoma

Tundu Lissu: Siku napigwa risasi Paul Makonda alikuwa Dodoma

Hizi ni tuhuma nzito saana; tunasubiri zijibiwe ; Dodoma then Morogoro kesho yake asubuhi ...logistic ipo wapi maana ni mkuu wa Mkoa haendi kokote hovyo hovyo hata akiwa na likizo lazima ijulikane yupo wapi na anafanya nini.
 


Hints:

Tundu Lissu anasema kuwa siku aliyopigwa risasi ndio siku Rais Magufuli alikuwa akipokea ripoti ya makinikia.

Na masaa mawili kabla ya shambulio lake alitangazia umma kuwa kuna mtu anapiga kelele sana huko nje na katika vita jeshini watu wa namna hiyo ni sawa na wasaliti hivyo kazi huwa ni moja kuuliwa tu.

Kumbuka ripoti hiyo ilikuwa inakabidhiwa jijini Dar huku mkuu wa mkoa wa mkoa huyo hakuwepo Dar alikuwa Dodoma.

Na cha ajabu eneo analoishi hulindwana masaa 24 na askari wenye silaha ila cha ajabu hawakuwepo kabisa katika viunga vya Area D.

Lakini hao Polisi wanaotaka kunihoji mimi hawajawai kumwita wala kumuhoji Makaonda akiwa kama suspect.

Na aliyesema anafaa kufa hajawai kuulizwa juu ya kauli yake.

Wala askari waliotakiwa kuwa lindo hawajawai kuulizwa walikuwa wapi siku ya tukio na nani aliwapa amri waondoke.
Kwa kadri ccm inavyosajiri wachumia tumbo/watu waliofeli shule na hivyo kukosa alternative nyingine zaidi ya kutegemea huruma ndio waishi,ndiyo chama kinavyogeuka kuwa kikundi cha kigaidi
 
Ile V8 ndio alikuwa huko ndani akasimamia Club 84 Kwa nn hamuelewi?
 
Kuna mtu anamwambia..kila analosema anasema "nimeambiwa"!! Huyu mtoa taarifa anayefanya kazi serikalini adhabu yake hasa ni ipi..?
Kwa mujibu wa maelezo yake Tundu lissu ana vyanzo vya taarifa kutoka Usalama wa Taifa, kutoka Polisi, kutoka Bungeni, kutoka Wizara ya Afya. Na kila sehemu ambao wanampa hizo taarifa nyeti.
Katika moja ya maelezo yake amesema hataki kumtaja huyo mtoa taarifa wake sabbu akimtaja "atauwawa"!!
Je huyu mtoa taarifa mara atakapogulika /ama watakapogundulika kufanya hivyo adhabu yao halisi huwa ni ipi?
Je, maadili yao ya kazi yanawaruhusu kutoa hizo habari?



Sent using Jamii Forums mobile app

Ulitaka wasitoe taarifa ili iweje


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inasikitisha sana mwanasheria msomi anaongea kwa hisia badala ya facts.
I predict his spiral down fall even to beat the constant gravitational force.
Facts zilitakiwa kutolewa na police mkuu- wanasheria hawafanyi upelelezi- acha kujitoa ufahamu eti kisa ushabiki maandazi
 
Lissu unakosea,kama ni 'mission' sio lazima ai excute yeye Makonda mwenyewe,unless Makonda ni mafia na yeye..anashika bunduki...na sio 'masterminder'...
Wewe unafikiri huyu jamaa zaidi ya kazi ya kuteuliwa anaweza kufanya nini tena? watu wa aina hii ni kama mbwa-ukimwambia kamata anakamata hana muda wa kufikiri-yeye priority yake ni kulinda ugali wake period.
 
Ajabu ni pale unajijua wewe ni hunted person, najua tayari hunter wapo nyuma yako wanakufuata, unafika nyumbani unakuta usalama wote haupo hustuki tu unaingia. Unafika unapaki na hunters wanapaki na wewe na bado tu hujishtukii ku escape hilo eneo!!!!

Ndio husemwa majanga mengine ni kujitakia na kumpa shetani nafasi akuadhibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wewe kwa Tanzania yetu hii unaweza kudhani kuna mtu anaweza kummiminia mwenzie risasi hata moja na mchana kweupe? only kwenye utawala huu labda
 
Lissu unakosea,kama ni 'mission' sio lazima ai excute yeye Makonda mwenyewe,unless Makonda ni mafia na yeye..anashika bunduki...na sio 'masterminder'...
Hana akili kichwani anatumia Masaburi kufikiri sasa anaenda mpaka Dodoma ili ashangilie taarifa akalie kanisani uwongo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu muangalie vizuri kwenye hiyo video, amefikia mwisho wa lawama,.. Kila siku naongea humu Lissu ana akili nyingi Sana za darasani Ila za mtaani (Duniani) bure kabisa, ametawaliwa na kitu kwa kizungu inaitwa EGO, hakufunzwa na mama yake atafunzwa na ulimwengu, tangu yupo UK,USA, Germany umewahi ona afisa yoyote wa serikali yoyote huko anatoa tamko lolote kuhusu Lissu???.. Na NYUMBU wapo wanashangilia tu wanamuona HERO kumbe anaharibu siku hadi siku.
Mkuu watu kukuunga mkono si lazima watoe matamko kama mnavyofanya wabongo-platform tu hiyo waliyompa kusemea hayo mambo inatosha-but also kunaweza kukawa na underground movement-kwa mfano mimi naamini Serikali hii kupata tena pesa toka nchi za Ulaya na Marekani itabidi itumie nguvu nyingi sana na hata ikipata-itazipata kwa tabu mno na ninaamini itakuwa ikifanya sherehe kila inapopata hata pesa kidogo-Mark my words
 
Kama wewe ulivyodanganywa na jiwe
Ungebutuliwa wewe risasi zile usingeandika upupu huu
Huna wazazi huna ndugu huna Kaka mjomba au shemeji
Jaribu kuwaweka hao wapendwa wako kwenye viatu vya Mheshimiwa yes Mheshimiwa Lissu
Muwe na utu
Mumuogope Mungu
Dhuluma ya roho ya mtu ni mbaya sana
La muhimu ni kuheshimu mamlaka halali. Ukichemka na kudharau ukubwa wa mamlaka, tegemea maumivu mkuu.

Mamlaka zinazoongoza nchi siku zote hupambana ili ziweze kupata kibali cha wananchi. Mwanasiasa usipoujua ukweli huo na ukaishi kwa kiburi, tegemea lolote lile likupate maishani.
 
La muhimu ni kuheshimu mamlaka halali. Ukichemka na kudharau ukubwa wa mamlaka, tegemea maumivu mkuu.

Mamlaka zinazoongoza nchi siku zote hupambana ili ziweze kupata kibali cha wananchi. Mwanasiasa usipoujua ukweli huo na ukaishi kwa kiburi, tegemea lolote lile likupate maishani.
Na wewe uliye madarakani na kuona waweza kuwafanya wengine lolote wakati ukiwa na hayo madaraka tambua kuwa muda wako ukiisha waweza nawe kufanywa lolote.
Kinga iko pale unapotekeleza madaraka yako kikatiba tuu! Utaishi Kwa furaha kama Jk. BM au Jerry Rwallings. Vyinginevyo unaishia kumalizia maisha kwa mateso na fedheha tupu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na wewe uliye madarakani na kuona waweza kuwafanya wengine lolote wakati ukiwa na hayo madaraka tambua kuwa muda wako ukiisha waweza nawe kufanywa lolote.
Kinga iko pale unapotekeleza madaraka yako kikatiba tuu! Utaishi Kwa furaha kama Jk. BM au Jerry Rwallings. Vyinginevyo unaishia kumalizia maisha kwa mateso na fedheha tupu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Naibu Rais Bashite, soma hiyoooo.
 


Hints:

Tundu Lissu anasema kuwa siku aliyopigwa risasi ndio siku Rais Magufuli alikuwa akipokea ripoti ya makinikia.

Na masaa mawili kabla ya shambulio lake alitangazia umma kuwa kuna mtu anapiga kelele sana huko nje na katika vita jeshini watu wa namna hiyo ni sawa na wasaliti hivyo kazi huwa ni moja kuuliwa tu.

Kumbuka ripoti hiyo ilikuwa inakabidhiwa jijini Dar huku mkuu wa mkoa wa mkoa huyo hakuwepo Dar alikuwa Dodoma.

Na cha ajabu eneo analoishi hulindwana masaa 24 na askari wenye silaha ila cha ajabu hawakuwepo kabisa katika viunga vya Area D.

Lakini hao Polisi wanaotaka kunihoji mimi hawajawai kumwita wala kumuhoji Makaonda akiwa kama suspect.

Na aliyesema anafaa kufa hajawai kuulizwa juu ya kauli yake.

Wala askari waliotakiwa kuwa lindo hawajawai kuulizwa walikuwa wapi siku ya tukio na nani aliwapa amri waondoke.

Tundu lisu is Nyumbu namba one. Ukija lazima ukamatwe. Huna faida kwa nchi hii
 
Back
Top Bottom